kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

kundi kutajwa katika katiba haitoi haki kama katiba haina mfumo wa kutoa haki

mimi nadhani mrwanda au mkongo anayejenga tanzania ni bora kwa tanzania kuliko mtanzania anayebomoa tanzania.

nchi zenye jamii ya watu wanaoelewa kwanza wakigundua mtu anaweza kusaidia nchi yao wanamshawishi kumpa uraia.

lakini nchi za wajinga na wapumabavu hudhani waelewa ni maadui hivyo wako tayari kuwafukuza hata raia wao ambao ni welevu ili wabaki katika ujinga wao.

tusiwe wajinga kwa kutaka watu waseme kile tunachotaka kusikia bali tukubali kusikiliza kila mtu mawazo yake na hapo tutatambua mwelekeo wetu ni upi na tufanye nini.
wewe acha uzuzu maana we kuipinga katiba unadhani ndo kuijenga? Yani we umekosa akili kweli ungekuwa unaikubali ngeamini uyasemayo hapo juu lakn kwa kuipinga hapo unabomoa acha ushamba
 
tatizo lako unadhani amani inakuja yenyewe tu!

nimekueleza angalia nchi yoyote yenye amani tazama nyuma kabla kulikuwa na mambo gani na tazama nchi yoyote yenye vurugu tazama nyuma kulikuwa na nini.

amani au vurugu haviji kama mvua kuwa vinakuja vyenyewe bali vinatokana na maisha ya wananchi.

ukiangalia maisha yetu ya sasa unaweza kujua tunaelekea wapi.

kusema amani amani haisadii kwa kuwa huko nyuma hatukuijenga kwa kuhubiri maneno hayo bali yanayotendeka katika maisha ya watu.

matendo yetu sote ndio yatakayotupeleka ama kwenye amani au kinyume.

wewe acha kufananisha tanzania na vichaka vingine, hii ni nchi ya amqni amqbyo imedumu kww muda mrefu, nyie mnaoipinga ndo mna nia mbaya na kuvuruga amani ya nchi hii, ushindwe na ulegee, kama hauna kazi endelea kuchapa ucngz acha kudanganya watu humu ndani.
 
tatizo lako unadhani amani inakuja yenyewe tu!

nimekueleza angalia nchi yoyote yenye amani tazama nyuma kabla kulikuwa na mambo gani na tazama nchi yoyote yenye vurugu tazama nyuma kulikuwa na nini.

amani au vurugu haviji kama mvua kuwa vinakuja vyenyewe bali vinatokana na maisha ya wananchi.

ukiangalia maisha yetu ya sasa unaweza kujua tunaelekea wapi.

kusema amani amani haisadii kwa kuwa huko nyuma hatukuijenga kwa kuhubiri maneno hayo bali yanayotendeka katika maisha ya watu.

matendo yetu sote ndio yatakayotupeleka ama kwenye amani au kinyume.

Sasa ego we huoni kuwa Katiba hii ikipita ndo itakuwa suluhisho la kila kitu?
 
mimi nadhani mrwanda au mkongo anayejenga tanzania ni bora kwa tanzania kuliko mtanzania anayebomoa tanzania.

nchi zenye jamii ya watu wanaoelewa kwanza wakigundua mtu anaweza kusaidia nchi yao wanamshawishi kumpa uraia.

lakini nchi za wajinga na wapumabavu hudhani waelewa ni maadui hivyo wako tayari kuwafukuza hata raia wao ambao ni welevu ili wabaki katika ujinga wao.

tusiwe wajinga kwa kutaka watu waseme kile tunachotaka kusikia bali tukubali kusikiliza kila mtu mawazo yake na hapo tutatambua mwelekeo wetu ni upi na tufanye nini.

Nasikitika kusema kuwa nawe ni mmoja kati ya watu ambao Jean Piaget's (1951) katika theory yake ya “cognitive development” anasema mtu anaweza kuwa hana uwezo wa kujipambanua yeye, watu wengine na vitu. Nawe umo humo hebu jipambanue wewe na utoke humo kwenye mawazo hayo na uwe msomi anayeweza kutoa mawazo yenye rutuba na yenye kujenga jamii badala ya kutoa vumbi kama hilo ambalo halina msingi wowote zaidi ya kutamani nyumba za watu. Jenga kwako usisifie kwa jirani yako.

Kwanza hakuna “mrwanda au mkongo” anayejenga Tanzania, tambua hilo kwanza na ufute kauli yako ya kujidharau na kujidhalilisha kiasi hicho.

Chukua jukumu lako la kujenga nchi yako ambayo ndiyo kwenu acha tabia uliyoambiwa ya uzuzu mara moja
 
tatizo lako unadhani amani inakuja yenyewe tu!

nimekueleza angalia nchi yoyote yenye amani tazama nyuma kabla kulikuwa na mambo gani na tazama nchi yoyote yenye vurugu tazama nyuma kulikuwa na nini.

amani au vurugu haviji kama mvua kuwa vinakuja vyenyewe bali vinatokana na maisha ya wananchi.

ukiangalia maisha yetu ya sasa unaweza kujua tunaelekea wapi.

kusema amani amani haisadii kwa kuwa huko nyuma hatukuijenga kwa kuhubiri maneno hayo bali yanayotendeka katika maisha ya watu.

matendo yetu sote ndio yatakayotupeleka ama kwenye amani au kinyume.

Acha kukifanyia kichwa chako majaribio,usiwafanye wtz hawana akili maana unaonekana unaishi kwa hisia kama zombi,Tanzania haitafika huko unakowaza wewe ukishindwa unashindwa mwenyewe,Wananchi tuko timamu na tunajua tunachokifanya!Mungu Ibariki Tanzania.
 
mimi nadhani hukuelewa pointi

ni vema unaposoma maelezo unaanzia kwenye hoja iliyonukuriwa ambayo inatolewa jibu alafu uende mbali ya hapo.

narudia tena mrwanda au mkongo anayejenga tanzania ni bora kwa tanzania kuliko mtanzania anayebomoa tanzania.

lipo tatizo katika jamii nyingi kwa baadhi ya watu kudhani mtu fulani akimwambia hili halifai basi wanasema huyu si raia.

zipo nchi ambazo watu wanapopewa changamoto badala ya kukabiliana na changamoto wao wanatafuta kusema mleta changamoto si raia.

haya ndio yalikuwa mawazo ya mchangiaji pale mtu aliyeongea kwa lugha ambayo yeye iko tofauti na anavyotaka akamwambia wewe si mtanzania.

na hapo ndio kuwakumbusha watanzania wote kuwa mchango wako kwa taifa lako katika kulijenga ndio unaleta umuhimu wako katika taifa lako.

lakini ukikaa katika taifa unabomoa na mgeni akajenga sasa yupi bora katika taifa hilo?

soma kwa makini elewa kabla ya kuchangia.

Nasikitika kusema kuwa nawe ni mmoja kati ya watu ambao Jean Piaget's (1951) katika theory yake ya "cognitive development" anasema mtu anaweza kuwa hana uwezo wa kujipambanua yeye, watu wengine na vitu. Nawe umo humo hebu jipambanue wewe na utoke humo kwenye mawazo hayo na uwe msomi anayeweza kutoa mawazo yenye rutuba na yenye kujenga jamii badala ya kutoa vumbi kama hilo ambalo halina msingi wowote zaidi ya kutamani nyumba za watu. Jenga kwako usisifie kwa jirani yako.

Kwanza hakuna "mrwanda au mkongo" anayejenga Tanzania, tambua hilo kwanza na ufute kauli yako ya kujidharau na kujidhalilisha kiasi hicho.

Chukua jukumu lako la kujenga nchi yako ambayo ndiyo kwenu acha tabia uliyoambiwa ya uzuzu mara moja
 
unadhani wenye vurugu hawajui kumuomba mungu?

kuwa na akili timamu sio kwa maneno bali yale tunayoyatenda kama yanatupeleka kwenye amani basi tuna akili timamu lakini kama yanatupeleka pabaya basi hatuna akili timamu.

Acha kukifanyia kichwa chako majaribio,usiwafanye wtz hawana akili maana unaonekana unaishi kwa hisia kama zombi,Tanzania haitafika huko unakowaza wewe ukishindwa unashindwa mwenyewe,Wananchi tuko timamu na tunajua tunachokifanya!Mungu Ibariki Tanzania.
 
mimi nadhani hukuelewa pointi

ni vema unaposoma maelezo unaanzia kwenye hoja iliyonukuriwa ambayo inatolewa jibu alafu uende mbali ya hapo.

narudia tena mrwanda au mkongo anayejenga tanzania ni bora kwa tanzania kuliko mtanzania anayebomoa tanzania.

lipo tatizo katika jamii nyingi kwa baadhi ya watu kudhani mtu fulani akimwambia hili halifai basi wanasema huyu si raia.

zipo nchi ambazo watu wanapopewa changamoto badala ya kukabiliana na changamoto wao wanatafuta kusema mleta changamoto si raia.

haya ndio yalikuwa mawazo ya mchangiaji pale mtu aliyeongea kwa lugha ambayo yeye iko tofauti na anavyotaka akamwambia wewe si mtanzania.

na hapo ndio kuwakumbusha watanzania wote kuwa mchango wako kwa taifa lako katika kulijenga ndio unaleta umuhimu wako katika taifa lako.

lakini ukikaa katika taifa unabomoa na mgeni akajenga sasa yupi bora katika taifa hilo?

soma kwa makini elewa kabla ya kuchangia.

Mimi sasa hv niko makini sana na huyu Ego simwelewi, michango yake ni dhaifu, sasa hapa kwa akili zake anategemea mgeni aje kujenga nchi yake sasa huyu niaje aiseeee!!!! Sio mtanzania wewe pisha huko kawashauri Elshabab.
 
unadhani wenye vurugu hawajui kumuomba mungu?

kuwa na akili timamu sio kwa maneno bali yale tunayoyatenda kama yanatupeleka kwenye amani basi tuna akili timamu lakini kama yanatupeleka pabaya basi hatuna akili timamu.

Dui wewe sijui utakuja kuelewa lini,nenda kakoroge supu ya pilipili ubusti akili yako ili twende sawa maana kila time nakuacha mbali sana hata husomi alama za nyakati uko kama Mwakaboko!!!
 
swala la kujenga nchi liko wazi

nitakupa mfano wa familia, kama wewe ni kiongozi katika familia kwa maana wewe ni baba au mama. sasa umejitahidi kutafuta fedha na kununua mali au kuanzisha biashara. sasa mwanafamilia anayetafuta kuiba mali za familia pengine akiona umeleta hela anakwenda kupanga na majambazi waje kuiba na kumpatia sehemu kidogo tu ili akasterehe au anaiba mali ulizonunua kwa gharama kubwa na kwenda kuuza kwa bei za kutupwa ili apate fedha ya kutanulia na mgeni kutoka nje ya familia ambaye anaweza kuja nyumbani kwako akaangalia mali za familia, kama biashara unamuweka anasimamia na kuziendesha unapata faida.

kwa familia ni vigumu kumuuliza nani muhimu kwa maana kamba zilizofunga familia ni tofauti na zile zilizofunga taifa.

kama taifa tunayo mambo mengi ambayo tunataka kuyafanya.

ni faida sana kama mambo hayo tutayafanya kwa kutumia watanzania wenyewe.

lakini yapo mambo ambayo wageni wanaweza kuyafanya vizuri zaidi yetu.

sasa mgeni huyu anayeweza kuja kwetu akatutumikia kutusaidia tupate faida tukimlipa ujira ana faida zaidi kwa nchi yetu kuliko mtanzania ambaye anabomoa nchi yetu.

katika kubomoa lazima tusichukulie kuwa yeyote anayetofauti na wewe kimtizamo anabomoa au yeyote ambaye bahati mbaya system imeshindwa kumpatia jambo la kufanya anabomoa. lakini yapo mambo ya wazi kuwa huu ni ubomojai ambao yeyote anayeufanya hatuwezi hata siku moja kumthamini kwa kuzaliwa au kuandikishwa kwake tanzania na kumuona bora kuliko mgeni anayetusaidia kujenga nchi yetu.

Mimi sasa hv niko makini sana na huyu Ego simwelewi, michango yake ni dhaifu, sasa hapa kwa akili zake anategemea mgeni aje kujenga nchi yake sasa huyu niaje aiseeee!!!! Sio mtanzania wewe pisha huko kawashauri Elshabab.
 
swala la kujenga nchi liko wazi

nitakupa mfano wa familia, kama wewe ni kiongozi katika familia kwa maana wewe ni baba au mama. sasa umejitahidi kutafuta fedha na kununua mali au kuanzisha biashara. sasa mwanafamilia anayetafuta kuiba mali za familia pengine akiona umeleta hela anakwenda kupanga na majambazi waje kuiba na kumpatia sehemu kidogo tu ili akasterehe au anaiba mali ulizonunua kwa gharama kubwa na kwenda kuuza kwa bei za kutupwa ili apate fedha ya kutanulia na mgeni kutoka nje ya familia ambaye anaweza kuja nyumbani kwako akaangalia mali za familia, kama biashara unamuweka anasimamia na kuziendesha unapata faida.

kwa familia ni vigumu kumuuliza nani muhimu kwa maana kamba zilizofunga familia ni tofauti na zile zilizofunga taifa.

kama taifa tunayo mambo mengi ambayo tunataka kuyafanya.

ni faida sana kama mambo hayo tutayafanya kwa kutumia watanzania wenyewe.

lakini yapo mambo ambayo wageni wanaweza kuyafanya vizuri zaidi yetu.

sasa mgeni huyu anayeweza kuja kwetu akatutumikia kutusaidia tupate faida tukimlipa ujira ana faida zaidi kwa nchi yetu kuliko mtanzania ambaye anabomoa nchi yetu.

katika kubomoa lazima tusichukulie kuwa yeyote anayetofauti na wewe kimtizamo anabomoa au yeyote ambaye bahati mbaya system imeshindwa kumpatia jambo la kufanya anabomoa. lakini yapo mambo ya wazi kuwa huu ni ubomojai ambao yeyote anayeufanya hatuwezi hata siku moja kumthamini kwa kuzaliwa au kuandikishwa kwake tanzania na kumuona bora kuliko mgeni anayetusaidia kujenga nchi yetu.

ego una matatizo wewe maana mgumu sana kuelewa.
 
mimi nadhani hukuelewa pointi

ni vema unaposoma maelezo unaanzia kwenye hoja iliyonukuriwa ambayo inatolewa jibu alafu uende mbali ya hapo.

narudia tena mrwanda au mkongo anayejenga tanzania ni bora kwa tanzania kuliko mtanzania anayebomoa tanzania.

lipo tatizo katika jamii nyingi kwa baadhi ya watu kudhani mtu fulani akimwambia hili halifai basi wanasema huyu si raia.

zipo nchi ambazo watu wanapopewa changamoto badala ya kukabiliana na changamoto wao wanatafuta kusema mleta changamoto si raia.

haya ndio yalikuwa mawazo ya mchangiaji pale mtu aliyeongea kwa lugha ambayo yeye iko tofauti na anavyotaka akamwambia wewe si mtanzania.

na hapo ndio kuwakumbusha watanzania wote kuwa mchango wako kwa taifa lako katika kulijenga ndio unaleta umuhimu wako katika taifa lako.

lakini ukikaa katika taifa unabomoa na mgeni akajenga sasa yupi bora katika taifa hilo?

soma kwa makini elewa kabla ya kuchangia.

Nilidhani unakuja na mawazo mapya na ya kujenga kumbe unakuja na porojo tena! Unafikiri kujenga ni inaanzia mbali sana? Ni lazima wewe kama mtu mmoja kuanza na moyo wako wa kujenga nchi yako. Unaweza kudhani unajenga kumbe wewe ndiyo wa kwanza kubomoa. Uwe muwazi, unaficha nini kama wewe ni Mtanzania? Na unahofu gani?


Usikate tama katika mijadala hii utasoma mengi yanayokufurahisha na ambayo wewe unaweza kutokuwa tayari kuyasikia lakini kumbuka Tanzania ni yetu tuijenge kwa moyo mmoja kwa akili zako zote ili mwisho wa yote nchi yetu ibaki salama na mahali tulivu pa kuishi na kusonga mbele kujiletea maendeleo yetu kwa sasa na vizazi vijavyo
 
swala la kujenga nchi liko wazi

nitakupa mfano wa familia, kama wewe ni kiongozi katika familia kwa maana wewe ni baba au mama. sasa umejitahidi kutafuta fedha na kununua mali au kuanzisha biashara. sasa mwanafamilia anayetafuta kuiba mali za familia pengine akiona umeleta hela anakwenda kupanga na majambazi waje kuiba na kumpatia sehemu kidogo tu ili akasterehe au anaiba mali ulizonunua kwa gharama kubwa na kwenda kuuza kwa bei za kutupwa ili apate fedha ya kutanulia na mgeni kutoka nje ya familia ambaye anaweza kuja nyumbani kwako akaangalia mali za familia, kama biashara unamuweka anasimamia na kuziendesha unapata faida.

kwa familia ni vigumu kumuuliza nani muhimu kwa maana kamba zilizofunga familia ni tofauti na zile zilizofunga taifa.

kama taifa tunayo mambo mengi ambayo tunataka kuyafanya.

ni faida sana kama mambo hayo tutayafanya kwa kutumia watanzania wenyewe.

lakini yapo mambo ambayo wageni wanaweza kuyafanya vizuri zaidi yetu.

sasa mgeni huyu anayeweza kuja kwetu akatutumikia kutusaidia tupate faida tukimlipa ujira ana faida zaidi kwa nchi yetu kuliko mtanzania ambaye anabomoa nchi yetu.

katika kubomoa lazima tusichukulie kuwa yeyote anayetofauti na wewe kimtizamo anabomoa au yeyote ambaye bahati mbaya system imeshindwa kumpatia jambo la kufanya anabomoa. lakini yapo mambo ya wazi kuwa huu ni ubomojai ambao yeyote anayeufanya hatuwezi hata siku moja kumthamini kwa kuzaliwa au kuandikishwa kwake tanzania na kumuona bora kuliko mgeni anayetusaidia kujenga nchi yetu.

Sasa hapa na wewe umeongea nini,nachokiona hapa unachukua maelezo yako ya mwanzo unayaboresha tu kwa kuandika mengi afu pointi zilezile meaningless!! Jitahidi basi angalau ueleweke!!!
 
hakuna nchi inaweza kujengwa na mtu mmoja.

jambo la msingi ni watu wote kuelewa na majority wanapokuwa na uelewa ndio taifa linasonga mbele kwa maana maamuzi ya wengi ndiyo yanapeleka taifa mbele ua nyuma.

kama wengi wanaelewa wakifanya maamuzi wanafanya maamuzi kwa uelewa wao.

lakini kama wengi hawaelewi basi wanafanya maamuzi bila kutumia maarifa na hapo ndio mwanzo wa taifa kupotea.

elimu kwa wananchi ndio njia ya kwanza ya kuwafanya wapige hatua kimaendeleo.

wananchi wakielimika basi wao wanaweza kuielekeza jamii yao iishi wanavyotaka kwa ustawi wao na hiyo ndiyo demokrasia

lakini hakuna demokrasia katika ujinga.

hivyo hatua ya kwanza ya kuleta maendeleo kwa nchi yetu ni kuwaelimisha watanzania kuelewa mambo mbali mbali ya kimaisha.

ni swala la msingi sana kueleza jambo lolote linatokea hapa ili msomaji apate mantiki iliyolengwa.

kuboresha mawazo yale yale kunatoka na pale mchangiaji anapoonekana kuchukua maana nyingine lakini tuko huru sote kila mmoja kutoa maoni yake kimtizamo wake lakini pale maana inapopotoshwa tofauti mchangiaji alivyolenga ni jambo la busara kufafanua zaidi.

Nilidhani unakuja na mawazo mapya na ya kujenga kumbe unakuja na porojo tena! Unafikiri kujenga ni inaanzia mbali sana? Ni lazima wewe kama mtu mmoja kuanza na moyo wako wa kujenga nchi yako. Unaweza kudhani unajenga kumbe wewe ndiyo wa kwanza kubomoa. Uwe muwazi, unaficha nini kama wewe ni Mtanzania? Na unahofu gani?


Usikate tama katika mijadala hii utasoma mengi yanayokufurahisha na ambayo wewe unaweza kutokuwa tayari kuyasikia lakini kumbuka Tanzania ni yetu tuijenge kwa moyo mmoja kwa akili zako zote ili mwisho wa yote nchi yetu ibaki salama na mahali tulivu pa kuishi na kusonga mbele kujiletea maendeleo yetu kwa sasa na vizazi vijavyo
 
hakuna nchi inaweza kujengwa na mtu mmoja.

jambo la msingi ni watu wote kuelewa na majority wanapokuwa na uelewa ndio taifa linasonga mbele kwa maana maamuzi ya wengi ndiyo yanapeleka taifa mbele ua nyuma.

kama wengi wanaelewa wakifanya maamuzi wanafanya maamuzi kwa uelewa wao.

lakini kama wengi hawaelewi basi wanafanya maamuzi bila kutumia maarifa na hapo ndio mwanzo wa taifa kupotea.

elimu kwa wananchi ndio njia ya kwanza ya kuwafanya wapige hatua kimaendeleo.

wananchi wakielimika basi wao wanaweza kuielekeza jamii yao iishi wanavyotaka kwa ustawi wao na hiyo ndiyo demokrasia

lakini hakuna demokrasia katika ujinga.

hivyo hatua ya kwanza ya kuleta maendeleo kwa nchi yetu ni kuwaelimisha watanzania kuelewa mambo mbali mbali ya kimaisha.

ni swala la msingi sana kueleza jambo lolote linatokea hapa ili msomaji apate mantiki iliyolengwa.

kuboresha mawazo yale yale kunatoka na pale mchangiaji anapoonekana kuchukua maana nyingine lakini tuko huru sote kila mmoja kutoa maoni yake kimtizamo wake lakini pale maana inapopotoshwa tofauti mchangiaji alivyolenga ni jambo la busara kufafanua zaidi.

Kwa uhalisia wa kawaida tu! Inapoitwa nchi maana yake itaanza na singular then ndipo utakapopata uwingi. Hivyo kwa busara ya kawaida nakushangaa unaposema "hakuna nchi inaweza kujengwa na mtu mmoja" Uwingi huo wa Watanzania unaanza na Mtanzania.


Kuhusu kuelimishana, hilo ni jukumu letu sote mimi na wewe ili tuijenge Tanzania ambayo tunaipenda kwa moyo wote katika misingi imara iliyojengwa kwenye Katiba ili taifa lisonge mbele kwa manufaa ya Watanzania wote.
 
dhana ya demokrasia bado haujaielewa

demokrasia inawapa majority kufanya maamuzi ya ni kitu gani taifa lifanye.

lipo tatizo kwa wananchi wengi kudhani mtu fulani anaweza kuwaletea maendeleo au mtu fulani anaweza kuwafanyia kitu fulani.

kiukweli hakuna mtu mmoja anaweza kuwaletea wananchi maendeleo bali ni watu wenyewe.

kutokana na mfumo wa kidemokrasia kunahitajika majority kufanya maamuzi ya kupeleka taifa kunatokaiwa.

kwa mtu mmoja anachoweza kufanya ni kuleta mawazo kuwa jamani tunahitaji jambo hili na hapo ni jukumu la jamii nzima kuangalia kama lina wafaa au haliwafai.

na ndio maana nikasema kuwaelimisha wananchi ndio njia sahihi kwa wananchi wasioelimika wanaweza kukataa njia za kuwasaidia na kukubali njia za kuwapotosha.

jambo la msingi ni kila mwenye wazo anatakiwa kuwaelimisha jamii na jamii kuchagua ni kitu gani kinawafaa.

watanzania walio wengi wakitaka kitu bila shaka hicho walichokitaka watakipata, watanzania waliowengi wakikataa kitu bila shaka hicho walichokikataa hawatafanyiwa.

cha msingi wawe na elimu ya kupambanua vitu sio kushabikia tu na tujitahidi kujenga uelewa huo.

Kwa uhalisia wa kawaida tu! Inapoitwa nchi maana yake itaanza na singular then ndipo utakapopata uwingi. Hivyo kwa busara ya kawaida nakushangaa unaposema "hakuna nchi inaweza kujengwa na mtu mmoja" Uwingi huo wa Watanzania unaanza na Mtanzania.


Kuhusu kuelimishana, hilo ni jukumu letu sote mimi na wewe ili tuijenge Tanzania ambayo tunaipenda kwa moyo wote katika misingi imara iliyojengwa kwenye Katiba ili taifa lisonge mbele kwa manufaa ya Watanzania wote.
 
Ni kweli, kiongozi, hao jamaa ni wapiga deal. Angalia hata tarehe zao za kujiunga hapa JF, ndipo unaona wazi hawa ni magamba wapiga deal. Hawana uzalendo wowte kwa Taifa, wako tayari kuua taifa ili kulinda magamba yao yasidondoke
Mwakafimbo acha kuwaita wenzako magamba kama wao ni magamba basi wewe ni gwanda na ndo mana huna hoja licha ya kukaa kwenye JF miaka mingi. Katiba Inayopendekezwa ni nzuri acha watu waseme uzuri wake.
 
Ewe Mwakaboko au mwakafimbo nani aliyekuroga hadi ukashindwa kujenga hoja!!
 
Mwakafimbo acha kuwaita wenzako magamba kama wao ni magamba basi wewe ni gwanda na ndo mana huna hoja licha ya kukaa kwenye JF miaka mingi. Katiba Inayopendekezwa ni nzuri acha watu waseme uzuri wake.
You wanted us to hear from you, yes, we have heard, now you can go and collect your package at peace
 
Back
Top Bottom