Kundi la Camp Mulla kilitokea nini mpaka wakavunjika?

Ulikuwa kijijini ndani ndani sana, this guys were famous na walikuwa wana hiy kali sana

Moja ya makundi bora kenya
Sio Kila mtu ni wa kijijin ndani ndani na ww usikalili maisha ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
 
Achana na hao vijana, walikuwa ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ hadi bongo ikatengenezwa pah one. .

Sauti sol na P Unit nao walikuwa kwenye peak. Na baadae Elani wakaja na upepo.

Kiuhalisia Kwenye musical groups, Kenya walikuwa mbali sana
Shida pia wali kuwa wakishua, so wana Fanya for fun and passion tu.

ndio chanzo Cha ku break down
 
Nyimbo zao zilizotamba ni kama zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ