Kundi kubwa la watanzania wanao ishi maisha standard ya uhakika ni waajiriwa, wafanyabiashara wengi hali ni mbaya

Kundi kubwa la watanzania wanao ishi maisha standard ya uhakika ni waajiriwa, wafanyabiashara wengi hali ni mbaya

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
N:B: Waajiriwa wa serikalini

Nakupa mfano mdogo tu, Nenda mitaa inayosifika kuwa na watu wanaoishi maisha standard, mfano kwa Iringa Nenda Gangi Longa, Mbeya nenda Forest, Dar nenda Mbezi, utarudi hapa na data kwamba almost 75% ya wanaoishi ni waajirwa, Hao 25 % waliobaki wanaweza kuwa wafanyabiashara na wanasiasa tena matajiri sana wenye majumba ya kifahari yanayosifika maeneo hayo lakini idadi yao ni ndogo

Ok, Kwa haraka haraka najua umewafikiria wafanya biashara wachache mabilionea, fikiria nje ya box kuhusu kundi la wafanyabiashara wengi zaidi wanaopitia misuko suko ya Tra kukomba pesa kwenye account, kuzidiwa kete kwenye kugombea wateja, Mzigo umeingia sokoni tayari doni kaleta mzigo wa kutosha kwa bei chee, wapo wanaopiga pesa safi lakini baada ya miaka kadhaa wanafirisika, n.k.

Tatizo mnaangalia vitu hivi kwa jicho la wamarekani na ulaya ambako kuna mazingira mazuri sana ya kujiajiri, watu wengi huwa mnayatoa mawazo kwenye mitandao wakati hali za nchi nyingine na yetu ni tofauti kabisa.

Kibongo bongo biashara na kujiajiri sheria sio rafiki na serikali ina msaada kidogo na uwahibikaji mchache, ndio maana waliotoboa wapo, lakini ni wachache na hata wao wakifariki biashara zinayumba kwasababu hawawezi hata kuwaambia watoto wao walivyokuwa wanafanya biashara, kuna mambo mengi ambayo wanaona aibu kuwaambia watoto wao kuanzia kuvunja sheria, njia za mkato, rushwa, kukwepa kodi, umafia, n.k.

Wafanya biashara ni kundi lenye watu wengi zaidi hapa nchini, na kweli wapo mabilionea wenye utajiri wa kutisha lakini ni wachache sana, maybe asilimia 1 tu.

Ukiangalia hapa nchini watu wengi wenye magari, nyumba standard, wanaopeleka shule private watoto, n.k. ni waajiriwa licha ya wao kuwa kundi lenye watu wachache.

Pia waajiriwa wanapofanya biashara wanakuwa na ka security ka kuto bugudhiwa kama wenzao, ukijulikana upo idara flani ya serikali husumbuliwi sana.

Ku Maintain - Ni kweli kuna kipindi huwa kuna biashara watu hasa vijana wanapiga pesa za kutosha daily lakini tatizo huwa ni kumaintain, Je kuna uhakika wa kuwa kwenye hio hali kwa zaidi ya miaka 10 ? Na kama mnavyojua wafanyabiashara wengi wakiona sehemu inalipa wanahamishia majeshi yote hapo, Nimeweza kuona wafanyabiashara wengi sana hapa bongo wanaishi life la juu kwa miaka kadhaa lakini baada ya miaka 10 huwezi kuamini ni wao, wapo waliofirisika, kufunga biashara, n.k.

Hakuna mazingira rafiki ya biashara Tanzania, Watu wanalalamika pesa zao zinakombwa kwenye account bila taarifa na TRA, hujakaa sawa Task force wanafunga account, Hujakaa sawa kuna mzito kaja kuharibu biashara, hujakaa sawa unabambikiwa kesi utoe milioni 50 au uende jela, n.k.
 
Having said so, what should be done ?
it all boils down to the government establishing a business-friendly environment:

We should simplify processes for registering businesses, paying taxes, and managing other business-related aspects digitally. mambo 90% yawe online, tupo miaka ya internet ila watu wanapanga mafoleni tra, Ni maajabu !!

Taxes should be reduced; VAT doesn’t need to be set at 18%. A rate closer to 8% would likely encourage more people to comply with tax obligations given that wananchi wengi wana vipato vidogo, hii itasaidia sana kuongeza wanunuzi wengi zaidi na kuongeza kodi itayokusanywa.

The excessive Task Force regulations must end or be carefully regulated. Business owners shouldn’t have to operate in fear of their accounts being frozen.

TRA should adopt a more open and supportive approach, haya mambo unaamka account imechomolewa kiasi kadhaa, Unasajili biashara ndogo unaambiwa ununue mashine ya laki 5, n.k. wajitathmini upya.

The government should also promote and simplify processes for importing and exporting goods, tunaichukulia poa sana hii bahari ya hindi, hatujaweza kui utilize even for 10%
 
The government should establish a business-friendly environment, given our country's abundance of natural resources and large market potential extending to land locked neighbouring countries like Zambia, Malawi, etc.

We should simplify processes for registering businesses, paying taxes, and managing other business-related aspects digitally. mambo 90% yawe online tupo miaka ya internet ila watu wanapanga mafoleni tra

Taxes should be reduced; VAT doesn’t need to be set at 18%. A rate closer to 8% would likely encourage more people to comply with tax obligations.

The excessive Task Force regulations must end or be carefully regulated. Business owners shouldn’t have to operate in fear of their accounts being frozen.

The TRA should adopt a more open and supportive approach, haya mambo unaamka account imechomolewa kiasi kadhaa ni umafia

The government should also promote and simplify processes for importing and exporting goods.
Hawa university graduates wa kibongo ukiwapa financial support, unawaona wana uwezo wa ku exploit our natural resources profitably and sustainably ili kujiletea maendeleo ?
 
Hawa university graduates wa kibongo ukiwapa financial support, unawaona wana uwezo wa ku exploit our natural resources profitably and sustainably ili kujiletea maendeleo ?
Why not, ni mazingira yanayowaangusha tu.
 
N:B: Waajiriwa wa serikalini

Ok najua unachofikiria "Hakuna muajiriwa anaemzidi Bakhersa na Mo", Hilo naomba utoe akilini hao watu ni levels nyingine na pia ni waarabu na wahindi hawa huwezi linganisha na wabongo, wao biashara zipo ndani ya dna, matajiri 100 wa hii nchi karibu 90 ni wao, wana uwezo wa kurithishana biashara vizazi hadi vizazi tangu 1950s, wanaishi maisha tofauti kabisa.

Tatizo mnaangalia vitu hivi kwa jicho la wamarekani na ulaya ambako kuna mazingira mazuri sana ya kujiajiri, watu wengi huwa mnayatoa mawazo kwenye mitandao wakati hali za nchi nyingine na yetu ni tofauti kabisa.

Kibongo bongo biashara na kujiajiri sheria sio rafiki na serikali ina msaada kidogo na uwahibikaji mchache, ndio maana waliotoboa wapo, lakini ni wachache na hata wao wakifariki biashara zinayumba kwasababu hawawezi hata kuwaambia watoto wao walivyokuwa wanafanya biashara, kuna mambo mengi ambayo wanaona aibu kuwaambia watoto wao kuanzia kuvunja sheria, njia za mkato, rushwa, kukwepa kodi, umafia, n.k.

Wafanya biashara ni kundi lenye watu wengi zaidi hapa nchini, na kweli wapo mabilionea wenye utajiri wa kutisha lakini ni wachache sana, maybe asilimia 1 tu.

Ukiangalia hapa nchini watu wengi wenye magari, nyumba standard, wanaopeleka shule private watoto, n.k. ni waajiriwa licha ya wao kuwa kundi lenye watu wachache.

Pia waajiriwa wanapofanya biashara wanakuwa na ka security ka kuto bugudhiwa kama wenzao, ukijulikana upo idara flani ya serikali husumbuliwi sana.

Ku Maintain - Ni kweli kuna kipindi huwa kuna biashara watu hasa vijana wanapiga pesa za kutosha daily lakini tatizo huwa ni kumaintain, Je kuna uhakika wa kuwa kwenye hio hali kwa zaidi ya miaka 10 ? Na kama mnavyojua wafanyabiashara wengi wakiona sehemu inalipa wanahamishia majeshi yote hapo, Nimeweza kuona wafanyabiashara wengi sana hapa bongo wanaishi life la juu kwa miaka kadhaa lakini baada ya miaka 10 huwezi kuamini ni wao, wapo waliofirisika, kufunga biashara, n.k.

Hakuna mazingira rafiki ya biashara Tanzania, Watu wanalalamika pesa zao zinakombwa kwenye account bila taarifa na TRA, hujakaa sawa Task force wanafunga account, Hujakaa sawa kuna mzito kaja kuharibu biashara, hujakaa sawa unabambikiwa kesi utoe milioni 50 au uende jela, n.k.
Hivi wewe unawajua wafanyabiashara, au unawaza tu kupigia kampeni CCM?
 
Hivi wewe unawajua wafanyabiashara, au unawaza tu kupigia kampeni CCM?
Kwa haraka haraka najua umewafikiria wafanya biashara wachache mabilionea, fikiria nje ya box kuhusu wafanyabiashara wengi zaidi wanaopatwa na misuko suko, waliowika kwa miaka ladhaa lakini sasa wamefirisika, wanaofunga biashara, n.k.
 
Kuna ka ukweli!
Ila kwa bongo, wabongo wana masihara na kazi walizoajiriwa. Ni kama walivyopata kazi basi. Hakuna kujituma, wanafikiria wizi kukicha!
Siku wakipigwa chini yawa majanga!
Wanachanganyikiwa kufa! Utawahurumia.
Kwa waliojiajiri ni ukamanda, wanajituma haswa, hawana ma stress ya kutishiwa na ma boss! Kujipendekeza au woga!
Yote kheri, ila, FAINALI UZEENI!
 
N:B: Waajiriwa wa serikalini

Nakupa mfano mdogo tu, Nenda mitaa inayosifika kuwa na watu wanaoishi maisha standard, mfano kwa Iringa Nenda Gangi Longa, Mbeya nenda Forest, Dar nenda Mbezi, utarudi hapa na data kwamba 70% ya wanaishi ni waajirwa, Hao 30 % waliobaki wanaweza kuwa wafanyabiashara na wanasiasa matajiri sana na ndio wenye majumba ya kifahari yanayosifika maeneo hayo lakini idadi yao ni ndogo

Ok najua unachofikiria "Hakuna muajiriwa anaemzidi Bakhersa na Mo", Hilo naomba utoe akilini hao watu ni levels nyingine na pia ni waarabu na wahindi hawa huwezi linganisha na wabongo, wao biashara zipo ndani ya dna, matajiri 100 wa hii nchi karibu 90 ni wao, wana uwezo wa kurithishana biashara vizazi hadi vizazi tangu 1950s, wanaishi maisha tofauti kabisa.

Tatizo mnaangalia vitu hivi kwa jicho la wamarekani na ulaya ambako kuna mazingira mazuri sana ya kujiajiri, watu wengi huwa mnayatoa mawazo kwenye mitandao wakati hali za nchi nyingine na yetu ni tofauti kabisa.

Kibongo bongo biashara na kujiajiri sheria sio rafiki na serikali ina msaada kidogo na uwahibikaji mchache, ndio maana waliotoboa wapo, lakini ni wachache na hata wao wakifariki biashara zinayumba kwasababu hawawezi hata kuwaambia watoto wao walivyokuwa wanafanya biashara, kuna mambo mengi ambayo wanaona aibu kuwaambia watoto wao kuanzia kuvunja sheria, njia za mkato, rushwa, kukwepa kodi, umafia, n.k.

Wafanya biashara ni kundi lenye watu wengi zaidi hapa nchini, na kweli wapo mabilionea wenye utajiri wa kutisha lakini ni wachache sana, maybe asilimia 1 tu.

Ukiangalia hapa nchini watu wengi wenye magari, nyumba standard, wanaopeleka shule private watoto, n.k. ni waajiriwa licha ya wao kuwa kundi lenye watu wachache.

Pia waajiriwa wanapofanya biashara wanakuwa na ka security ka kuto bugudhiwa kama wenzao, ukijulikana upo idara flani ya serikali husumbuliwi sana.

Ku Maintain - Ni kweli kuna kipindi huwa kuna biashara watu hasa vijana wanapiga pesa za kutosha daily lakini tatizo huwa ni kumaintain, Je kuna uhakika wa kuwa kwenye hio hali kwa zaidi ya miaka 10 ? Na kama mnavyojua wafanyabiashara wengi wakiona sehemu inalipa wanahamishia majeshi yote hapo, Nimeweza kuona wafanyabiashara wengi sana hapa bongo wanaishi life la juu kwa miaka kadhaa lakini baada ya miaka 10 huwezi kuamini ni wao, wapo waliofirisika, kufunga biashara, n.k.

Hakuna mazingira rafiki ya biashara Tanzania, Watu wanalalamika pesa zao zinakombwa kwenye account bila taarifa na TRA, hujakaa sawa Task force wanafunga account, Hujakaa sawa kuna mzito kaja kuharibu biashara, hujakaa sawa unabambikiwa kesi utoe milioni 50 au uende jela, n.k.
Kwaiyo lengo la kuandika uzi lilikua n nini??

Kwan lini tulikubishia au tulikua na huo mjadala??
si uwapigie waliokubishia uwambie
 
Usisahau walioajiriwa wanakula rushwa na kufanya ufisadi pia, kwa mishahara yao tu wanabaki walalahoi
 
Usisahau walioajiriwa wanakula rushwa na kufanya ufisadi pia, kwa mishahara yao tu wanabaki walalahoi
Hata wafanyabiashara wapo wanaokwepa kodi, wauza unga wanaosafisha pesa kwenye biashara halali, nk
 
Back
Top Bottom