Unahis waliomteka mo walikua wajinga. HahahahKundi la al-Shabab mwaka 2021 lilitumia TZS bilioni 55.5 kununua silaha, Taasisi ya Hiraal imeeleza. Ripoti imefafanua kuwa kundi hilo lenya mfungamano na al-Qaeda lina mapato ya TZS bilioni 416.5 kwa mwaka, linayokusanya pia kupitia kodi katika maeneo ya Somalia inayoyakalia.
Swali: Ni nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?
Mkuu mwambie tu Afghanistan kunapatikana kwa wingi HeroineMkuu , nafikiri wewe ndio unatakiwa uende huko YouTube kusachi.
..au muulize vizuri aliyekusimulia.
Nenda YouTube search cocaine Afghanistan kuna mashamba ya kufa mtu wasimamizi Serikali ya Taleban ambayo ni proxy wa Osama bin Laden na Alkaeda yake
Mirungi nenda Kenya hapo wana hadi uwanja wa ndege ambao kazi yake kubwa ni kusafirisha mirungi tu kupeleka uwanja wa ndege wa Wilson Intetnational Airport ndio shughuli yake kubwa kama hujui.Uchumi wa Kenya unategemea pia sana mauzo ya mirungi kupata pesa za kigeni
Nchi Ambazo uislamu haupo unatumika tu kutawalia watu kimabavu ni Afghanstan na Somalia
Tanzania ni nchi isiyo na dini lakini ilipiga marufuku mirungi kuwa ni Haramu Somali a mtu anaingia msikitini Kala mirungi na akitoka msikitini anakula mirungi nje ya msikiti halafu utasikia somalia uislamu mtupu.Pombe haramu ila mirungi Ruksa!!!
Marekani hupigana vita sehemu Tatu kuu ambazo zinakuwa na pesa nyingi ukiwa na Madini mmarekani anakuja kutaka kuteka hiyo Niagara ndio maana kongo haitawaliki pia ukiwa na mafuta mmarekani huyo ndio maana alivamia nchi kibao zikiwemo Iraki,Libya nk kwenye Arab Spring zilipinduliwa nchi kibao
Tatu mmarekani ukiwa mzalishaji mkubwa wa cocaine na mirungi ambayo huingiza pesa nyingi lazima Avamie ndio maana alivamia Afghanistan na Somalia sababu ma drug lord hao waliojificha kwenye mwavuli wa uislamu wa siasa kali walianza kuleta shida sababu ya pesa zao wanazopata kutokana na mauzo ya drugs na mirungi
jamaa hajui chochote on what's going on around the world. .....anashupaza shingo kwa vitu asivyovijua kabisa,.Mkuu mwambie tu Afghanistan kunapatikana kwa wingi Heroine
Umeongea vema maana biashara haramu ndo zinazoendesha nchi zenye nguvu kubwa kiuchumi muulize kwanini wamarekani walikiwepo Afghanistan??Nenda YouTube search cocaine Afghanistan kuna mashamba ya kufa mtu wasimamizi Serikali ya Taleban ambayo ni proxy wa Osama bin Laden na Alkaeda yake
Mirungi nenda Kenya hapo wana hadi uwanja wa ndege ambao kazi yake kubwa ni kusafirisha mirungi tu kupeleka uwanja wa ndege wa Wilson Intetnational Airport ndio shughuli yake kubwa kama hujui.Uchumi wa Kenya unategemea pia sana mauzo ya mirungi kupata pesa za kigeni
Nchi Ambazo uislamu haupo unatumika tu kutawalia watu kimabavu ni Afghanstan na Somalia
Tanzania ni nchi isiyo na dini lakini ilipiga marufuku mirungi kuwa ni Haramu Somali a mtu anaingia msikitini Kala mirungi na akitoka msikitini anakula mirungi nje ya msikiti halafu utasikia somalia uislamu mtupu.Pombe haramu ila mirungi Ruksa!!!
Marekani hupigana vita sehemu Tatu kuu ambazo zinakuwa na pesa nyingi ukiwa na Madini mmarekani anakuja kutaka kuteka hiyo Niagara ndio maana kongo haitawaliki pia ukiwa na mafuta mmarekani huyo ndio maana alivamia nchi kibao zikiwemo Iraki,Libya nk kwenye Arab Spring zilipinduliwa nchi kibao
Tatu mmarekani ukiwa mzalishaji mkubwa wa cocaine na mirungi ambayo huingiza pesa nyingi lazima Avamie ndio maana alivamia Afghanistan na Somalia sababu ma drug lord hao waliojificha kwenye mwavuli wa uislamu wa siasa kali walianza kuleta shida sababu ya pesa zao wanazopata kutokana na mauzo ya drugs na mirungi
Asante kwa maelezo mujwarabuuuuu!!!Nenda YouTube search cocaine Afghanistan kuna mashamba ya kufa mtu wasimamizi Serikali ya Taleban ambayo ni proxy wa Osama bin Laden na Alkaeda yake
Mirungi nenda Kenya hapo wana hadi uwanja wa ndege ambao kazi yake kubwa ni kusafirisha mirungi tu kupeleka uwanja wa ndege wa Wilson Intetnational Airport ndio shughuli yake kubwa kama hujui.Uchumi wa Kenya unategemea pia sana mauzo ya mirungi kupata pesa za kigeni
Nchi Ambazo uislamu haupo unatumika tu kutawalia watu kimabavu ni Afghanstan na Somalia
Tanzania ni nchi isiyo na dini lakini ilipiga marufuku mirungi kuwa ni Haramu Somali a mtu anaingia msikitini Kala mirungi na akitoka msikitini anakula mirungi nje ya msikiti halafu utasikia somalia uislamu mtupu.Pombe haramu ila mirungi Ruksa!!!
Marekani hupigana vita sehemu Tatu kuu ambazo zinakuwa na pesa nyingi ukiwa na Madini mmarekani anakuja kutaka kuteka hiyo Niagara ndio maana kongo haitawaliki pia ukiwa na mafuta mmarekani huyo ndio maana alivamia nchi kibao zikiwemo Iraki,Libya nk kwenye Arab Spring zilipinduliwa nchi kibao
Tatu mmarekani ukiwa mzalishaji mkubwa wa cocaine na mirungi ambayo huingiza pesa nyingi lazima Avamie ndio maana alivamia Afghanistan na Somalia sababu ma drug lord hao waliojificha kwenye mwavuli wa uislamu wa siasa kali walianza kuleta shida sababu ya pesa zao wanazopata kutokana na mauzo ya drugs na mirungi
Uislam unasingiziwa tu, hakuna cha kuestablisha sheria za kiislam wala nini, lengo ni kuwa-exploit wasomali, hata hii serikali yetu sioni tofauti yake na alsabaab kwa kweliKundi la al-Shabab mwaka 2021 lilitumia TZS bilioni 55.5 kununua silaha, Taasisi ya Hiraal imeeleza. Ripoti imefafanua kuwa kundi hilo lenya mfungamano na al-Qaeda lina mapato ya TZS bilioni 416.5 kwa mwaka, linayokusanya pia kupitia kodi katika maeneo ya Somalia inayoyakalia.
Swali: Ni nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?
Marekani ndio maana walienda kushambulia kutaka kumiliki wao hiyo biashara kuyanyanganya matalebanMkuu mwambie tu Afghanistan kunapatikana kwa wingi Heroine