Terrible Teen
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 1,009
- 2,934
Unafiki wa Watanzania umeendelea kudhihirika baada ya kifo cha JPM na kuingia madarakani kwa Mhe. RAIS. SSH. JPM alitumia udikteta kunyamazisha kila sauti na hakuna aliyedai Katiba mpya wala nini. Aidha, kwa udikteta huohuo aliharibu uchumi na haki za kiraia bila ya kuulizwa.
Leo ameingia Rais Samia amefanya kazi kubwa kuondoa uonevu na udikteta wa Hayati Magufuli, kabla hajamaliza kuweka mambo sawa kumeibuka viruka na njia vilivyokuwa vimefunga midomo kwa JPM na kuanza chokochoko sijui katiba mpya na nini.
Hawa watu hawana ajenda na hawajui wanataka nini. Katiba mpya haitafutwi kwa mayowe na movements za kishamba za felaini na macho kumchuzi.
Muacheni Mhe. RAIS atekeleze ajenda zake za kuleta pesa kwa watanzania , kuinua haki za kiraia na utengamano. Masuala ya Katiba ni yanyie wanasiasa msio na kazi. Mmekosa ajenda and you are irrelevant kwa watanzania muda huu. Mliufyata kwa JPM leo mmeona mwanamke msikivu ndio mnatoa pembe, shauri yenu akianza kuwabutua.
Leo ameingia Rais Samia amefanya kazi kubwa kuondoa uonevu na udikteta wa Hayati Magufuli, kabla hajamaliza kuweka mambo sawa kumeibuka viruka na njia vilivyokuwa vimefunga midomo kwa JPM na kuanza chokochoko sijui katiba mpya na nini.
Hawa watu hawana ajenda na hawajui wanataka nini. Katiba mpya haitafutwi kwa mayowe na movements za kishamba za felaini na macho kumchuzi.
Muacheni Mhe. RAIS atekeleze ajenda zake za kuleta pesa kwa watanzania , kuinua haki za kiraia na utengamano. Masuala ya Katiba ni yanyie wanasiasa msio na kazi. Mmekosa ajenda and you are irrelevant kwa watanzania muda huu. Mliufyata kwa JPM leo mmeona mwanamke msikivu ndio mnatoa pembe, shauri yenu akianza kuwabutua.