Kundi la Al-qaeda lina mapato 416.5B kwa mwaka. Mwaka 2021 55.5B zatumika kununua silaha

Unahis waliomteka mo walikua wajinga. Hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kundi lolote la kigaidi linalopigania dini bali ujifichia kwenye dini Ili kupata wafuasi
 

Afghanistan wanalima sana opium ambayo ndio zao linalotengeneza Heroin nafikiri na mandrax, coke inalimwa sana south America ndio inatengeneza cocaine...

Somalia ni soko kuu la mirungi kutoka Kenya, kiasi kikubwa wanaimport mirungi kutoka Kenya..sidhani kama somalia kuna kilimo cha mirungi kiasi hicho zaidi ya kuimport
 
Mkuu mwambie tu Afghanistan kunapatikana kwa wingi Heroine
jamaa hajui chochote on what's going on around the world. .....anashupaza shingo kwa vitu asivyovijua kabisa,.
Sikuona haja ya kumuambia ukweli huyu LMB 7 ....maana anaonekana hana kawaida ya kuruhusu akili yake kukubali kuwa haijui chochote.
 
Umeongea vema maana biashara haramu ndo zinazoendesha nchi zenye nguvu kubwa kiuchumi muulize kwanini wamarekani walikiwepo Afghanistan??
 
Asante kwa maelezo mujwarabuuuuu!!!
 
Si jamaa alianzisha thread kuwa marekani ndo yupo nyuma ya hayo makundi na wanatumia silaha za kisasa kabisa.
 
Uislam unasingiziwa tu, hakuna cha kuestablisha sheria za kiislam wala nini, lengo ni kuwa-exploit wasomali, hata hii serikali yetu sioni tofauti yake na alsabaab kwa kweli
 
Mkuu mwambie tu Afghanistan kunapatikana kwa wingi Heroine
Marekani ndio maana walienda kushambulia kutaka kumiliki wao hiyo biashara kuyanyanganya mataleban

Mmarekani hutaka kumiliki njia zote kuu za uchumi mkubwa wa dunia ambao ni madini,mafuta na madawa ya kulevya.Somalia na Afghsnistan walitwangwa sababu kule kuna mihadarati na Heroine ambazo majambaxi ya alshabab na alkaeda yakiyojificha kwenye uislamu yalikuwa yanashikilia uzalishaji na usambazaji na biashara zake


Utagundua waliposhika tu msumbiji eneo la karibu na mtwara JWTZ walikamata boti ya waafghanstan waliopitia pakistan ikiwa imejaa madawa ya kulevya yale yalikuwa yakienda godown zao mozambique kwa ajili ya kuuzwa ukanda wa Afrika ya kusimi,kati na Afrika mashariki.Bahati mbaya upepo ukavurumisha boti lao wakajikuta wako pwani ya bahari ya Tanzania wakadakwa na JWTZ na kikosi cha kupambana na dawa za kulevya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…