Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Najua alokuingilia kinyume na maumbile alikuwa mwalimu kwa sasa ni marehemu R.I.P hivyo nyuzi zako huwa nazifuatilia ukiwasema sana walimu.Wapi nimetaja walimu? Au mnajijua kuwa hamna akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua alokuingilia kinyume na maumbile alikuwa mwalimu kwa sasa ni marehemu R.I.P hivyo nyuzi zako huwa nazifuatilia ukiwasema sana walimu.Wapi nimetaja walimu? Au mnajijua kuwa hamna akili?
Mtu mjinga mpe majibu ya kijinga.Mpeleke mwanao polisi, ama Kwa maafisa kilimo au kada ya afya ndani ya Mwaka mmoja tuone kama atakuwa amejua kusoma na kuandika, unapost mada hapa kama umesahau akili chooni!
Tatizo liliopoanzia ni hapa
Mkuu umesema sahihi kabisa.Najua alokuingilia kinyume na maumbile alikuwa mwalimu kwa sasa ni marehemu R.I.P hivyo nyuzi zako huwa nazifuatilia ukiwasema sana walimu.
Tutamnyoosha tu. Ukiamua kudharau utadharaulika tu sa huyu ni kudeal nae kisawasawa.Mkuu umesema sahihi kabisa.
Halafu huyu anatakiwa na mama yake pia tumfire ndo atajua walimu tupo vizuri.
Afu kwanini mnaumia na mambo yetu wakati sisi hatuumii na mambo yenu.Kama Nyie ni Bora kwanini msitulie na ubora wenu.Msitafute dhambi kinguvu ....haijakaa njema kabisaWanajijua
Kasahau kuwa ndo waliomfikisha hapo. ShameTutamnyoosha tu. Ukiamua kudharau utadharaulika tu sa huyu ni kudeal nae kisawasawa.
Shida ni nyie mnaojiweka mbele mbele kumpokea hadi afisa utumishi kwa nderemo.Afu kwanini mnaumia na mambo yetu wakati sisi hatuumii na mambo yenu.Kama Nyie ni Bora kwanini msitulie na ubora wenu.Msitafute dhambi kinguvu ....haijakaa njema kabisa
Tatizo kubwa. Nilitaka nilaumu ila nimeona nikae kimya.Tatizo liliopoanzia ni hapa
Nae alikuwa mwalimu Tena resiter hatareeUmeanza vizuri ila umemaliza vibaya.
Shida shuleni aliambulia kujua kusoma na kuandika tu. Anatamani fursa ya wadada waliopata mimba kurudi shuleni angekuwa mmoja waoKasahau kuwa ndo waliomfikisha hapo.Shame
Kama shida ni yetu kwanini msituache na shida zetuShida ni nyie mnaojiweka mbele mbele kumpokea hadi afisa utumishi kwa nderemo.
Alafu usikubali wakuzoee kwenye biashara, ni wakopaji wakubwa sana. Kulipa sasa mpaka uende polisjMpeleke mwanao polisi, ama Kwa maafisa kilimo au kada ya afya ndani ya Mwaka mmoja tuone kama atakuwa amejua kusoma na kuandika, unapost mada hapa kama umesahau akili chooni!
Ndio hao nilisoma hapa walisikia wakilia lia kwenye usahili wa sensa baada ya DC kusema watumishi wasiache majukumu yao ya msingi na kwenda kwenye usahili? Wengine "mkuu tusaidie tuwe wa kwanza kwenye usahili kwasababu wengine tunaenda kusimamia mitihani ya mock"Itakua walimu hao..nasikia wanazurura zurura karibu na nmb atm wakisubiri sms ya nmb mobile.
#MaendeleoHayanaChama
Simchangii chochote? Mshahara anaolipwa kodi zinatoka wapi?Hizi mada za kudharau walimu zimekua kero sana,wewe mtu humchangii chochote maisha ni yake weewe kinachokuuma hasa ni nini?
Simchangii chochote? Mshahara anaolipwa kodi zinatoka wapi?Hizi mada za kudharau walimu zimekua kero sana,wewe mtu humchangii chochote maisha ni yake weewe kinachokuuma hasa ni nini?
Watumishi wa umma wa Tanzania. Ni mundi la watu wasiojielewa. Waoga na wenye akili ndogo sana.Kwenye watumishi wa umma kuna kada mbalimbali, afya, wanasheria, walimu, wahandisi, madereva, maafisa utumishi(HR), mafundi mchundo, wahasibu, askari n.k
Ila katika makundi hayo yote yaliyopo kwenye utumishi wa umma kuna kundi ambalo watu wake wengi wana upeo mdogo sana. Bado nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Hili kundi limekuwa na watu ambao wapo very low, IQ ipo chini sana. Naiomba serikali kuchukua hatua za haraka.
Huenda tunajiuliza kwanini tupo hapa, kwanini hatuendelei lakini tunashindwa kujua tuna watu wa aina hii kwenye Serikali yetu tukufu.
Kwanini sio madaktari? Kwanini sio manesi? Kwanini sio wahasibu? Kwanini sio wahandisi? Kwanini sio madereva? Kwa nini sio maafisa utumishi HR's?? Kwanini sio wanasheria? Kwanini sio Askari? Kwanini ni nyie tu?
TATIZO NINI?
War.........Li.........MU...................Ni janga la kitaifa