Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Usidharau Kazi ya mtu kwa kua yako haisaidii,sio Kila mwl Ana upeo mdogo bwana mdogo au sio Kila mwl masikini au jana Pesa ,kazi yoyotemo vile we imavojiheshimisha nayo ,kuipenda na kuithamini.

Kuna watu Wana upeo mdogo wako huko taasisi zingine kwa kubebwa tu Ila hawana wanalolijua.
What I can tell you is jus learn to respect people ,haojalishit wewe uko kada gani ,unapokea mshahara kiasi gani!Kila mtu na maisha yake na anavoishi.

Shida ya walimu haswa Grade A ni uoga mnoo na kujiona wao wanyonge hapo ndo wanafeli,walimu wengi wa Secondary hawayumbishwi na Wana misimamo,nadhani elimu pia inachangia mti kujiamini
Mi nilishasemaga nna shida na Pesa Ila sitapoteza muda kuomba Kaz za kimbwa kimbwa Kama sensa,sijui kusimamia uchaguzi nikifika 35yrs ndo Niko hukoo,wananishangaa Sana na kujiona najidai Ila I have decided to respect, value and love myself before anyone...Kama walimu wote tungekua na msimamo Mmoja tungeheshimu Sana ,shida ni Hawa Grade A ndo waoga mnoo na wanapelekeshwa Sana..
Walimu wote nyie ni waoga tu kwenye mwenge mnalazimishwa kukesha na mnahesabiwa usiku wa manane ili msitoroke na kweli mnatii amri huku watumishi wengine wanajimwaga tu
 
Kwa hiyo hata bosi wako Majaliwa ambaye ukimuona tu unatamani kumlamba miguu naye hajitambui siyo!

Na yule marehemu unayemsujudi mpaka kesho naye alikuwa hajitambui?
ukweli ni kwamba, hii nchi ingeongozwa na kada zingine tangu awali, tusingekuwa hapa. lakini tushukuru kwa tulichopata kwasababu kila jambo lina faida na hasara.
 
Naona umeorodhesha wote kumbe sisi Wamachinga upeo wetu ni mkubwa kidogo,Ahsante.
 
Mpeleke mwanao polisi, ama Kwa maafisa kilimo au kada ya afya ndani ya Mwaka mmoja tuone kama atakuwa amejua kusoma na kuandika, unapost mada hapa kama umesahau akili chooni!
Lipuuzi hilo,litakuwa limekaziwa mama yake na Mwalimu,ndio maana ana hasira nao.
Wacha liendelee kuteseka.
Countrywide
 
Walimu akili zao tu huwaga ni ndogo pia, mm naamini tukichukua mwanafunzi anaeshika nafasi ya kwanza kwenye somo lolote lile tukampambanisha na mwalimu wake wa somo husika wafanye mtihani wa hilo somo basi Kuna chance kubwa ya mwanafunzi kupata maksi kubwa kuliko mwalimu wa hilo somo. Walimu wengi ni vilaza watupu kichwani ndio maana japo elimu yetu na masomo tunayosoma ni mepesi in nature but wanafunzi wengi wanafeli kwasababu tunafundishwa na vilaza waliofeli. Nenda India ukaone elimu yao ilivyo, mtihani Lisaa limoja na nusu hayo maswali yote ni cheche nakwabongo hutoboi hata swali moja. Sisi masomo yetu ni rahisi sanaaa hata physics ya advance uwezekano wa mtoto wa darasa la tatu kuimudu upo kama tu walimu wataanza kufanyiwa interview kwa wale waliofaulu tu
Walimu si kuwa wana akili, ni kwamba wanatufundisha walichokariri

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Walimu ni tatizo katika nchi.

Wanatumiwa na serikali kama uchafu lakini hawataki kujinasua kwenye uonevu.

Ndio kwanza wanashabikia na kupongeza.

Nafikiri ile kada imevamiwa na majasusi ili kuwavuruga walimu kweli kweli.

Hawajielewi.
 
Walimu wote nyie ni waoga tu kwenye mwenge mnalazimishwa kukesha na mnahesabiwa usiku wa manane ili msitoroke na kweli mnatii amri huku watumishi wengine wanajimwaga tu
Nimecheka aisee, huwa wanahesabiwa wasitoroke?
 
Leo kwenye atm na maeneo around ya benki kulikuwa na watu wengi sana nikasema kuna ugeni nini au semina

Ila nilivyoona wengi wamevaa suruali za vitambaa na mashati ya drafti wamechomekea baadhi na baada ya kusoma huu uzi nimejua [emoji16]
..

Sio utani ni kweli


Ila cha kujiuliza kwa nini wengine hawadharauliki ni nyinyi tu ? Shida iko wapi ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20220722-WA0015.jpg
 
Unahisi kwa nini wahasibu au madaktari hawajaomba hizo kazi za sensa?
Kwa sababu kazi zao zina mianya ya upigaji huko huko kazini kwao. Hakuna mfanyakazi Tanzania hii anayeishi kwa kutegemea mshahara wake tu bila kupiga hapa na pale isipokuwa pengine walimu. Sasa wanapoona vifursa kama hivi vya sensa wapate angalau kitu kidogo napo kumbe wanakosea masikini.
 
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Ulifundishwa na nani Mkuu?
 
Usidharau Kazi ya mtu kwa kua yako haisaidii,sio Kila mwl Ana upeo mdogo bwana mdogo au sio Kila mwl masikini au jana Pesa ,kazi yoyotemo vile we imavojiheshimisha nayo ,kuipenda na kuithamini.

Kuna watu Wana upeo mdogo wako huko taasisi zingine kwa kubebwa tu Ila hawana wanalolijua.
What I can tell you is jus learn to respect people ,haojalishit wewe uko kada gani ,unapokea mshahara kiasi gani!Kila mtu na maisha yake na anavoishi.

Shida ya walimu haswa Grade A ni uoga mnoo na kujiona wao wanyonge hapo ndo wanafeli,walimu wengi wa Secondary hawayumbishwi na Wana misimamo,nadhani elimu pia inachangia mti kujiamini
Mi nilishasemaga nna shida na Pesa Ila sitapoteza muda kuomba Kaz za kimbwa kimbwa Kama sensa,sijui kusimamia uchaguzi nikifika 35yrs ndo Niko hukoo,wananishangaa Sana na kujiona najidai Ila I have decided to respect, value and love myself before anyone...Kama walimu wote tungekua na msimamo Mmoja tungeheshimu Sana ,shida ni Hawa Grade A ndo waoga mnoo na wanapelekeshwa Sana..
Aisee

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom