kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
makundi mbalimbali yamekuwa yakipigania kutajwa katika katiba na hata wengine kudiriki kutaka mambo ambayo kimsingi si ya kuingia katika katiba.

hapa tumejisahau kuwa kinachotusumbua si kutotajwa katika katiba ndio maana hatukuridhika huko nyuma bali kutokuwepo kwa misingi ya kutoa haki pengine katika katiba ndio tatizo kubwa.

jambo la kwanza kwetu sote iwe ni kupigania misingi ya kutoa haki kwa wote ijengwe katika katiba na hapo kila mmoja katika kundi lake dogo haki yake ataipata.
 
makundi mbalimbali yamekuwa yakipigania kutajwa katika katiba na hata wengine kudiriki kutaka mambo ambayo kimsingi si ya kuingia katika katiba.

Hapa tumejisahau kuwa kinachotusumbua si kutotajwa katika katiba ndio maana hatukuridhika huko nyuma bali kutokuwepo kwa misingi ya kutoa haki pengine katika katiba ndio tatizo kubwa.

Jambo la kwanza kwetu sote iwe ni kupigania misingi ya kutoa haki kwa wote ijengwe katika katiba na hapo kila mmoja katika kundi lake dogo haki yake ataipata.

hata hivyo vyote ulivyovitaja vingewepo wewe ni mkaidi tu ungejifanya kuja na hoja nyinginem unaonekana huna hoja humu ndani utapatapa tu, ulichokiongea hapo chooote kimeainishwa vizuri kwenye hiyo katiba unayoipinga, nimegundua pia una brain retarded illness au huenda ubongo wako una utapiamlo kiac umekuwa mgumu kuelewa, kasome tena upyaa katiba inayopendekezwa sura ya tano utaona namna makundi mbalimbali yalivyotajwa na namna yatakavyonufaika na katiba hii.
 
makundi mbalimbali yamekuwa yakipigania kutajwa katika katiba na hata wengine kudiriki kutaka mambo ambayo kimsingi si ya kuingia katika katiba.

hapa tumejisahau kuwa kinachotusumbua si kutotajwa katika katiba ndio maana hatukuridhika huko nyuma bali kutokuwepo kwa misingi ya kutoa haki pengine katika katiba ndio tatizo kubwa.

jambo la kwanza kwetu sote iwe ni kupigania misingi ya kutoa haki kwa wote ijengwe katika katiba na hapo kila mmoja katika kundi lake dogo haki yake ataipata.

Daaah mtu kama hujaisoma KATIBA PENDEKEZWA usipotoshe kwa kuongea vitu vya kufikirika unatenda dhambi hata mbele za mungu...yaan we mwenyewe sijui kama umejielewa hicho ulichoandika
 
ningekujibu kwa lugha uliyotumia lakini nitakuwa najishusha, kwangu mimi naamini kundi kutajwa katika katiba ni useless kama hakuna mfumo wa kulinda haki hiyo iliyotajwa.

mimi sisomi katiba kwa kuangalia ibara fulani inasema nini bali naenda mbali zaidi kuangalia baada ya katiba kusema nini kinafuata na ni nani atatekeleza na je yule anayetakiwa kutekeleza nani atahoji au mhusika ataenda wapi na kuna mfumo unaofanya haki itendeke.

katiba haisomwi kwa kifungu kimoja kwani huwezi kupata kitu chochote katika maisha kwa kutumia kifungu kimoja tu cha katiba na hilo ndilo tatizo la wengi.

hata hivyo vyote ulivyovitaja vingewepo wewe ni mkaidi tu ungejifanya kuja na hoja nyinginem unaonekana huna hoja humu ndani utapatapa tu, ulichokiongea hapo chooote kimeainishwa vizuri kwenye hiyo katiba unayoipinga, nimegundua pia una brain retarded illness au huenda ubongo wako una utapiamlo kiac umekuwa mgumu kuelewa, kasome tena upyaa katiba inayopendekezwa sura ya tano utaona namna makundi mbalimbali yalivyotajwa na namna yatakavyonufaika na katiba hii.
 
unajua sielewi wanajamii kama ninyi mnaopenda jamii kubaki katik ujinga mna maslahi gani na ujinga wa jamii? mimi napenda nikuambie swala la katiba ni vema jamii ikajadili na kuweka mambo sawa sio kufunika mambo kwa wengine wakidhani pengine wanatake advantage kumbe ni kuipeleka jamii katika historia za kijinga na wao wakati mwingine kubadilika na kuanza kulaumu watu wengine.

naomba nikukumbushe machifu waliokuwa wakitutawala, hawa walifanya mambo mengi ya kipuuzi ikiwemo kuwauza baadhi ya ndugu zetu kama watumwa, wengine waliendesha jamii unfairly lakini leo hii wako wapi? wengine leo hii wajukuu zao wanang'ang'ania majina yao kwa kujiita machifu lakini bila heshima yoyote kwa maana jamii iliwachukia kwa utawala wao.

tusiwe na akili za machifu na baadae kuiponza jamii yetu na sisi wenyewe kukosa heshima.

tuielekeze jamii yetu katika kuweka mifumo na mifumo ikisha kaa sawa kila kila kitu kingine kitaenda vizuri.

Daaah mtu kama hujaisoma KATIBA PENDEKEZWA usipotoshe kwa kuongea vitu vya kufikirika unatenda dhambi hata mbele za mungu...yaan we mwenyewe sijui kama umejielewa hicho ulichoandika
 
unajua sielewi wanajamii kama ninyi mnaopenda jamii kubaki katik ujinga mna maslahi gani na ujinga wa jamii? mimi napenda nikuambie swala la katiba ni vema jamii ikajadili na kuweka mambo sawa sio kufunika mambo kwa wengine wakidhani pengine wanatake advantage kumbe ni kuipeleka jamii katika historia za kijinga na wao wakati mwingine kubadilika na kuanza kulaumu watu wengine.

naomba nikukumbushe machifu waliokuwa wakitutawala, hawa walifanya mambo mengi ya kipuuzi ikiwemo kuwauza baadhi ya ndugu zetu kama watumwa, wengine waliendesha jamii unfairly lakini leo hii wako wapi? wengine leo hii wajukuu zao wanang'ang'ania majina yao kwa kujiita machifu lakini bila heshima yoyote kwa maana jamii iliwachukia kwa utawala wao.

tusiwe na akili za machifu na baadae kuiponza jamii yetu na sisi wenyewe kukosa heshima.

tuielekeze jamii yetu katika kuweka mifumo na mifumo ikisha kaa sawa kila kila kitu kingine kitaenda vizuri.

Kasome ndugu yangu hiyo katiba usipende usomewe ili uamini yaliyomo.
 
ningekujibu kwa lugha uliyotumia lakini nitakuwa najishusha, kwangu mimi naamini kundi kutajwa katika katiba ni useless kama hakuna mfumo wa kulinda haki hiyo iliyotajwa.

mimi sisomi katiba kwa kuangalia ibara fulani inasema nini bali naenda mbali zaidi kuangalia baada ya katiba kusema nini kinafuata na ni nani atatekeleza na je yule anayetakiwa kutekeleza nani atahoji au mhusika ataenda wapi na kuna mfumo unaofanya haki itendeke.

katiba haisomwi kwa kifungu kimoja kwani huwezi kupata kitu chochote katika maisha kwa kutumia kifungu kimoja tu cha katiba na hilo ndilo tatizo la wengi.



Huyo EGO ana matatizo afu nahisi huyu jamaa sio Mtanzania maana hajui kuwa uhalali wa Katiba unatokana na wananchi naona hajasoma sehemu inayoeleza Mamlaka ya Wananchi kwenye Ibara ya 7 kwenye katiba pendekezwa inayoweka wazi kuwa Nchi yoyote inayoamini katika demokrasia na utawala wa kisheria ni sharti itambue mamlaka ya wananchi wake. Katiba Inayopendekezwa inazingatia ukweli kwamba wananchi ndiyo msingi na chimbuko la mamlaka yote ya uendeshaji na utawala wa nchi, sasa unapoendelea kubisha hata sikuelewi kapige kura ya ndio uone hiyo haki kama hutatendewa!
 
Bado nasisitiza kwa mtanzania yeyote kuwa katiba ni kuweka mfumo wa maisha yake na jamii yake kuchagua jinsi wanavyotaka kuishi.

hivyo angalia kila kitu usichoridhika nacho katika mfumo wa maisha yako na angalia kama katiba imeweka mfumo wa kukitatua kama kuna jambo hujaridhika basi piagania jambo hilo libadilishwe.

kura yako ndiyo nguvu yako, ukiitoa bila kutafakari basi jua umepoteza nguvu yako na kulia baadae kudai mabadiliko hakutakusaidia.

tafakari kwa kina kila kitu fanya mabadiliko

Kasome ndugu yangu hiyo katiba usipende usomewe ili uamini yaliyomo.
 
Mkuu ego, hebu acha kuwatibulia magamba mchongo wao kwa maana hicho ndicho kidanganyio chao kwenye katiba.
 
tutambue kuwa kama hakuna mahakama iliyo huru basi hata kama katiba itatupa haki yawezekana haki hiyo tusiipate, kama hakuna bunge lenye nguvu na lenye wabunge wanaojua majukumu yao, wanaotekeleza majukumu yao kusimamia serikali haitakuwa rahisi kuisimamia serikali ili ituretee maendeleo,

moja ya mambo ambao yanaleta vurugu nyingi katika nchi ni nafasi za uteuzi anazopewa raisi kuwateua watendaji mbalimbali na hapa wengi hijukusanya kutengeneza makundi kwenda kutafuta nafasi hizi. ni kuhatarisha amani ya nchi kwa kuweka nafasi nyingi katika uteuzi wa raisi. lakini pia ni kuleta uzembe na ujanja kwani wapo wananchi wengi wanakaa kutafuta fitina, vijembe na kujuana katika kutafuta nafasi hizi huku wakiwa wababaishaji watupu wasioweza kufanya lolote. kundi lao likishapata uraisi huwa ni vigumu kuwaepuka watu hawa kwani wanazombinu hata za kuwatumia wananchi kugeka watu wanaowatumikia kwa kujenga fitina.

kuepuka haya ni kuweka nafasi chache za juu pengine za nafasi ya uwaziri peke yake kuwa ndiyo zinateuliwa na raisi na nyingine zitafutwe kiushindani.

lakini tusiwawekee watu hawa mifumo ya kuwalinda kama hawafanyi kazi.

bunge liwe huru ili lisimamie,

vipo vyombo havifanyi kazi kwa mifumo tuliyokuwa nayo huko nyuma.

leo hii vipo vyombo vya kushughulikia maadili ya umma havifanyi kazi mpaka viagizwe, kwa nini tusivipe uhuru viondokane na kujikuta vikitaka kuchunguza mara refa wa mtu fulani ndiye anachunguzwa hivyo wanafungwa mikono.

mashirika ya umma yanakufa tatizo ni mifumo ambayo haisimamiani na kuwajibishana.

haiwezekani ATC imekufa, hakuna aliyewajibishwa, mifumo inarejesha lawama kwa raisi maana yeye anateua watu watatu katika mashirika na kila mmoja anajiona mteule wa raisi. bodi za makampuni ni mabosi wa wakurugenzi watendaji lakini hawa wanachukua posho tu na wengine wanakoromewa na wakurugenzi.

hivi ni nani anayetaka mashirika yetu kufa, najua wapo wenye biashara zao lakini ni wachache na kwa kuweka mifumo mibovu taifa linadidimia kiuchumi hivyo hata wao biashara zao haziwezi kukua.

tukibadilisha mifumo taifa linaweza kwenda mbele lakini wengine akili zimeganda wanafikiria hatari tu hawaangalii faida na bila kuwa risk taker hatuwezi kupuga hatua.

Huyo EGO ana matatizo afu nahisi huyu jamaa sio Mtanzania maana hajui kuwa uhalali wa Katiba unatokana na wananchi naona hajasoma sehemu inayoeleza Mamlaka ya Wananchi kwenye Ibara ya 7 kwenye katiba pendekezwa inayoweka wazi kuwa Nchi yoyote inayoamini katika demokrasia na utawala wa kisheria ni sharti itambue mamlaka ya wananchi wake. Katiba Inayopendekezwa inazingatia ukweli kwamba wananchi ndiyo msingi na chimbuko la mamlaka yote ya uendeshaji na utawala wa nchi, sasa unapoendelea kubisha hata sikuelewi kapige kura ya ndio uone hiyo haki kama hutatendewa!
 
Ha ha ha ego unajifanya mbishi kumbe hujui lolote tulia nikupe darasa, unalialia haki ya kulinda makundi unayoitaka hivi unataka iandikweje?? umesahau kabisa kuwa Katiba Pendekezwa imeweka wazi tena kwenye misingi kuwa jamii ya Tanzania izingatie mfumo wa demokrasia na misingi ya utawala bora ambayo Serikali yake inasimamiwa na bunge lenye wabunge waliochaguliwa na wanaowakilisha wananchi, Tena ikataja wazi kuwepo kwa Mahakama huru inayozingatia misingi ya utoaji HAKI na kuhakikisha kuwa haki za binadamu zinalindwa na kudumishwa na kwamba uhuru na wajibu wa kila mtu unatekelezwa kwa uaminifu.

Sasa wewe ego hapo unajichanganya mwenyewe kwa kushindwa kuelewa mfumo wa utoaji haki nchini, hivi unafikiri Kazi ya Mahakama ni nini? Bila Mahakama hiyo haki ya makundi unayoidai na kuisemea itapatikanaje? ndio maana nakuambia nina wasiwasi na wewe Katiba hujaisoma usidanganye watu kama huelewi kaa kimya waachie wenye uelewa wajenge hoja humu usiwe domokaya bhana.
 
mimi sijasema tusiwe na mahakama ila hivi kweli hatuwezi kuteua mahakama ikawa haiteuliwi kutoka serikalini? ikawa huru haiingiliwi kiasi ambacho kesi ikija mahakamani haijalishi ni nani kasoea awe mlala hoi mahakimu wanahukumu, awe kigogo mahakimu wanahukumu, lakini kama tunaweka mfumo wa serikali kuteua mahakama ni wazi vigogo hawatahukumiwa mahakamani. lengo sio kuona vigogo wanahukumiwa bali sote tuishi kwa kufuata sheria.

ukija serikalini hakuna mfumo, kuna mtu anaitwa waziri mkuu lakini hawezi hata kumkemea waziri wa kawaida kwa maana mfumo haumpi madaraka, tuweke mfumo wa kugatua madaraka kwa maana ya raisi akimteua waziri mambo yote yaliyoko ndani ya wizara anayashughulikia waziri na sio unampa wizara bado unateua watendaji ndani ya wizara yake ambao anawaogopa kuwakaripia.

yupo waziri mmoja nafikiri alikuwa nundu aliwahi kulalamika mkurugenzi wa taasisi fulani anaenda kumshitaki waziri ikulu sasa katika mazingira kama haya hatuwezi kupata maendeleo na hapa tatizo ni tumeandikaje mambo katika katiba.

tunataka wizara kitu fulani kimekwama bunge shinikiza waziri angoke na sio shirika linakufa ukimuangalia waziri unagundua chini chini kuwa hawezi kumkemea mteule wa raisi, bodi hawana mamlaka, mkurugenzi pengine hakuteuliwa kwenda kuinua shirika bali ni kumpa sehemu ya kulia.

kile kinachotamkwa na katiba kwa kila kifungu kiwe kinatekelezeka kwa mlolongo mzima wa utawala wa nchi.

kuna vyombo tunaweza kuviondoa chini ya serikali na kuviweka kwa uangalizi wa jamii moja kwa moja mfano mimi chombo cha kwanza naweza kusema jeshi wa la wananchi liundiwe mfumo mzuri na kuliweka kwa wananchi moja kwa moja kwa maana ya makamanda wake kuripoti bungeni lakini bunge vinaripoti katika chombo cha wataalamu na sio wanasiasa,

pili takukuru tuiweke chini ya bunge na waangalie maadili ya taifa.

serikali ibaki na majeshi ya kulinda usalama wa raia na magereza.

nikiulizwa nitasema waziri mkuu asipewe wizara bali yeye apewe mipango na yeye ndiye awapangie mawaziri wengine wote na kupima utekelezaji wao katika kutekeleza dira ya taifa.

kutunga katiba tusichukulie kama ni kutimiza ratiba tu bali tuichukue kama kuangalia tumekwama wapi.

Ha ha ha ego unajifanya mbishi kumbe hujui lolote tulia nikupe darasa, unalialia haki ya kulinda makundi unayoitaka hivi unataka iandikweje?? umesahau kabisa kuwa Katiba Pendekezwa imeweka wazi tena kwenye misingi kuwa jamii ya Tanzania izingatie mfumo wa demokrasia na misingi ya utawala bora ambayo Serikali yake inasimamiwa na bunge lenye wabunge waliochaguliwa na wanaowakilisha wananchi, Tena ikataja wazi kuwepo kwa Mahakama huru inayozingatia misingi ya utoaji HAKI na kuhakikisha kuwa haki za binadamu zinalindwa na kudumishwa na kwamba uhuru na wajibu wa kila mtu unatekelezwa kwa uaminifu.

Sasa wewe ego hapo unajichanganya mwenyewe kwa kushindwa kuelewa mfumo wa utoaji haki nchini, hivi unafikiri Kazi ya Mahakama ni nini? Bila Mahakama hiyo haki ya makundi unayoidai na kuisemea itapatikanaje? ndio maana nakuambia nina wasiwasi na wewe Katiba hujaisoma usidanganye watu kama huelewi kaa kimya waachie wenye uelewa wajenge hoja humu usiwe domokaya bhana.
 
hatari kubwa ya nafasi za uteuzi ni taifa kuwa na watu wasio na ajira maalumu kuishi kwao ni kusubiri raisi akichaguliwa wateuliwe. tatizo linaobika pale mpambe wao anaposhindwa maana hawa wanaona maisha ndio yamewapa kisogo na hawa ndio hushinikiza makundi yao kuingia misituni.

tubadili mifumo yetu ya nuongozi iondoe makundi ya watu hawa bali kila mmoja awe na ajira na kiteuliwa basi lakini si mtu kusubiri kuteuliwa ndio aendeshe maisha, ni hatari sana.
 
Mkuu ego, hebu acha kuwatibulia magamba mchongo wao kwa maana hicho ndicho kidanganyio chao kwenye katiba.
Ni kweli, kiongozi, hao jamaa ni wapiga deal. Angalia hata tarehe zao za kujiunga hapa JF, ndipo unaona wazi hawa ni magamba wapiga deal. Hawana uzalendo wowte kwa Taifa, wako tayari kuua taifa ili kulinda magamba yao yasidondoke
 
Ni kweli, kiongozi, hao jamaa ni wapiga deal. Angalia hata tarehe zao za kujiunga hapa JF, ndipo unaona wazi hawa ni magamba wapiga deal. Hawana uzalendo wowte kwa Taifa, wako tayari kuua taifa ili kulinda magamba yao yasidondoke


Wee Mwakaboko na huyo Lukindo mna akili za uwendawazimu na huenda mmetumwa kuja kuchafua hali ya hewa ndani ya JF hivi kwa akili zenu mnadhani hii Forum ni yenu pekeenu achilia hilo Tanzania kwa Sensa ya Watu na Makazi 2012 ina watu zaidi ya milioni 45 Sasa kwa akili yenu ndogo mliyonao hao hawana haki ya kujiunga JF au mlitaka wachangiaji watoke wapi acheni dharau na mnaonekana mmefirisika vichwani hamna hoja na mmetumwa leteni hoja mezani tupambane msiwe manyang'au nyie!
 
Wewe endelea kupiga hela za katiba, zilizotolewa na wenye deal la kufungua akaunti nje ya nchi huku wakiwa viongozi katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kula hela tembea zako. Katiba itapita hata kama wananchi wasipoipitisha, itapitishwa kwani hulijui hilloooo!!!!

Wee Mwakaboko na huyo Lukindo mna akili za uwendawazimu na huenda mmetumwa kuja kuchafua hali ya hewa ndani ya JF hivi kwa akili zenu mnadhani hii Forum ni yenu pekeenu achilia hilo Tanzania kwa Sensa ya Watu na Makazi 2012 ina watu zaidi ya milioni 45 Sasa kwa akili yenu ndogo mliyonao hao hawana haki ya kujiunga JF au mlitaka wachangiaji watoke wapi acheni dharau na mnaonekana mmefirisika vichwani hamna hoja na mmetumwa leteni hoja mezani tupambane msiwe manyang'au nyie!
 
Wewe endelea kupiga hela za katiba, zilizotolewa na wenye deal la kufungua akaunti nje ya nchi huku wakiwa viongozi katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kula hela tembea zako. Katiba itapita hata kama wananchi wasipoipitisha, itapitishwa kwani hulijui hilloooo!!!!


Mwakaboko nimeshakuambia mara kibao punguza kupiga domo, jenga hoja unapiga kelele zisizokuwa na maana na unawaza ----- nimeshakuambia wewe umetumwa kuchafua discussion ndani ya JF kama huna hoja kaa kimya au ondoka humu kuliko kupayuka payuka wala haikusaidii.
 
Mwakaboko nimeshakuambia mara kibao punguza kupiga domo, jenga hoja unapiga kelele zisizokuwa na maana na unawaza ----- nimeshakuambia wewe umetumwa kuchafua discussion ndani ya JF kama huna hoja kaa kimya au ondoka humu kuliko kupayuka payuka wala haikusaidii.
Ndiyo maana Kafulila aliamua kumwita mtu Mwizi hivi hivi, unaonesha ww ni mwizi wa mali ya umma, ndiyo maaana unawatetea sana wezi wenzako
 
Ndiyo maana Kafulila aliamua kumwita mtu Mwizi hivi hivi, unaonesha ww ni mwizi wa mali ya umma, ndiyo maaana unawatetea sana wezi wenzako

KAFULILA ANAINGIAJE HUMU MWIZI SI WEWE ULIYETUMWA NA CHADOMO!! Kwani unadhani wana jf hawakujui kama umetumwa?
 
Ni kweli, kiongozi, hao jamaa ni wapiga deal. Angalia hata tarehe zao za kujiunga hapa JF, ndipo unaona wazi hawa ni magamba wapiga deal. Hawana uzalendo wowte kwa Taifa, wako tayari kuua taifa ili kulinda magamba yao yasidondoke

NYIE MMEISHIWA HOJA MNAANZA KUMPA HOJA JAMAA ETI ANAPIGA DEAL, INAMANA HII JF NIMYA BABA YENU KIAC HAMTAKI WATU WAWAPINGE UOZO NA UWONGO MNAOUONGEA HUMU NDANI? Wewe na Lukindo lenu moja mnaonekana mmetumwa na mnapiga deal tu humu ndo mana mnakuwa wabishi kama mbogo, hamna hoja mnapiga makelele tu.
 
Back
Top Bottom