Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
[emoji1787][emoji1787]Walimu nchi hii wanatabu sana..wanapondwa sanaItakua walimu hao..nasikia wanazurura zurura karibu na nmb atm wakisubiri sms ya nmb mobile.
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Walimu nchi hii wanatabu sana..wanapondwa sanaItakua walimu hao..nasikia wanazurura zurura karibu na nmb atm wakisubiri sms ya nmb mobile.
#MaendeleoHayanaChama
Umeeleza vizuri, Ila kwa nini wana akili ndogo sana? Vyuoni napo hufundishwa wawe na akili ndogo?Wako designed that way kupitia huko vyuoni. Kwa sababu nature yao lazima wawe wengi,ni ngumu kwa nchi masikini kuwapa maslahi mazuri. Option nzuri ni kuwadunisha kisaikolojia kupitia training na practice. Hii ni mbaya kwa mtu lakini ni nzuri sana kimedani..mimi ni mmoja wao kwa hiyo nina experience nzuri! Narudi kwako mkuu,ova!
Tokea jana huku wameanza kwenda kwa wingi kwenye ATM.Itakua walimu hao..nasikia wanazurura zurura karibu na nmb atm wakisubiri sms ya nmb mobile.
#MaendeleoHayanaChama
Hadi hapo itakua mshajijua. IQ ipo kwenye mteremko mkali sanaTaja tukutukane mpaka tule bani
Huo ndio ukweli, japo mchungu.Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya.
[emoji3516][emoji3516]Maafisa utumishi HR
wakifuatiwa na polisi huku ndio vilaza waliko jikita.
Sidhani Kama Kuna afisa utumishi anayeweka kumbukumbu. Kila mwaka lazima waombe barua ya kuajiriwa, barua ya kudhibitishwa kazini, barua ya kupandishwa cheo, CHETI CHA FOMFOO, vyeti vingine vyote, jina na umri.
Watumishi wenzangu Kama Kuna ambaye hajaombwa hivyo vitu kila mwaka anyooshe mkono nimtumie vocha.
Mungu anakuona 😂Itakua walimu hao..nasikia wanazurura zurura karibu na nmb atm wakisubiri sms ya nmb mobile.
#MaendeleoHayanaChama
Hao wote uliowataja wana akili sana. Huwezi linganisha na kundi la walimuMaafisa utumishi HR
wakifuatiwa na polisi huku ndio vilaza waliko jikita.
Sidhani Kama Kuna afisa utumishi anayeweka kumbukumbu. Kila mwaka lazima waombe barua ya kuajiriwa, barua ya kudhibitishwa kazini, barua ya kupandishwa cheo, CHETI CHA FOMFOO, vyeti vingine vyote, jina na umri.
Watumishi wenzangu Kama Kuna ambaye hajaombwa hivyo vitu kila mwaka anyooshe mkono nimtumie vocha.
Una akili sanaNilikuwa mwalimu pale mawe matatu Misungwi, nikaona ualimu ni ukuda, nikaacha.
Wapi nimetaja walimu? Au mnajijua kuwa hamna akili?Impacts za kuingiliwa kinyume na maumbile na mwalimu asiyekuwa na maadili ya kiualimu ndo hii. Walimu wote washakuwa maadui zako wakati alokutendea ni mmoja tu.
Mpaka wapate akiliWalimu tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo kwa nini wengi ni wajinga?Walimu masikini....Akina Kisandu Nalimison...
Ni wengi sana hivyo pengine siyo rahisi kuwapa mishahara mikubwa kwenye nchi kama yetu iliyojaa ufisadi. Na kwa vile kazi yao haihusishi ulaji wa rushwa wa moja kwa moja kama hao wa kada zingine basi wanaonekana wana maslahi duni...
Lakini hawa watu ndiyo injini ya taifa na wanastahili heshima yote tunayoweza kuwapa. Kila mtu amepita kwao....
Ingekuwa vizuri tunapowasimanga hivi basi tutoe na njia za jinsi wanavyopaswa kujikwamua hata kama ni kuichagiza serikali iwape kipaumbele. Hii siyo kada ya kubezwa!