rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
😀 😀 😀 😀ila hii nchi aiseeNapigia msumari.
Walimu wanahitaji maombi.
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumpiga mteja wake?
Mwalimu ndiye mfanyabiashara pekee anayemdunda mteja wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 😀 😀ila hii nchi aiseeNapigia msumari.
Walimu wanahitaji maombi.
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumpiga mteja wake?
Mwalimu ndiye mfanyabiashara pekee anayemdunda mteja wake
Kwani Mwalimu wewe hayo hufanyi? Au dunya?Kama hizi za kwako. Hapa tunaongea na kopo tu.
View attachment 2299882
Huyo jamaa ni kiboko ya walimuUsinge comment huu uzi ninge acha kutumia jf.[emoji28]
#MaendeleoHayanaChama
Hamna akili, kila mtu anawasema nyie. BadilikeniHapa hujata walimu kijana inaelekea baba yako ambaye ni Mwalimu baada ya kupigilia msumari wa nchi sita kunako....halafu akamkacha maza ako so baada ya kukua ikabidi maza ako akwambie kuwa ww ni product ya Mwalimu lakin kwa bahati nzuri Mwalimu akakukataa ungali na miezi 2 so hasira yako yote kwa walimu cool kijana maisha hayapo fair.
Huyo ni Mwalimu wa Feza. Wewe unaweza kufundisha Feza?Hahaa! Kumbe ni hasira za kutukanwa na kuambiwa kuwa wewe ni day worker wa ukondakta kwenye daladala.
Wamemkosesha kazi ya ukarani wa sensa. Maisha ni magumu sana. Tuvumilianeni tu maana hakuna namna!Pole Sana.Naona jinsi gani ulivokuwa na chuki dhidi ya walimu Hadi ulichokiandika hakieleweki.Tulia,Acha walimu wafanye Yao na wewe mwenye IQ kubwa ufanye yako.
Unahisi kwa nini Wana akili sana kuliko nyie?Ha
Hao wahasibu sijui madaktari sijui police sijui mawaziri walifundishwa na kina nani ili ujue wewe ndiye mwenye IQ tudogo.?
Wewe huoni kama ni janga?Mwalimu wako aliekufundisha hadi hapo ulipofikia najua tu huwezi kusema mbele yake ndiyo maana umetaja kiuwoga woga, pili hukusema kwanini ni janga umetaja taja tu kada bila kutoa sababu ni zipi ili ionekane ni janga.
Amepiga kwenye mshono wapi wakati ni ID ile ile inajijibu na kuji-boost ego? [emoji16][emoji16][emoji16]Umepiga kwenye mshono
Inabidi ifanyike hivyo haraka sana. Na pia waliopo kazini nao wafanyiwe interviewTatizo limeanzia mbali sana. Ilifika mahali ikawa ni taaluma yenye kudharaulika sana kwa sababu za msingi kabisa. Anzia wakati wa UPE hadi kufikia kuchukua wale form four failures kwenda ualimu. Mtu akikosa vyote akiwa na Division 4 inayokaribia zero, ndiyo alienda ualimu. Huo ndiyo ukweli mchungu.
Sasa tutegemee kutoka watu wa aina hiyo?
At least siku hizi wameliona na wanataka kuchukua the best students. Lakini nani aende kwenye uozo huo? Inahitaji akili ya ziada kuwavuta vijana wenye Div 1 na 2 kwenda huko.
Nilikuambia wanajijua. Alafu wapo Kama nyumbu, mmoja akianza wote haooooJiwe gizani hili!naona watu yalahh
Wanaugulia
Ova
Ina maana hujui?Umepimaje ujinga wao na akili zao hadi ukaja na conclusion kuwa ni ndogo?
Ww hata hiyo IQ ndogo tu huna. 0 kabisaunaweza kumchukia mwalimu aliyekushika mkono ili uweze angalau kuweza kuandika "a"? We una laan siyo bure. Wana IQ ndogo? We unajua hata maana ya IQ? Tuambie maana ya IQ na IQ kubwa inaanza ngapi mpk ngapi, IQ ya kati na ya mwisho. Tupe na mifano ya wenye IQ kubwa duniani.
Mazezeta wapo kwenye ualimuKiufupi kila kada kuna mazezeta na walio vzr. Mf. Dr. anayesahau mkasi ndani ya tumbo ama kupasua kichwa badala ya mguu, ama kufanya utabibu wake mgonjwa anakufa. Injinia aliyeshindwa kusoma enzi za mkuu yule wa tabora, mainjinia kibao wanaotumbuliwa kwa ubovu wa kazi rejea wa juzi huko zanzibar. Kila sehem mafailure yapo. Unakuta mtu sa hivi ni nesi nae anavimba kichwa wakati darasani mimi ambaye ni mwalimu sa hivi ndo nilikuwa nampga tafu enzi tunasoma wte.
Unahisi kwa nini hao uliowataja waliacha ualimu?We una shida haijawahi tokea, baba wa Taifa alikuwa mwalimu, mzee Mwinyi alikuwa mwalimu, Magufuli alikuwa mwalimu, Waziri mkuu tuliye naye sahivi alikuwa mwalimu. Bado unasema walimu wana IQ ndogo? We kama siyo kichaa zimebaki siku chache sana uwe kichaa. Chukua hatu katibiwe
Una mimba changa itakuwa inakusumbua wewe. Siyo bure. Hapo ulipo utakuwa unajisikia tu kichefu chefu na malimao yako.Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k
Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.
Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.
Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?
War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Lazima tuwabadilishe mindset[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hawa watu ni kwamba hapo walipofika wengi wamepita njia ngumu sana na wengine wamefika hapo kwa kuunga unga, acha wabakie hivyo walivyo
Kwa nn ni walimu tu?Kama wewe ni bora kuliko walimu basi tulia na ubora wako, mnachosha na mada za kuwasema walimu kila siku, hizo ni dalili za stress
Amenipotezea sana muda maana nimesoma zaidi ya mara moja bado sijaelewaKabla ya kusubiri comments za wadau, je, wewe mwenyewe umeelewa ulichokiandika?