Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

Wako designed that way kupitia huko vyuoni. Kwa sababu nature yao lazima wawe wengi,ni ngumu kwa nchi masikini kuwapa maslahi mazuri. Option nzuri ni kuwadunisha kisaikolojia kupitia training na practice. Hii ni mbaya kwa mtu lakini ni nzuri sana kimedani..mimi ni mmoja wao kwa hiyo nina experience nzuri! Narudi kwako mkuu,ova!
Umeeleza vizuri, Ila kwa nini wana akili ndogo sana? Vyuoni napo hufundishwa wawe na akili ndogo?
 
Maafisa utumishi HR

Wakifuatiwa na polisi huku ndio vilaza waliko jikita.

Sidhani Kama Kuna afisa utumishi anayeweka kumbukumbu. Kila mwaka lazima waombe barua ya kuajiriwa, barua ya kudhibitishwa kazini, barua ya kupandishwa cheo, CHETI CHA FOMFOO, vyeti vingine vyote, jina na umri.

Watumishi wenzangu Kama Kuna ambaye hajaombwa hivyo vitu kila mwaka anyooshe mkono nimtumie vocha.
 
Walimu masikini....Akina Kisandu Nalimison...

Ni wengi sana hivyo pengine siyo rahisi kuwapa mishahara mikubwa kwenye nchi kama yetu iliyojaa ufisadi. Na kwa vile kazi yao haihusishi ulaji wa rushwa wa moja kwa moja kama hao wa kada zingine basi wanaonekana wana maslahi duni...

Lakini hawa watu ndiyo injini ya taifa na wanastahili heshima yote tunayoweza kuwapa. Kila mtu amepita kwao....

Ingekuwa vizuri tunapowasimanga hivi basi tutoe na njia za jinsi wanavyopaswa kujikwamua hata kama ni kuichagiza serikali iwape kipaumbele. Hii siyo kada ya kubezwa!
 
Maafisa utumishi HR
wakifuatiwa na polisi huku ndio vilaza waliko jikita.
Sidhani Kama Kuna afisa utumishi anayeweka kumbukumbu. Kila mwaka lazima waombe barua ya kuajiriwa, barua ya kudhibitishwa kazini, barua ya kupandishwa cheo, CHETI CHA FOMFOO, vyeti vingine vyote, jina na umri.
Watumishi wenzangu Kama Kuna ambaye hajaombwa hivyo vitu kila mwaka anyooshe mkono nimtumie vocha.
[emoji3516][emoji3516]
 
Maafisa utumishi HR
wakifuatiwa na polisi huku ndio vilaza waliko jikita.
Sidhani Kama Kuna afisa utumishi anayeweka kumbukumbu. Kila mwaka lazima waombe barua ya kuajiriwa, barua ya kudhibitishwa kazini, barua ya kupandishwa cheo, CHETI CHA FOMFOO, vyeti vingine vyote, jina na umri.
Watumishi wenzangu Kama Kuna ambaye hajaombwa hivyo vitu kila mwaka anyooshe mkono nimtumie vocha.
Hao wote uliowataja wana akili sana. Huwezi linganisha na kundi la walimu
 
Walimu masikini....Akina Kisandu Nalimison...

Ni wengi sana hivyo pengine siyo rahisi kuwapa mishahara mikubwa kwenye nchi kama yetu iliyojaa ufisadi. Na kwa vile kazi yao haihusishi ulaji wa rushwa wa moja kwa moja kama hao wa kada zingine basi wanaonekana wana maslahi duni...

Lakini hawa watu ndiyo injini ya taifa na wanastahili heshima yote tunayoweza kuwapa. Kila mtu amepita kwao....

Ingekuwa vizuri tunapowasimanga hivi basi tutoe na njia za jinsi wanavyopaswa kujikwamua hata kama ni kuichagiza serikali iwape kipaumbele. Hii siyo kada ya kubezwa!
Tatizo kwa nini wengi ni wajinga?
 
Back
Top Bottom