kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

Ndiyo maana Kafulila aliamua kumwita mtu Mwizi hivi hivi, unaonesha ww ni mwizi wa mali ya umma, ndiyo maaana unawatetea sana wezi wenzako


Mwakaboko the great man, umezidiwa kalale upate mawazo mapya umezidi kucopy na kupaste!
 
Hiyo katiba unayo itetea mipe ni ibara ipi inampa mwananchi madaraka ya kumwajibisha kiongozi aliye mchagua kama hakutimiza wajibu wake?
 
hiyo katiba unayo itetea mipe ni ibara ipi inampa mwananchi madaraka ya kumwajibisha kiongozi aliye mchagua kama hakutimiza wajibu wake?

usiwe mvivu kusoma kama ulivyokawa kule ordinary level, kasome ibara ya 28-31 vikiwemo na vifungu vyake vyote, majibu ya swali lako hapo juu utayapata tena mazuri tuu.
 
usiwe mvivu kusoma kama ulivyokawa kule ordinary level, kasome ibara ya 28-31 vikiwemo na vifungu vyake vyote, majibu ya swali lako hapo juu utayapata tena mazuri tuu.

Huu sasa ndiyo mpango mzuri, umefanya vema kumuelimisha kulingana na mahitaji yake. Good
 
jamani kumbe hutambui serikali kuwa ni kampuni?
mkiungana watu kumi mkaweka mitaji yenu pamoja kutafuta faida chombo chenu kinatwa kampuni.

hebu niambie watu milioni 40 na kitu walioweka rasilimali zao pamoja na wakaunda chombo cha kusimamia rasilimali hizi kwa maana kinazitumia rasilimali kutengeneza mapato na wakaweka utaratibu wa mapato badala ya kugawana watumie kujenga miundo mbinu chombo hicho kinatwaje?

kimsingi kwa maana ya kampuni serikali ni kampuni na wamiriki wa kampuni hii ni wananchi.

yaani wewe nakushakushangaa kwa maana unaamini shirika linaloanzishwa kwa kodi na mapato ya watanzania wote mtu mmoja ateue rafiki yake, au mshirika wake ndio inafaa tena ambaye hana sifa ndio sahihi kuliko kusema shirika hili washindanie watanzania wote na mwenye sifa zaidi ndiye achaguliwe kuliendesha na akishindwa anafukuzwa mara moja.

lakini akileta faida anaongezewa mkataba


unawaza kujenga ghorofa angani wewe,nafasi za uteuzi zitafutwe kiushindani unafikiri serikali ni kampuni???? Kachukue fomu mwaka huu ugombee urais tuone kama utayafanya hayo na mawazo yako ya kutawala familia yako,tena unaonekana wewe ni dikteta.
 
jamani kumbe hutambui serikali kuwa ni kampuni?
Mkiungana watu kumi mkaweka mitaji yenu pamoja kutafuta faida chombo chenu kinatwa kampuni.

Hebu niambie watu milioni 40 na kitu walioweka rasilimali zao pamoja na wakaunda chombo cha kusimamia rasilimali hizi kwa maana kinazitumia rasilimali kutengeneza mapato na wakaweka utaratibu wa mapato badala ya kugawana watumie kujenga miundo mbinu chombo hicho kinatwaje?

Kimsingi kwa maana ya kampuni serikali ni kampuni na wamiriki wa kampuni hii ni wananchi.

Yaani wewe nakushakushangaa kwa maana unaamini shirika linaloanzishwa kwa kodi na mapato ya watanzania wote mtu mmoja ateue rafiki yake, au mshirika wake ndio inafaa tena ambaye hana sifa ndio sahihi kuliko kusema shirika hili washindanie watanzania wote na mwenye sifa zaidi ndiye achaguliwe kuliendesha na akishindwa anafukuzwa mara moja.

Lakini akileta faida anaongezewa mkataba


bwana ego, serikali sio kampuni kuwa muelewa bhana, mambo mengine hayahitaji elimu kubwa wajameni
 
UFO asante kwa kumueekeza pale sura ya kusoma,
Na mie huwa napata utata naomba nisaidie, kiongozi wa UMMA ni yupi? kuna sehemu wameainishwa watumishi/viongozi wa umma? naomba msaada. nipe ibara na mie
 
UFO asante kwa kumueekeza pale sura ya kusoma,
Na mie huwa napata utata naomba nisaidie, kiongozi wa UMMA ni yupi? kuna sehemu wameainishwa watumishi/viongozi wa umma? naomba msaada. nipe ibara na mie

Ndugu ngoja usaidiwe hapo, nakushauri ukasome Ibara ya 231 utapata mwanga wa hiko ulichomuomba huyo jamaa hapo. Lakini pia kasome ile SURA YA NNE IBARA YA 28-31 Utapata kujua hayo pia.
 
tatizo lenu mnaangalia kampuni kwa kuangalia majina na serikali kwa kuangalia majina.

nenda katika maana ya kampuni ni kitu gani na urudi katika maana ya serikali ni kitu gani utagundua kuwa serikali ni kampuni inayomulikiwa na wananchi wote kwa pamoja ambapo wamiliki wa kampuni hii ni wananchi wenyewe.

lakini kampuni ya kumilikiwa na wananchi wote tayari imepewa special name kwa maana ya kuitwa serikali.

lakini ukichukua kampuni ni kitu gani na kinaundwa vipi si kwa maana ya sheria zilizopo bali kama una kampuni inayomilikiwa na watu wengi utaratibu wao ni ule ule wa kuweka katiba ya kuwaongoza inayoweka utaratibu wa kila kitu.

wananchi hawa wanachagua bodi ya kusimamia kampuni hii ambayo ni bunge

wananchi hawa wanamchagua mkurugenzi mtendaji ambaye ni raisi.

sasa sielewi ni kitu gani kinachowafanya kidai serikali si kampuni?

nitawashangaa pale mtakapokaa watu watano na kuamua kuweka mitaji yenu pamoja na kuunda chombo cha kusimaia mitaji hiyo na kuitumia kuwaletea faida na chombo hicho mkakiita kampuni lakini pale watu milioni arobaini na kitu wanapoweka mitaji yao pamoja na kuunda chombo cha kusimamia mitaji hiyo kuwaletea faida ambayo wameamua itumike si kwa kugawana fedha bali kujenga miundo mbinu ya jamii basi mnasema hii si kampuni?

ni kampuni lakini jina lake ni serikali kama ambavyo kila kampuni ina jina lake linaloitofautisha na makampuni mengine.

bwana ego, serikali sio kampuni kuwa muelewa bhana, mambo mengine hayahitaji elimu kubwa wajameni
 
tatizo lenu mnaangalia kampuni kwa kuangalia majina na serikali kwa kuangalia majina.

nenda katika maana ya kampuni ni kitu gani na urudi katika maana ya serikali ni kitu gani utagundua kuwa serikali ni kampuni inayomulikiwa na wananchi wote kwa pamoja ambapo wamiliki wa kampuni hii ni wananchi wenyewe.

lakini kampuni ya kumilikiwa na wananchi wote tayari imepewa special name kwa maana ya kuitwa serikali.

lakini ukichukua kampuni ni kitu gani na kinaundwa vipi si kwa maana ya sheria zilizopo bali kama una kampuni inayomilikiwa na watu wengi utaratibu wao ni ule ule wa kuweka katiba ya kuwaongoza inayoweka utaratibu wa kila kitu.

wananchi hawa wanachagua bodi ya kusimamia kampuni hii ambayo ni bunge

wananchi hawa wanamchagua mkurugenzi mtendaji ambaye ni raisi.

sasa sielewi ni kitu gani kinachowafanya kidai serikali si kampuni?

nitawashangaa pale mtakapokaa watu watano na kuamua kuweka mitaji yenu pamoja na kuunda chombo cha kusimaia mitaji hiyo na kuitumia kuwaletea faida na chombo hicho mkakiita kampuni lakini pale watu milioni arobaini na kitu wanapoweka mitaji yao pamoja na kuunda chombo cha kusimamia mitaji hiyo kuwaletea faida ambayo wameamua itumike si kwa kugawana fedha bali kujenga miundo mbinu ya jamii basi mnasema hii si kampuni?

ni kampuni lakini jina lake ni serikali kama ambavyo kila kampuni ina jina lake linaloitofautisha na makampuni mengine.
Kumbuka maneno yako ya awali ulokasema kuhusu serikali ni kampuni, waswahili husema ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbukumbu lkn wewe sahv unaanza kutugeuka unakataa maneno yako ulokatoa awali tukueleweje hapo?
 
tatizo wewe hauelewi nimekuambia tatizo wewe unaangalia majina na unatofautisha herufi mimi nalinganisha maana na katika hilo maelezo yangu tangu mwanzo bado niko pale pale.

letatizo lako wewe unadhani nikisema inaitwa serikali nimeitoa katika orodha ya makampuni.

kusema inaitwa serikali ni sawa na kusema makampuni yenye mmiliki mmoja mmoja yanaitwa hivi au yenye wamiriki wengi yanaitwa hivi.

maelezo yangu yote niliyokutajia yanaeleza ni vitu gani vinaifanya serikali yeyote kuwa ni kampuni lakini nikahitimisha kwa kueleza kuwa makampuni yanayomilikiwa na wananchi wote yenye kusimamia rasilimali zao huitwa special name kuwa ni serikali.

au kwa kifupi serikali ni kampuni ya wananchi inayomilikiwa na wananchi wote katika nchi husika ambayo mtaji wake ni rasilimali za nchi na inayotakiwa kutumia rasilimali za jamii kusimamia shughuli zote zinazofanyika katika jamii na kuwaletea wananchi maendeleo.

sasa kwa nini wewe unayesema serikali sio kampuni usiseme ni kitu gani katika maana ya kampuni kinachokosekana katika serikali kinachoinyima sifa ya kuwa kampuni.

Kumbuka maneno yako ya awali ulokasema kuhusu serikali ni kampuni, waswahili husema ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbukumbu lkn wewe sahv unaanza kutugeuka unakataa maneno yako ulokatoa awali tukueleweje hapo?
 
tatizo wewe hauelewi nimekuambia tatizo wewe unaangalia majina na unatofautisha herufi mimi nalinganisha maana na katika hilo maelezo yangu tangu mwanzo bado niko pale pale.

Letatizo lako wewe unadhani nikisema inaitwa serikali nimeitoa katika orodha ya makampuni.

Kusema inaitwa serikali ni sawa na kusema makampuni yenye mmiliki mmoja mmoja yanaitwa hivi au yenye wamiriki wengi yanaitwa hivi.

Maelezo yangu yote niliyokutajia yanaeleza ni vitu gani vinaifanya serikali yeyote kuwa ni kampuni lakini nikahitimisha kwa kueleza kuwa makampuni yanayomilikiwa na wananchi wote yenye kusimamia rasilimali zao huitwa special name kuwa ni serikali.

Au kwa kifupi serikali ni kampuni ya wananchi inayomilikiwa na wananchi wote katika nchi husika ambayo mtaji wake ni rasilimali za nchi na inayotakiwa kutumia rasilimali za jamii kusimamia shughuli zote zinazofanyika katika jamii na kuwaletea wananchi maendeleo.

Sasa kwa nini wewe unayesema serikali sio kampuni usiseme ni kitu gani katika maana ya kampuni kinachokosekana katika serikali kinachoinyima sifa ya kuwa kampuni.

unataka nisemeje wakati hilo linafahamika kuwa serikali sio kampuni??? Lol
 
kwa kutambua kuwa serikali ni kampuni na mwananchi ndiye mmiliki itamfanya mwananchi yeyote kujitambua yeye na kuitambua serikali kuwa ni watumishi waliojiriwa na wananchi kuwatumikia.

utatambua kuwa hakuna kampuni ambayo mkurugenzi anamnyima mmiliki taarifa au anakaidi maagizo ya mmiliki akabaki salama labda anataka kufukuzwa kazi.

lakini katika nchi za wajinga serikali inawanyima wananchi wake taarifa na kudai mambo mbalimbali ni siri za serikali????? yaani nimekuajiri unifanyie kazi katika duka langu ninakuomba taarifa za duka unaniambia eti ni siri za duka?????

kutokuelewa huku ndiko kunakotufanya tunadhani raisi anatakiwa kuteua anavyotaka badala ya kutambua kuwa hakuna mtu anamuajiri mkurugenzi mkuu katika kampuni eti anamuacha mkurugenzi mkuu katika kampuni kila sehemu ateue anavyotaka.

wewe ukiwa mmiliki unaouwezo wa kuamua hivyo kwa maana ukiamua kampuni yako watumishi watumishi wake wawe watoto wako, ndugu zako na marafiki zako hakuna wa kukuuliza.

lakini hakuna mtendaji wa kuajiriwa au kuteliwa au kuchagukliwa anaweza kujiamlia kuweka ndugu zake, mrafiki zake, washirika zake.

hapa namaanisha wananchi wanaweza kuamua katika makampuni yetu hatuajiari watumishi wageni kwa maana ya watumishi kutoka nje ya nchi lakini raisi hawezi kusema mimi nitaajiri marafiki zangu tu katika utumishi wa umma ingawa hilo linaweza kutokea pale tu wananchi wanapokuwa wapumbavu na kutokujitambua wao ni nani kwa serikali na nini haki zao na wakaruhusu kutunga katiba yenye mianya kama hiyo.


lakini mimi napenda kuwaonyesha kinachokuja kwa nchi za wapumbavu wenye kuruhusu mambo kama hayo ni nini?

ni nchi hizo kurudi katika utumwa wa aina nyingine !

kama tulivyoona baadhi ya nchi kama misri na libya na nyingine nyingi viongozi wajiweka kuwa watawala wa milele na baadhi wakitafuta kuwarithisha watoto wao uongozi lakini kwa utumwa huu unaokuja hautatoka kwa watawala bali utatoka kwa matajiri kuchukua kila kitu cha masikini kupitia rushwa and any kind of corruption na hapo matajiri hawa watashikilia uongozi wa wananchi na kutoruhusu fikra tofauti kutoka katika makundi yaliyonyanganywa mali kutafuta kujikomboa.

tahadhari ni kuweka mifumo ya kudhibiti jamii zetu zisielekee katika hali hizo kabla hazijaanza kutokea kwa maana kama matajiri hao watakuwa wamekwisha jitambua na kuona mwelekeo itakuwa vigumu kuwazuia kwa maana nguvu ya pesa ni mbaya sana katika corruption.

tajiri anayepata mali kwa njia sahihi ni mtu mzuri sana katika jamii yoyote, lakini tajiri anayepata mali kwa corruption ni mtu hatari sana katika jamii. ni hatari kwa viongozi au mtu yeyote anayemtumia kwa maana akihisi hakuhitaji au akijisikia hofu au ukibadili mawazo itakula kwako na daima utakuwa mtumwa wake. lakini kwake yeye mpenda haki ni adui kwake, kwake fitina ndio ushindani, mtafuta mali kama yeye katika eneo lake ni adui yake.

katika kutengeneza katiba tuwaze mbali kuielekeza jamii yetu.

tusiweke mazingira ya fedha za kundi dogo kuteka vyombo vyetu vyote siku moja na kutugeuza watumwa tena.

lakini kama tukiweka mifumo ya kujihami na yenye kuhamasisha jamii kuzalisha nani atapata hasara? kwangu mimi nona mtanzania yeyote anapata faida zaidi pale nchi yetu inapotoka katika umasikini na kutoka katika umasikini si swala la kubahatisha bali zipo kanuni za kiunongozi na kibiashara, je sisi tunajielekeza huko?

unataka nisemeje wakati hilo linafahamika kuwa serikali sio kampuni??? Lol
 
ningekujibu kwa lugha uliyotumia lakini nitakuwa najishusha, kwangu mimi naamini kundi kutajwa katika katiba ni useless kama hakuna mfumo wa kulinda haki hiyo iliyotajwa.

mimi sisomi katiba kwa kuangalia ibara fulani inasema nini bali naenda mbali zaidi kuangalia baada ya katiba kusema nini kinafuata na ni nani atatekeleza na je yule anayetakiwa kutekeleza nani atahoji au mhusika ataenda wapi na kuna mfumo unaofanya haki itendeke.

katiba haisomwi kwa kifungu kimoja kwani huwezi kupata kitu chochote katika maisha kwa kutumia kifungu kimoja tu cha katiba na hilo ndilo tatizo la wengi.

Hao vichomi wa lumumba wamewekwa hapa kwa ajili ya kupinga au kuharibu mada yoyote kuhusu katiba mpya, wameandikishwa wiki moja na hawachangii mada nyingine yoyote.
 
Ndugu ngoja usaidiwe hapo, nakushauri ukasome Ibara ya 231 utapata mwanga wa hiko ulichomuomba huyo jamaa hapo. Lakini pia kasome ile SURA YA NNE IBARA YA 28-31 Utapata kujua hayo pia.


Majukumu ya Tume 231.-(1) Majukumu ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma yatakuwa ni kufuatilia na kuchunguza tabia na mwenendo wa viongozi wa umma kwa madhumuni ya kusimamia na kuhakikisha kuwa maadili na miiko ya uongozi wa umma inazingatiwa, inalindwa na kuheshimiwa katika utumishi wa Serikali, Bunge, Mahakama, taasisi na idara nyingine zote za umma. (2) Bila kuathiri masharti ya jumla ya ibara ndogo ya (1), majukumu mahsusi ya Tume yatakuwa ni: (a) kusimamia maadili katika utumishi wa umma; (b) kuchunguza tabia na mwenendo wa kiongozi wa umma na kuchukua hatua pale inapostahili; na (c) kusimamia sheria kuhusu maadili ya viongozi wa umma. (3) Bunge litatunga sheria kwa ajili ya utekelezaji wa masharti ya Ibara hii.

Kwa kusoma majukumu ya tume. Tunawezaje kumjua kiongozi au mtumishi wa umma ni yupi?

Mie ninaomba sehemu ambayo hawa watu wamekuwa defined kwenye katiba
 
Majukumu ya Tume 231.-(1) Majukumu ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma yatakuwa ni kufuatilia na kuchunguza tabia na mwenendo wa viongozi wa umma kwa madhumuni ya kusimamia na kuhakikisha kuwa maadili na miiko ya uongozi wa umma inazingatiwa, inalindwa na kuheshimiwa katika utumishi wa Serikali, Bunge, Mahakama, taasisi na idara nyingine zote za umma. (2) Bila kuathiri masharti ya jumla ya ibara ndogo ya (1), majukumu mahsusi ya Tume yatakuwa ni: (a) kusimamia maadili katika utumishi wa umma; (b) kuchunguza tabia na mwenendo wa kiongozi wa umma na kuchukua hatua pale inapostahili; na (c) kusimamia sheria kuhusu maadili ya viongozi wa umma. (3) Bunge litatunga sheria kwa ajili ya utekelezaji wa masharti ya Ibara hii.

Kwa kusoma majukumu ya tume. Tunawezaje kumjua kiongozi au mtumishi wa umma ni yupi?

Mie ninaomba sehemu ambayo hawa watu wamekuwa defined kwenye katiba
We haika naona unaona raha tu kubishana bishana, sasa nakushauri kama unayo hiyo katiba ni vema ukaisoma yote kipengele hadi kipengele usipende usomewe na watu coz ukisomewa afu ukaja kuambiwa kuna hiki kuna kile bado utaanza kuuliza tena kuna kitu flani? Usiwe kama mwanafunzinwa chekechea na epuka uvivu wa kusoma. Na huyo jamaa alokupa hizo sehemu alitakiwa alupe darasa kama hili pia
 
Back
Top Bottom