Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Ha
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Hao wahasibu sijui madaktari sijui police sijui mawaziri walifundishwa na kina nani ili ujue wewe ndiye mwenye IQ tudogo.?
 
Walimu akili zao tu huwaga ni ndogo pia, mm naamini tukichukua mwanafunzi anaeshika nafasi ya kwanza kwenye somo lolote lile tukampambanisha na mwalimu wake wa somo husika wafanye mtihani wa hilo somo basi Kuna chance kubwa ya mwanafunzi kupata maksi kubwa kuliko mwalimu wa hilo somo. Walimu wengi ni vilaza watupu kichwani ndio maana japo elimu yetu na masomo tunayosoma ni mepesi in nature but wanafunzi wengi wanafeli kwasababu tunafundishwa na vilaza waliofeli. Nenda India ukaone elimu yao ilivyo, mtihani Lisaa limoja na nusu hayo maswali yote ni cheche nakwabongo hutoboi hata swali moja. Sisi masomo yetu ni rahisi sanaaa hata physics ya advance uwezekano wa mtoto wa darasa la tatu kuimudu upo kama tu walimu wataanza kufanyiwa interview kwa wale waliofaulu tu
Vipi ushapata ajira au bado tamisemi hawajakuona?
 
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Mwalimu wako aliekufundisha hadi hapo ulipofikia najua tu huwezi kusema mbele yake ndiyo maana umetaja kiuwoga woga, pili hukusema kwanini ni janga umetaja taja tu kada bila kutoa sababu ni zipi ili ionekane ni janga.
 
Walimu akili zao tu huwaga ni ndogo pia, mm naamini tukichukua mwanafunzi anaeshika nafasi ya kwanza kwenye somo lolote lile tukampambanisha na mwalimu wake wa somo husika wafanye mtihani wa hilo somo basi Kuna chance kubwa ya mwanafunzi kupata maksi kubwa kuliko mwalimu wa hilo somo. Walimu wengi ni vilaza watupu kichwani ndio maana japo elimu yetu na masomo tunayosoma ni mepesi in nature but wanafunzi wengi wanafeli kwasababu tunafundishwa na vilaza waliofeli. Nenda India ukaone elimu yao ilivyo, mtihani Lisaa limoja na nusu hayo maswali yote ni cheche nakwabongo hutoboi hata swali moja. Sisi masomo yetu ni rahisi sanaaa hata physics ya advance uwezekano wa mtoto wa darasa la tatu kuimudu upo kama tu walimu wataanza kufanyiwa interview kwa wale waliofaulu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]ngoja nicheke kwanza kaahh,mwl Mimi ntoe aseehh siko huko japo sikatai wapo walimu vilaza mnooo truth shall be told wether we like it or not!
Kuna mwl mpk naonaga aibu Mimi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!
Ikitokea serikali ikasema itufanyishe mitihani wengi watabaki na itasiaidi mnoo natabaki wawe wanatufanyia hvyo yaani ili tuheshimiwe aseeh...
 
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Tatizo limeanzia mbali sana. Ilifika mahali ikawa ni taaluma yenye kudharaulika sana kwa sababu za msingi kabisa. Anzia wakati wa UPE hadi kufikia kuchukua wale form four failures kwenda ualimu. Mtu akikosa vyote akiwa na Division 4 inayokaribia zero, ndiyo alienda ualimu. Huo ndiyo ukweli mchungu.
Sasa tutegemee kutoka watu wa aina hiyo?

At least siku hizi wameliona na wanataka kuchukua the best students. Lakini nani aende kwenye uozo huo? Inahitaji akili ya ziada kuwavuta vijana wenye Div 1 na 2 kwenda huko.
 
Unafaa kuigwa na kila mwalimu. Mi kuna mwl mmoja namfahu sana kipindi niko Nansio anaitwa Ndija, yule kwa pesa watu wakasome kiasi kwamba alivyowekeza pale nansio si vya kitoto.
Kuna walimu wako vzr Tanzania hii hii,Mimi mshasema nnafanya yangu Ila class pindi Niko vzr ,nilihamia shule haijawahi pata A ,bwana mwaka wangu walipata for the first time!sijisifu Ila kufundisha najua na akili nnazo!mahela natafuta pia
 
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
unaweza kumchukia mwalimu aliyekushika mkono ili uweze angalau kuweza kuandika "a"? We una laan siyo bure. Wana IQ ndogo? We unajua hata maana ya IQ? Tuambie maana ya IQ na IQ kubwa inaanza ngapi mpk ngapi, IQ ya kati na ya mwisho. Tupe na mifano ya wenye IQ kubwa duniani.
 
Kuna walimu wako vzr Tanzania hii hii,Mimi mshasema nnafanya yangu Ila class pindi Niko vzr ,nilihamia shule haijawahi pata A ,bwana mwaka wangu walipata for the first time!sijisifu Ila kufundisha najua na akili nnazo!mahela natafuta pia
Kiufupi kila kada kuna mazezeta na walio vzr. Mf. Dr. anayesahau mkasi ndani ya tumbo ama kupasua kichwa badala ya mguu, ama kufanya utabibu wake mgonjwa anakufa. Injinia aliyeshindwa kusoma enzi za mkuu yule wa tabora, mainjinia kibao wanaotumbuliwa kwa ubovu wa kazi rejea wa juzi huko zanzibar. Kila sehem mafailure yapo. Unakuta mtu sa hivi ni nesi nae anavimba kichwa wakati darasani mimi ambaye ni mwalimu sa hivi ndo nilikuwa nampga tafu enzi tunasoma wte.
 
People with mega projects/busy with their business wont spend their time arguing with brainless morons like this guy.
Kuna kipindi mwamba alikuja na mada ya kuwa yy ubahili umemsaidia mpaka ameweza kujenga nyumba, ana usafiri na amefungua biashara ya hardware Goba huko, anakampuni yake na alikuwa na project ya kujenga nyumba ya ghorofa ...nilimuona bonge la HUSTLER,.. mara nikaanza kuona anakuja na mda za kumsifia Nikki Wapili, mara mada za michepuko daaah nikaanza kuwa na wasiwasi na yale aliyeyaandika.
 
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
We una shida haijawahi tokea, baba wa Taifa alikuwa mwalimu, mzee Mwinyi alikuwa mwalimu, Magufuli alikuwa mwalimu, Waziri mkuu tuliye naye sahivi alikuwa mwalimu. Bado unasema walimu wana IQ ndogo? We kama siyo kichaa zimebaki siku chache sana uwe kichaa. Chukua hatu katibiwe
 
Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
😂😂😂 mkuu hawa watu ni kwamba hapo walipofika wengi wamepita njia ngumu sana na wengine wamefika hapo kwa kuunga unga, acha wabakie hivyo walivyo
 
Kama wewe ni bora kuliko walimu basi tulia na ubora wako, mnachosha na mada za kuwasema walimu kila siku, hizo ni dalili za stress
 
Tatizo limeanzia mbali sana. Ilifika mahali ikawa ni taaluma yenye kudharaulika sana kwa sababu za msingi kabisa. Anzia wakati wa UPE hadi kufikia kuchukua wale form four failures kwenda ualimu. Mtu akikosa vyote akiwa na Division 4 inayokaribia zero, ndiyo alienda ualimu. Huo ndiyo ukweli mchungu.
Sasa tutegemee kutoka watu wa aina hiyo?

At least siku hizi wameliona na wanataka kuchukua the best students. Lakini nani aende kwenye uozo huo? Inahitaji akili ya ziada kuwavuta vijana wenye Div 1 na 2 kwenda huko.
Mimi nipo huko na dv yangu nzuri tu ya enzi hizo nikiwa kilosa agricultural sec school o'level, adv Ihungo bukoba moja na chuo ni mhitimu wa SUA GPA ni 3.8 uppers second class. Jamii yyte hata afya ama injinia wapo na vilaza ambayo dr. Mwinyi kawatimua juzi tu.
 
Kama Kuna mambo yana sababisha walimu kuchukiwa ni kuomba hizi kazi za sensa na uchaguzi.Kila inapofikia kipindi hiki chuki zinaonekana wazi.Ila hata kada zingine wanaomba shida ni uwingi Wa walimu.Ukimuuliza vizuri mtoa mada ni kwanini anachuki na walimu utashangaa sababu zake zisizo na msingi.
 
Back
Top Bottom