kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

sikujui unamaanisha nini lakini kura ndiyo itakayoamua kama katiba inahitaji marekebesho au imekamilika.

lakini kama sote tunaweza kutumia busara kusema turekebishe kwanza linaweza kutusaidia sana.

kwa sasa ni kufikiria kufanya marekebisho kupitia nafasi zilizoko katika mchakato.

Bwana ego wewe unahitaji marekebisho gani tena zaidi ya yale yaliyofanywa na BMK? mbona mambo yako vizuri tuu?
 
ki msingi katiba inahitaji marekebisho makubwa tena sana na kutunga katiba kwetu leo lazima kutofautiane na waliotunga katiba miaka ya 70.

but tunatumia mfumo ule ule wa kukusanya material kwa kuangalia kila kipengele peke yake na bila kureflect matatizo yaliyopo.

Bwana ego wewe unahitaji marekebisho gani tena zaidi ya yale yaliyofanywa na BMK? mbona mambo yako vizuri tuu?
 
ningekujibu kwa lugha uliyotumia lakini nitakuwa najishusha, kwangu mimi naamini kundi kutajwa katika katiba ni useless kama hakuna mfumo wa kulinda haki hiyo iliyotajwa.

mimi sisomi katiba kwa kuangalia ibara fulani inasema nini bali naenda mbali zaidi kuangalia baada ya katiba kusema nini kinafuata na ni nani atatekeleza na je yule anayetakiwa kutekeleza nani atahoji au mhusika ataenda wapi na kuna mfumo unaofanya haki itendeke.

katiba haisomwi kwa kifungu kimoja kwani huwezi kupata kitu chochote katika maisha kwa kutumia kifungu kimoja tu cha katiba na hilo ndilo tatizo la wengi.


Wewe mjibu kwa ustarabu tu huna haja ya kutukana,kama una hoja atakuelewa!
 
ki msingi katiba inahitaji marekebisho makubwa tena sana na kutunga katiba kwetu leo lazima kutofautiane na waliotunga katiba miaka ya 70.

but tunatumia mfumo ule ule wa kukusanya material kwa kuangalia kila kipengele peke yake na bila kureflect matatizo yaliyopo.


Nachoweza kusema hapa wale walioshiriki kutunga ile ya mwaka 1977 wanastahili pongezi na ndio maana tumefika hapa tulipo,katiba ya mwaka 1977 imeweka msingi imara kwa taifa letu na ndiyo maana inatumika mpaka sasa wala hakuna sababu yoyote ya kuibeza na kuidharau, kilichopo sasa ni zamu yetu kuja na katiba mpya ambayo haitajengwa nje ya misingi iliyolisimamisha taifa letu kuwepo mpka sasa yapo mambo ya msingi ambayo hayapaswi kuchezewa hata kidogo!

Nachokiona hapa ni sisi kutokuelewa vizuri maana ya Katiba kiasikwamba tunataka kuingiza mambo yetu hata ambayo hayana msaada kwa taifa, wakati mwingine tunasingizia ukisasa wakati tunapotoka Tanzania ni ile ile haikabadilika tuwe makini tu na tusijaribu kuharibu vitu vizuri tulivyonavo.
 
anayeweza kuwabeza waliotunga katiba ya miaka ya sabini ni mjinga. mimi binafsi sikusema hatutakiwi kufanya kama wao kwa maana ya kuwadharau bali nikitafakari mazingira waliyokuwano nayo kipindi kile ninaona walichokifanya enzi hizo kilikuwa sahihi kwa maana kiliendana na wakati ule.

lakini leo hii mambo yamebadilika na sisi tunatakiwa kutunga katiba yetu kwa sasa kwa kujifunza kutokana na changamoto tunazokabiliana nazo.

mfano swala la imani haiingii akilini leo hii kutoa uhuru wa imani kikatiba bila mipaka leo hii wakati tumekwisha anza kuona jinsi imani zinavyotupeleka pabaya. ni lazima uhuru wa imani leo hii uwekewe mipaka kwa kutaja ni mambo gani yanaruhusiwa kiiimani ili kwa yeyote anayewaza kutumia imani kuvuruga jamii kutambua moja kwa moja katiba haimruhusu. tulitakiwa tufanunue uhuru unaotolewa ni wa aina gani kwa maana unaruhusiwa kuamini unavyotaka lakini hauruhusiwi kumlazimisha mtu kuamini unachotaka, unaruhusiwa kuamini unachotaka lakini imani ni kosa kutumia imani yako kuhamasisha watu kuacha njia zilizothibishwa za matibabu, kiuchumi.

Nachoweza kusema hapa wale walioshiriki kutunga ile ya mwaka 1977 wanastahili pongezi na ndio maana tumefika hapa tulipo,katiba ya mwaka 1977 imeweka msingi imara kwa taifa letu na ndiyo maana inatumika mpaka sasa wala hakuna sababu yoyote ya kuibeza na kuidharau, kilichopo sasa ni zamu yetu kuja na katiba mpya ambayo haitajengwa nje ya misingi iliyolisimamisha taifa letu kuwepo mpka sasa yapo mambo ya msingi ambayo hayapaswi kuchezewa hata kidogo!

Nachokiona hapa ni sisi kutokuelewa vizuri maana ya Katiba kiasikwamba tunataka kuingiza mambo yetu hata ambayo hayana msaada kwa taifa, wakati mwingine tunasingizia ukisasa wakati tunapotoka Tanzania ni ile ile haikabadilika tuwe makini tu na tusijaribu kuharibu vitu vizuri tulivyonavo.
 
hatari kubwa ya nafasi za uteuzi ni taifa kuwa na watu wasio na ajira maalumu kuishi kwao ni kusubiri raisi akichaguliwa wateuliwe. tatizo linaobika pale mpambe wao anaposhindwa maana hawa wanaona maisha ndio yamewapa kisogo na hawa ndio hushinikiza makundi yao kuingia misituni.

tubadili mifumo yetu ya nuongozi iondoe makundi ya watu hawa bali kila mmoja awe na ajira na kiteuliwa basi lakini si mtu kusubiri kuteuliwa ndio aendeshe maisha, ni hatari sana.


Katiba inayopendekezwa iko poa sana!wakati utafika tutaitendea haki!
 
kwa vipi? maana kila anayesema iko poa lazima atoe sababu na yule anayesema haiko sawa lazima atoe sababu.

yeyote anayetoa msimamo bila sababu hastahili kusikilizwa kwa maana hajui anachokisema.

Katiba inayopendekezwa iko poa sana!wakati utafika tutaitendea haki!
 
anayeweza kuwabeza waliotunga katiba ya miaka ya sabini ni mjinga. mimi binafsi sikusema hatutakiwi kufanya kama wao kwa maana ya kuwadharau bali nikitafakari mazingira waliyokuwano nayo kipindi kile ninaona walichokifanya enzi hizo kilikuwa sahihi kwa maana kiliendana na wakati ule.

lakini leo hii mambo yamebadilika na sisi tunatakiwa kutunga katiba yetu kwa sasa kwa kujifunza kutokana na changamoto tunazokabiliana nazo.

mfano swala la imani haiingii akilini leo hii kutoa uhuru wa imani kikatiba bila mipaka leo hii wakati tumekwisha anza kuona jinsi imani zinavyotupeleka pabaya. ni lazima uhuru wa imani leo hii uwekewe mipaka kwa kutaja ni mambo gani yanaruhusiwa kiiimani ili kwa yeyote anayewaza kutumia imani kuvuruga jamii kutambua moja kwa moja katiba haimruhusu. tulitakiwa tufanunue uhuru unaotolewa ni wa aina gani kwa maana unaruhusiwa kuamini unavyotaka lakini hauruhusiwi kumlazimisha mtu kuamini unachotaka, unaruhusiwa kuamini unachotaka lakini imani ni kosa kutumia imani yako kuhamasisha watu kuacha njia zilizothibishwa za matibabu, kiuchumi.
Ndugu Ego au kwa Kiingereza I kwa Kiswahili Mimi. Unaonekana una pointi kuhusu viongozi wa imani kutotuamria nini la kufanua kiuchumi au kimatibabu. Suala la kufanya ndugu yangu Ego ni kuwasikiliza kuchambua kile kinachoongelewa kizuri unachukua pumba unaacha. Lakini hoja unayo. Swali je Katiba Inayopendekezwa umeisoma!
 
makundi mbalimbali yamekuwa yakipigania kutajwa katika katiba na hata wengine kudiriki kutaka mambo ambayo kimsingi si ya kuingia katika katiba.

hapa tumejisahau kuwa kinachotusumbua si kutotajwa katika katiba ndio maana hatukuridhika huko nyuma bali kutokuwepo kwa misingi ya kutoa haki pengine katika katiba ndio tatizo kubwa.

jambo la kwanza kwetu sote iwe ni kupigania misingi ya kutoa haki kwa wote ijengwe katika katiba na hapo kila mmoja katika kundi lake dogo haki yake ataipata.

Kukusaidia tu nenda kasome ibara ya 65 kuanzia (1)-(6) tusipende kupotosha for nothn utaalam wa kuandika huna....umeandikiwa basi chukua jukumu la kusoma bado hutaki unaishia kuandika vipost kichefuchefu.....kama huna cha kuandika ts better u stay out of JF
 
ningekujibu kwa lugha uliyotumia lakini nitakuwa najishusha, kwangu mimi naamini kundi kutajwa katika katiba ni useless kama hakuna mfumo wa kulinda haki hiyo iliyotajwa.

mimi sisomi katiba kwa kuangalia ibara fulani inasema nini bali naenda mbali zaidi kuangalia baada ya katiba kusema nini kinafuata na ni nani atatekeleza na je yule anayetakiwa kutekeleza nani atahoji au mhusika ataenda wapi na kuna mfumo unaofanya haki itendeke.

katiba haisomwi kwa kifungu kimoja kwani huwezi kupata kitu chochote katika maisha kwa kutumia kifungu kimoja tu cha katiba na hilo ndilo tatizo la wengi.

Kama unataka kujua mfumo wa ulindaji wa hizo haki narudia tena coz nimeshakuandkia kweny post nyingne......... nenda kasome ibara ya 65 kuanzia (1)-(6) sikwambii inasemaje ila take ua time n read halafu urudi tena huku...
 
ningekujibu kwa lugha uliyotumia lakini nitakuwa najishusha, kwangu mimi naamini kundi kutajwa katika katiba ni useless kama hakuna mfumo wa kulinda haki hiyo iliyotajwa.

Mimi sisomi katiba kwa kuangalia ibara fulani inasema nini bali naenda mbali zaidi kuangalia baada ya katiba kusema nini kinafuata na ni nani atatekeleza na je yule anayetakiwa kutekeleza nani atahoji au mhusika ataenda wapi na kuna mfumo unaofanya haki itendeke.

Katiba haisomwi kwa kifungu kimoja kwani huwezi kupata kitu chochote katika maisha kwa kutumia kifungu kimoja tu cha katiba na hilo ndilo tatizo la wengi.
sasa kama hutaki kusoma eti unaeenda mbali utaelewaje? Ndo maana nakwambia wewe ni mkaidi na kamwe hutoelewa utabaki na ujinga wako huo
 
ningekujibu kwa lugha uliyotumia lakini nitakuwa najishusha, kwangu mimi naamini kundi kutajwa katika katiba ni useless kama hakuna mfumo wa kulinda haki hiyo iliyotajwa.

mimi sisomi katiba kwa kuangalia ibara fulani inasema nini bali naenda mbali zaidi kuangalia baada ya katiba kusema nini kinafuata na ni nani atatekeleza na je yule anayetakiwa kutekeleza nani atahoji au mhusika ataenda wapi na kuna mfumo unaofanya haki itendeke.

katiba haisomwi kwa kifungu kimoja kwani huwezi kupata kitu chochote katika maisha kwa kutumia kifungu kimoja tu cha katiba na hilo ndilo tatizo la wengi.

Sasa wewe unasema katiba haisomw kwa kuangalia kifungu kimoja...mbona unachekesha...we umeuliza swali specificaly na umerise hoja froma specific ibara...unataka muelimishaji akuelimishe kwa kutumia katiba nzima..huu cutakuwa wendawazimu.....kikubwa utajibiwa accordingly......kama nilivyofanya....umesema hakuna mfumo wa kulinda haki nilichofanya naenda kukuonesha jinsi haki hizo zitakavyolindwa thats all...samahani lakini usijione mjinga kwa kutoelewa haya..maana bora kuwa mjinga kuliko mpumbavu coz hukuwa unajua na sasa umeelewa....hap weekend the X mjinga
 
anayeweza kuwabeza waliotunga katiba ya miaka ya sabini ni mjinga. mimi binafsi sikusema hatutakiwi kufanya kama wao kwa maana ya kuwadharau bali nikitafakari mazingira waliyokuwano nayo kipindi kile ninaona walichokifanya enzi hizo kilikuwa sahihi kwa maana kiliendana na wakati ule.

lakini leo hii mambo yamebadilika na sisi tunatakiwa kutunga katiba yetu kwa sasa kwa kujifunza kutokana na changamoto tunazokabiliana nazo.

mfano swala la imani haiingii akilini leo hii kutoa uhuru wa imani kikatiba bila mipaka leo hii wakati tumekwisha anza kuona jinsi imani zinavyotupeleka pabaya. ni lazima uhuru wa imani leo hii uwekewe mipaka kwa kutaja ni mambo gani yanaruhusiwa kiiimani ili kwa yeyote anayewaza kutumia imani kuvuruga jamii kutambua moja kwa moja katiba haimruhusu. tulitakiwa tufanunue uhuru unaotolewa ni wa aina gani kwa maana unaruhusiwa kuamini unavyotaka lakini hauruhusiwi kumlazimisha mtu kuamini unachotaka, unaruhusiwa kuamini unachotaka lakini imani ni kosa kutumia imani yako kuhamasisha watu kuacha njia zilizothibishwa za matibabu, kiuchumi.
Ego mara nyingi huwa huna point. Hata ukiandika mistari miwili inatia uvivu kusoma. Kwa nini usiache jukwaa hili la waelewa ukaanza la kwako la wasioelewa
 
Hakuna katiba wala makundi tofauti wala sheria.Dhamana pale mahakamani mpaka mtu anayefanya serikalini akudhamini....kama huna basi pesa yako...kama huna pesa watakupeleka huko.

Hiki ni nini umeandika? We mwenyewe umeelewa kweli ulichoandika?
 
sijui nikuiteje maana nikikueleza ukweli utasema nimekutukana.

bado narudia kilichotajwa katika kifungu kimoja cha katiba kama muundo wa katiba yenyewe hauwezeshi kilichotajwa katika kifungu hicho kimoja kupatikana on ground ni kama kifungu hicho hakipo.

kama katiba imetaja haki fulani lakini haiweki mifumo ya kuwezesha haki hizo zipatikane, katiba hiyo haiweki mifumo ya kusimamia ili wenye dhamana kutimiza wajibu wao, kama katiba haiweki mifumo ya kuhakikisha kuwa pale wenye dhamana wanapokiuka ni lazima haki itendeke, katiba hiyo yaweza kufanana na kitabu cha hadithi ambacho msomaji ana hiari ya kuyakubali au kuyakataa yale yaliyoandikwa.

tumefika hapa tulipo kutokana na wale wanaojidhani ni wataalamu wa uandishi wa katiba kumbe sometimes they can be ignorant katika mada hiyo.

nani ni mtaalamu inahukumiwa na kile kilichoandikwa kukidhi mahitaji ya kilichokusudiwa.

kama huwezi kutambua ukweli kuwa jambo lolote linalotajwa katika katiba, ndani ya katiba hiyo hiyo kuna mamlaka inatakiwa kutekeleza jambo hilo, kuna mamlaka inatakiwa kusimamia utekelezaji wake, kuna mamlaka ambayo ukiona hujatendewa haki unatakiwa unaweza kwenda kuidai huko.

kimsingi nilichokisema ni kuwa katiba ni sawa na treni. kwa kawaida treni ina kichwa ambacho huvuta mabewa. haki za makundi ni sawa na mabehewa ambapo kundi linakimbilia kuangalia sisi behewa letu lipo? lakini hapa tukumbuke kuwa mabehewa yetu yanaweza kuwepo lakini kichwa cha kubeba mabehewa haya je kipo?

hapa tunachokifanya watanzania ni kuunda treni yetu, hivyo ni jukumu letu sote kuhakikisha kuwa tunatengeneza kichwa cha kuvuta mabehewa yote na tukisha maliza kutengeneza kichwa ndio sasa makundi yaanagalie mabehewa yao.

kichwa ni mihimili mitatu kuhakikisha inakuwepo.

kuwepo kwa mihimili mitatu sio kuitaja tu katika vifungu bali ni kuhakikisha mihimili hii kila mmoja haumezwi na mhimili mwingine na hakuna mhimili unaoweza kuwa na nguvu zaidi ya mingine.

lengo hapa ni kutokana na rasilimali za jamii kutowezekana kwa jamii kuzisimamia yenyewe moja kwa moja hivyo jamii inalazimika kutengengeneza vyombo ambavyo vitafanya kazi ya jamii kwa kusimamiana vyombo vyenyewe.

ukiwa na chombo kimoja au chombo kimoja chenye nguvu au vikaungana na kuwa chombo kimoja matokeo yake ni uwezekano wa chombo hiki kimoja au chombo chenye nguvu kupora madaraka ya wananchi.

mtaalamu wa uandishi wa katiba anayeweza kujigamba ni si yule wa kuangalia kifungu kimoja kimoja kinasemaje bali ni yule anayeweza kutengeneza "checks and balansi " katika mtiririko mzima wa katiba na kujumuisha mambo muhimu yote.

katiba sio tu kile kilichotajwa bali katiba nzima inasimamiaje yale yalitotajwa.

Kama unataka kujua mfumo wa ulindaji wa hizo haki narudia tena coz nimeshakuandkia kweny post nyingne......... nenda kasome ibara ya 65 kuanzia (1)-(6) sikwambii inasemaje ila take ua time n read halafu urudi tena huku...
 
anayeweza kuwabeza waliotunga katiba ya miaka ya sabini ni mjinga. mimi binafsi sikusema hatutakiwi kufanya kama wao kwa maana ya kuwadharau bali nikitafakari mazingira waliyokuwano nayo kipindi kile ninaona walichokifanya enzi hizo kilikuwa sahihi kwa maana kiliendana na wakati ule.lakini leo hii mambo yamebadilika na sisi tunatakiwa kutunga katiba yetu kwa sasa kwa kujifunza kutokana na changamoto tunazokabiliana nazo.mfano swala la imani haiingii akilini leo hii kutoa uhuru wa imani kikatiba bila mipaka leo hii wakati tumekwisha anza kuona jinsi imani zinavyotupeleka pabaya. ni lazima uhuru wa imani leo hii uwekewe mipaka kwa kutaja ni mambo gani yanaruhusiwa kiiimani ili kwa yeyote anayewaza kutumia imani kuvuruga jamii kutambua moja kwa moja katiba haimruhusu. tulitakiwa tufanunue uhuru unaotolewa ni wa aina gani kwa maana unaruhusiwa kuamini unavyotaka lakini hauruhusiwi kumlazimisha mtu kuamini unachotaka, unaruhusiwa kuamini unachotaka lakini imani ni kosa kutumia imani yako kuhamasisha watu kuacha njia zilizothibishwa za matibabu, kiuchumi.
Suala la imani ni very complex na linatakiwa kuwa handled with care,imani ni kuamini pasipo mashaka yoyote kuhusu jambo fulani sasa Serikali jambo hili imeliweka wazi kwa kutoa uhuru wa kuabdu na imani japo kuwa katika uhuru huu kuna mipaka, ukisoma Katiba inayotumika sasa ya mwaka 1977 ina kipengele hicho, vivyo hivyo Katiba inayopendekezwa ibara ya 41 imeeleza wazi masuala ya dini na kuna vifungu vinavyotoa makatazo ya shughuli za dini kuvunja amani, uchochezi wa aina yoyote unaoweza kuleta mtafaruku katika jamii.Jambo la matibabu kiimani Serikali haiwezi kuliingilia kwa sababu ni la mtu binafsi, mtu anaweza kuamwamini Mungu kuwa anaponya na akapona kulingana na imani yake,Hapa huwezi kuwazuia watu jinsi wanavyoamini katika matibabu yao na imani zao isipokuwa tu pale ambapo mambo hayo yatahatarisha usalama wa nchi na maelfu ya wtz hapo serikali itaingia kwa nguvu zote! Fanya tathmini ya kikombe cha babu Loliondo kisha unipe majibu hapa!!!!
 
kwa vipi? maana kila anayesema iko poa lazima atoe sababu na yule anayesema haiko sawa lazima atoe sababu.yeyote anayetoa msimamo bila sababu hastahili kusikilizwa kwa maana hajui anachokisema.
Mbona sababu kibao zimeshatolewa na kutAjwa na wachangiaji kibao tofauti na mimi kuhusu mambo mazuri yaliyo kwenye katiba inayopendekezwa kikubwa ni kuiptia vifungu husika ili kujielimisha!
 
nyerere alisema uhuru bila mipaka ni wendawazimu

hapa tulipo tumekwishabaini ni jinsi gani imani zinavuruga amani, imani zinarudisha nyuma maendeleo, kwa kuendesha propaganda za kuwarudisha wanadamu katika maisha ya kubahatisha au kupotoshwa kwa kuacha njia za kiuchumi sahihi, kuacha tiba sahihi, kuacha kila njia za kitaalamu ambazo wanadamu wamevumbua kupitia uzoefu wa maisha yao.

tunatakiwa kuziwekea imani mipaka ili zisiende huko zinakoelekea sasa.

ukitaka kujua picha halisi ya imani angalia babu wa loliondo uliyemtaja na hapo ndipo utapata picha ya kile kinachotendeka katika imani kwa kuja na vitu ambavyo kwa juu juu vinaonekana mkombozi lakini kumbe ndani ni vinafanya kazi ya kuangamiza.

yawezekana ipo mipaka inaweza kupatikana katika vifungu vingine vya katiba lakini tusiruhusu debate katika mambo haya bali ni kuweka mipaka iliyo wazi na kuzibana imani zibaki katika misingi yake na zisiingilie sekita nyingine na kuanza kufanya kazi ya kuharibu kazi nzuri tunazozifanya.

si vibaya kwa mtu kuamini yupo mungu hata kama hayupo ingawa na yenyewe ina madhara yake, lakini ni upuuzi tukiruhusu watu washinde makanisani kutafuta suluhisho la magonjwa, matatizo ya kiuchumi, migogoro ya kijamii na kadhalika.

kama kuna yeyote anadhani anawezakutoa tiba kutoka nguvu asizozijua na kutibu asichokijua huku hajui kinachofanyika basi afungue hospitali lakini baada ya tiba yake kupitia katika mfumo wa kuhakikiwa tunaotumia kuhakiki tiba zetu zote.

swala la imani ni very serious na sisi tunatakiwa kutambua kuwa kutengeneza katiba ni kutambua matatizo yetu na kuweka taratibu zetu ambazo zitatuongoza katika kutatua matatizo hayo.

Suala la imani ni very complex na linatakiwa kuwa handled with care,imani ni kuamini pasipo mashaka yoyote kuhusu jambo fulani sasa Serikali jambo hili imeliweka wazi kwa kutoa uhuru wa kuabdu na imani japo kuwa katika uhuru huu kuna mipaka, ukisoma Katiba inayotumika sasa ya mwaka 1977 ina kipengele hicho, vivyo hivyo Katiba inayopendekezwa ibara ya 41 imeeleza wazi masuala ya dini na kuna vifungu vinavyotoa makatazo ya shughuli za dini kuvunja amani, uchochezi wa aina yoyote unaoweza kuleta mtafaruku katika jamii.Jambo la matibabu kiimani Serikali haiwezi kuliingilia kwa sababu ni la mtu binafsi, mtu anaweza kuamwamini Mungu kuwa anaponya na akapona kulingana na imani yake,Hapa huwezi kuwazuia watu jinsi wanavyoamini katika matibabu yao na imani zao isipokuwa tu pale ambapo mambo hayo yatahatarisha usalama wa nchi na maelfu ya wtz hapo serikali itaingia kwa nguvu zote! Fanya tathmini ya kikombe cha babu Loliondo kisha unipe majibu hapa!!!!
 
kwa vipi? maana kila anayesema iko poa lazima atoe sababu na yule anayesema haiko sawa lazima atoe sababu.

yeyote anayetoa msimamo bila sababu hastahili kusikilizwa kwa maana hajui anachokisema.

Ego mie nakusoma sana afu we mbishi kinoma sikuwa hewani kitambo lakini nimekusoma hapa naona unapoteza muda sababu kibao za kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa wamezitoa afu wewe huzielewi unakomaa ili iweje nakumbuka ulianza komaa kwenye utoaji haki ukaambiwa kasome Sura ya Tano kuanzia Ibara ya 32 mpaka 59 hukusoma na bado ulikua unauliza tu.? Kama sio kupotezea muda ni nini acha hizo bhana!!!
 
anayeweza kuwabeza waliotunga katiba ya miaka ya sabini ni mjinga. mimi binafsi sikusema hatutakiwi kufanya kama wao kwa maana ya kuwadharau bali nikitafakari mazingira waliyokuwano nayo kipindi kile ninaona walichokifanya enzi hizo kilikuwa sahihi kwa maana kiliendana na wakati ule.

lakini leo hii mambo yamebadilika na sisi tunatakiwa kutunga katiba yetu kwa sasa kwa kujifunza kutokana na changamoto tunazokabiliana nazo.

mfano swala la imani haiingii akilini leo hii kutoa uhuru wa imani kikatiba bila mipaka leo hii wakati tumekwisha anza kuona jinsi imani zinavyotupeleka pabaya. ni lazima uhuru wa imani leo hii uwekewe mipaka kwa kutaja ni mambo gani yanaruhusiwa kiiimani ili kwa yeyote anayewaza kutumia imani kuvuruga jamii kutambua moja kwa moja katiba haimruhusu. tulitakiwa tufanunue uhuru unaotolewa ni wa aina gani kwa maana unaruhusiwa kuamini unavyotaka lakini hauruhusiwi kumlazimisha mtu kuamini unachotaka, unaruhusiwa kuamini unachotaka lakini imani ni kosa kutumia imani yako kuhamasisha watu kuacha njia zilizothibishwa za matibabu, kiuchumi.


Ego usipende ligi isiyo na maana kwani katiba inayotumika sasa ni ipi??
 
Back
Top Bottom