I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Kwahiyo kundi la alqeeda ni tajiri kuliko uchumi wa tz wenye gdp ya $51b? Duh sie kweli ni masikiniKundi la al-Shabab mwaka 2021 lilitumia TZS bilioni 55.5 kununua silaha, Taasisi ya Hiraal imeeleza. Ripoti imefafanua kuwa kundi hilo lenya mfungamano na al-Qaeda lina mapato ya TZS bilioni 416.5 kwa mwaka, linayokusanya pia kupitia kodi katika maeneo ya Somalia inayoyakalia.
Swali: Ni nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?
Heading inaongelea Al Quaeda, while content inaongelea Al shaababKundi la al-Shabab mwaka 2021 lilitumia TZS bilioni 55.5 kununua silaha, Taasisi ya Hiraal imeeleza. Ripoti imefafanua kuwa kundi hilo lenya mfungamano na al-Qaeda lina mapato ya TZS bilioni 416.5 kwa mwaka, linayokusanya pia kupitia kodi katika maeneo ya Somalia inayoyakalia.
Swali: Ni nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?
Hilo kundi linapata pesa kwa kuuza cocaine na mirungiKundi la al-Shabab mwaka 2021 lilitumia TZS bilioni 55.5 kununua silaha, Taasisi ya Hiraal imeeleza. Ripoti imefafanua kuwa kundi hilo lenya mfungamano na al-Qaeda lina mapato ya TZS bilioni 416.5 kwa mwaka, linayokusanya pia kupitia kodi katika maeneo ya Somalia inayoyakalia.
Swali: Ni nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?
Alshabab ni branch ya AlkaedaHeading inaongelea Al Quaeda, while content inaongelea Al shaabab
Tatizo la kiufundi.Heading inaongelea Al Quaeda, while content inaongelea Al shaabab
Bado haileti mantiki kuizungumzia Al Qaeda kwenye Al ShabaabAlshabab ni branch ya Alkaeda
watasema MbNi nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?
Soma Maelezo yamtoa Mada acha Kuruka na Kichwa cha HabariKwahiyo kundi la alqeeda ni tajiri kuliko uchumi wa tz wenye gdp ya $51b? Duh sie kweli ni masikini
Umechemka mkuuHilo kundi linapata pesa kwa kuuza cocaine na mirungi
Cocaine kwa wingi duniani inalimwa Afghanistan na Somalia inaongoza kwa kulima Mirungi na kuiuza duniani.Ndio maana Alkaeda unakuta wamekalia Afghanistan na Somalia
Ni magenge ya kihalifu mafanyabiashara ya madawa ya kulevya wakiwa wamejificha kwenye kivuli cha uislamu
Nenda YouTube search cocaine Afghanistan kuna mashamba ya kufa mtu wasimamizi Serikali ya Taleban ambayo ni proxy wa Osama bin Laden na Alkaeda yakeUmechemka mkuu
1. Cocaine hailimwi kabisa Afghanistan
2.Alkaida hawajaikalia Afghanistan
3 Mirungi sio dili kivile kuweza kuchangia kutengeneza pesa ya maana km hiyo.
True.Hakuna kundi lolote la kigaidi linalopigania dini.yote upigania maslai ya dunia kupitia dini, kupitia dini ni rahisi sana kuwapata wapumbavu watu wenye stress za maisha hawa ni rahisi sana kuwabrain wash kwa kutumia dini Ili uwezo kupata wapiganaji cheap kwa ujira wa wali maharage.Hilo kundi linapata pesa kwa kuuza cocaine na mirungi
Cocaine kwa wingi duniani inalimwa Afghanistan na Somalia inaongoza kwa kulima Mirungi na kuiuza duniani.Ndio maana Alkaeda unakuta wamekalia Afghanistan na Somalia
Ni magenge ya kihalifu mafanyabiashara ya madawa ya kulevya wakiwa wamejificha kwenye kivuli cha uislamu
Silaha ni biashara anauziwa yeyeto yule
Alshabab imekuwepo kabla ya alqaedaAlshabab ni branch ya Alkaeda
Mkuu , nafikiri wewe ndio unatakiwa uende huko YouTube kusachi.Nenda YouTube search cocaine Afghanistan kuna mashamba ya kufa mtu wasimamizi Serikali ya Taleban ambayo ni proxy wa Osama bin Laden na Alkaeda yake
Mirungi nenda Kenya hapo wana hadi uwanja wa ndege ambao kazi yake kubwa ni kusafirisha mirungi tu kupeleka uwanja wa ndege wa Wilson Intetnational Airport ndio shughuli yake kubwa kama hujui.Uchumi wa Kenya unategemea pia sana mauzo ya mirungi kupata pesa za kigeni
Nchi Ambazo uislamu haupo unatumika tu kutawalia watu kimabavu ni Afghanstan na Somalia
Tanzania ni nchi isiyo na dini lakini ilipiga marufuku mirungi kuwa ni Haramu Somali a mtu anaingia msikitini Kala mirungi na akitoka msikitini anakula mirungi nje ya msikiti halafu utasikia somalia uislamu mtupu.Pombe haramu ila mirungi Ruksa!!!
Marekani hupigana vita sehemu Tatu kuu ambazo zinakuwa na pesa nyingi ukiwa na Madini mmarekani anakuja kutaka kuteka hiyo Niagara ndio maana kongo haitawaliki pia ukiwa na mafuta mmarekani huyo ndio maana alivamia nchi kibao zikiwemo Iraki,Libya nk kwenye Arab Spring zilipinduliwa nchi kibao
Tatu mmarekani ukiwa mzalishaji mkubwa wa cocaine na mirungi ambayo huingiza pesa nyingi lazima Avamie ndio maana alivamia Afghanistan na Somalia sababu ma drug lord hao waliojificha kwenye mwavuli wa uislamu wa siasa kali walianza kuleta shida sababu ya pesa zao wanazopata kutokana na mauzo ya drugs na mirungi