NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 366
Hongereni sana Bavicha naona ajira imepatikana na mumeanza tena ngonjera za kwenye mitandao ya kijamii kujiaminisha kuwa eti mnakubarika wakati. Hizo keyboard mlizozikusanya Chumba kimoja mnajijibu wenyewe siasa hizo ziliisha pitwa na wakati.
Ukitaka kuwavuta Wapiga kura waeleze ukiwa kiongozi wa Chadema Jimbo flani au nafasi flani ndani ya Chadema umesaidia vipi kuhakiisha Changamoto ya ajira kwa Wanachadema imeondolewa kwa kutumia vyanzo vya ndani vya Chadema, Umeshiriki vipi kuishauri Serikali kama Mbunge ukiwa Bungeni na wapi ulifanikiwa au eleza kwanini ulikuwa unachukua Posho na unakimbia Bungeni.
Waeleze Wananchi Mwenyekiti wa Chadema kwanini alibadilisha Katiba ya Chadema ili awe Mwenyekiti wa kudumu , na kwanini anajiamini peke yake na kwanini hawaamini Wenzake na Mara nyingi wanaogusa kiti wanaishia kutandikwa Risasi Mfano Waliompiga shaba Mgombea Kikosi maalum cha Mwenyekiti, kuwaita Wasaliti wengine na kuwafukuza uanachama Mfano Zitt Kabwe n.k.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kwamba Ruzuku ya Chadema imekinufaisha vipi Chadema.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa Mbowe Makato aliyokuwa anawakata Wabunge fedha zilikuwa zinaenda wapi.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa utaratibu wa kuwapata Wabunge viti Maalum Mlikuwa mnatumia utaratibu gani na mbona mapka saizi haupo wazi na Wengi wao walikuwa ni babies kutoka hukooooo kwao.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa kwanini Chadema hakina Ofisi, na Ofisi ya Chadema ni Mifuko ya Watu. Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa Bilion 900 za Whitehair zilienda wapi na zimefanya nini yakowemo Magari. Hayo ni baadhi ya kuwaeleza Wananchi.
Sidhani kama mnauwezo wa kuwafumbisha Macho Wananchi wasioone Flyover, Viwanja vya NDEGE, Kufufuliwa kwa shirika la Ndege ATC, na Miradi mingi mikubwamikubwa sidhani kama eti Chadema hapo ambapo na nyie mnapaona mtakuwa na hoja labda za kuburudisha na kupumbaza Watu.
NB: Eti issue ya Lissu kutandikwa Risasi Mbw ni mwagizaji 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ukitaka kuwavuta Wapiga kura waeleze ukiwa kiongozi wa Chadema Jimbo flani au nafasi flani ndani ya Chadema umesaidia vipi kuhakiisha Changamoto ya ajira kwa Wanachadema imeondolewa kwa kutumia vyanzo vya ndani vya Chadema, Umeshiriki vipi kuishauri Serikali kama Mbunge ukiwa Bungeni na wapi ulifanikiwa au eleza kwanini ulikuwa unachukua Posho na unakimbia Bungeni.
Waeleze Wananchi Mwenyekiti wa Chadema kwanini alibadilisha Katiba ya Chadema ili awe Mwenyekiti wa kudumu , na kwanini anajiamini peke yake na kwanini hawaamini Wenzake na Mara nyingi wanaogusa kiti wanaishia kutandikwa Risasi Mfano Waliompiga shaba Mgombea Kikosi maalum cha Mwenyekiti, kuwaita Wasaliti wengine na kuwafukuza uanachama Mfano Zitt Kabwe n.k.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kwamba Ruzuku ya Chadema imekinufaisha vipi Chadema.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa Mbowe Makato aliyokuwa anawakata Wabunge fedha zilikuwa zinaenda wapi.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa utaratibu wa kuwapata Wabunge viti Maalum Mlikuwa mnatumia utaratibu gani na mbona mapka saizi haupo wazi na Wengi wao walikuwa ni babies kutoka hukooooo kwao.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa kwanini Chadema hakina Ofisi, na Ofisi ya Chadema ni Mifuko ya Watu. Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa Bilion 900 za Whitehair zilienda wapi na zimefanya nini yakowemo Magari. Hayo ni baadhi ya kuwaeleza Wananchi.
Sidhani kama mnauwezo wa kuwafumbisha Macho Wananchi wasioone Flyover, Viwanja vya NDEGE, Kufufuliwa kwa shirika la Ndege ATC, na Miradi mingi mikubwamikubwa sidhani kama eti Chadema hapo ambapo na nyie mnapaona mtakuwa na hoja labda za kuburudisha na kupumbaza Watu.
NB: Eti issue ya Lissu kutandikwa Risasi Mbw ni mwagizaji 😀😀😀😀😀😀😀😀😀