Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k

Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.

Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.

Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?




War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa
Halafu unaweza kuta jamaa kama huyu hana hatia kazi anaishi kwa sehemu yake 😇
 
Mpaka zoezi la sensa liishe, Walimu watakuwa hoi kwa kusemwa vibaya na vijana wasiokuwa na ajira......

Wanahisi ndio wanawachukulia nafasi zao. Hawajui uwepo na mrundikano wao mitaani umechangiwa na sera za Marehemu. Maendeleo ya vitu sio watu. Poleni nyote walimu na wasio ma ajira.
 
Walimu akili zao tu huwaga ni ndogo pia, mm naamini tukichukua mwanafunzi anaeshika nafasi ya kwanza kwenye somo lolote lile tukampambanisha na mwalimu wake wa somo husika wafanye mtihani wa hilo somo basi Kuna chance kubwa ya mwanafunzi kupata maksi kubwa kuliko mwalimu wa hilo somo. Walimu wengi ni vilaza watupu kichwani ndio maana japo elimu yetu na masomo tunayosoma ni mepesi in nature but wanafunzi wengi wanafeli kwasababu tunafundishwa na vilaza waliofeli. Nenda India ukaone elimu yao ilivyo, mtihani Lisaa limoja na nusu hayo maswali yote ni cheche nakwabongo hutoboi hata swali moja. Sisi masomo yetu ni rahisi sanaaa hata physics ya advance uwezekano wa mtoto wa darasa la tatu kuimudu upo kama tu walimu wataanza kufanyiwa interview kwa wale waliofaulu tu
 
Wat

Watumishi wa umma wa Tanzania. Ni mundi la watu wasiojielewa. Waoga na wenye akili ndogo sana.
Watu hawa wametengenezwa kujiona wao ndiyo serikali.
Kuwataja walimu peke yao ni kuwaonea
Magufuli hajaongeza mishahara na stahiki kwa miaka 5 kuna kundi au kada yeyote ilihoji??
Mbona ndiyo kwanza waliandamana kuunga mkono kikokotooo?
We ndio una akili?
 
Usidharau Kazi ya mtu kwa kua yako haisaidii,sio Kila mwl Ana upeo mdogo bwana mdogo au sio Kila mwl masikini au jana Pesa ,kazi yoyotemo vile we imavojiheshimisha nayo ,kuipenda na kuithamini.

Kuna watu Wana upeo mdogo wako huko taasisi zingine kwa kubebwa tu Ila hawana wanalolijua.
What I can tell you is jus learn to respect people ,haojalishit wewe uko kada gani ,unapokea mshahara kiasi gani!Kila mtu na maisha yake na anavoishi.

Shida ya walimu haswa Grade A ni uoga mnoo na kujiona wao wanyonge hapo ndo wanafeli,walimu wengi wa Secondary hawayumbishwi na Wana misimamo,nadhani elimu pia inachangia mti kujiamini
Mi nilishasemaga nna shida na Pesa Ila sitapoteza muda kuomba Kaz za kimbwa kimbwa Kama sensa,sijui kusimamia uchaguzi nikifika 35yrs ndo Niko hukoo,wananishangaa Sana na kujiona najidai Ila I have decided to respect, value and love myself before anyone...Kama walimu wote tungekua na msimamo Mmoja tungeheshimu Sana ,shida ni Hawa Grade A ndo waoga mnoo na wanapelekeshwa Sana..
 
Walimu akili zao tu huwaga ni ndogo pia, mm naamini tukichukua mwanafunzi anaeshika nafasi ya kwanza kwenye somo lolote lile tukampambanisha na mwalimu wake wa somo husika wafanye mtihani wa hilo somo basi Kuna chance kubwa ya mwanafunzi kupata maksi kubwa kuliko mwalimu wa hilo somo. Walimu wengi ni vilaza watupu kichwani ndio maana japo elimu yetu na masomo tunayosoma ni mepesi in nature but wanafunzi wengi wanafeli kwasababu tunafundishwa na vilaza waliofeli. Nenda India ukaone elimu yao ilivyo, mtihani Lisaa limoja na nusu hayo maswali yote ni cheche nakwabongo hutoboi hata swali moja. Sisi masomo yetu ni rahisi sanaaa hata physics ya advance uwezekano wa mtoto wa darasa la tatu kuimudu upo kama tu walimu wataanza kufanyiwa interview kwa wale waliofaulu tu
Tuchukue huo huo mtihani tukupe wewe usiye mwl. ila unazo akili ushindane naye. Mwalimu ni msaidizi ama mfumbuaji kwa mtoto so usitake naye arudi shuleni apige 100 kama ya mtoto. We daktari wa sasa biology uliwazidi wote kwenye ufaulu?
 
Afu kwanini mnaumia na mambo yetu wakati sisi hatuumii na mambo yenu.Kama Nyie ni Bora kwanini msitulie na ubora wenu.Msitafute dhambi kinguvu ....haijakaa njema kabisa
Huwa nikiona comment yako naishiwa nguvu kabisa. Wewe haupo, wewe nakupenda hadi basi. Shida Kuna uzi wamenitukana sana, hivyo lazima nipambane nao. Naomba univumilie niwanyooshe hawa

Nakupenda sana, nisamehe kwa muda nimalizane na hawa wajinga
 
Usidharau Kazi ya mtu kwa kua yako haisaidii,sio Kila mwl Ana upeo mdogo bwana mdogo au sio Kila mwl masikini au jana Pesa ,kazi yoyotemo vile we imavojiheshimisha nayo ,kuipenda na kuithamini.

Kuna watu Wana upeo mdogo wako huko taasisi zingine kwa kubebwa tu Ila hawana wanalolijua.
What I can tell you is jus learn to respect people ,haojalishit wewe uko kada gani ,unapokea mshahara kiasi gani!Kila mtu na maisha yake na anavoishi.

Shida ya walimu haswa Grade A ni uoga mnoo na kujiona wao wanyonge hapo ndo wanafeli,walimu wengi wa Secondary hawayumbishwi na Wana misimamo,nadhani elimu pia inachangia mti kujiamini
Mi nilishasemaga nna shida na Pesa Ila sitapoteza muda kuomba Kaz za kimbwa kimbwa Kama sensa,sijui kusimamia uchaguzi nikifika 35yrs ndo Niko hukoo,wananishangaa Sana na kujiona najidai Ila I have decided to respect, value and love myself before anyone...Kama walimu wote tungekua na msimamo Mmoja tungeheshimu Sana ,shida ni Hawa Grade A ndo waoga mnoo na wanapelekeshwa Sana..
Unafaa kuigwa na kila mwalimu. Mi kuna mwl mmoja namfahu sana kipindi niko Nansio anaitwa Ndija, yule kwa pesa watu wakasome kiasi kwamba alivyowekeza pale nansio si vya kitoto.
 
Kudeal na mm mpaka mpate akili
Kama hizi za kwako. Hapa tunaongea na kopo tu.
Screenshot_20220722-152104.png
 
Walimu akili zao tu huwaga ni ndogo pia, mm naamini tukichukua mwanafunzi anaeshika nafasi ya kwanza kwenye somo lolote lile tukampambanisha na mwalimu wake wa somo husika wafanye mtihani wa hilo somo basi Kuna chance kubwa ya mwanafunzi kupata maksi kubwa kuliko mwalimu wa hilo somo. Walimu wengi ni vilaza watupu kichwani ndio maana japo elimu yetu na masomo tunayosoma ni mepesi in nature but wanafunzi wengi wanafeli kwasababu tunafundishwa na vilaza waliofeli. Nenda India ukaone elimu yao ilivyo, mtihani Lisaa limoja na nusu hayo maswali yote ni cheche nakwabongo hutoboi hata swali moja. Sisi masomo yetu ni rahisi sanaaa hata physics ya advance uwezekano wa mtoto wa darasa la tatu kuimudu upo kama tu walimu wataanza kufanyiwa interview kwa wale waliofaulu tu
Usinge comment huu uzi ninge acha kutumia jf.[emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
 
Hao wote uliowataja wana akili sana. Huwezi linganisha na kundi la walimu
Hapa hujata walimu kijana inaelekea baba yako ambaye ni Mwalimu baada ya kupigilia msumari wa nchi sita kunako....halafu akamkacha maza ako so baada ya kukua ikabidi maza ako akwambie kuwa ww ni product ya Mwalimu lakin kwa bahati nzuri Mwalimu akakukataa ungali na miezi 2 so hasira yako yote kwa walimu cool kijana maisha hayapo fair.
 
Huwa nikiona comment yako naishiwa nguvu kabisa. Wewe haupo, wewe nakupenda hadi basi. Shida Kuna uzi wamenitukana sana, hivyo lazima nipambane nao. Naomba univumilie niwanyooshe hawa

Nakupenda sana, nisamehe kwa muda nimalizane na hawa wajinga
Hahaa! Kumbe ni hasira za kutukanwa na kuambiwa kuwa wewe ni day worker wa ukondakta kwenye daladala.
 
Back
Top Bottom