Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Tunaomba atuwekee screenshot ya grp analozungumziaMmefanyaje hadi kundi likawa na memba zaidi ya 300?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba atuwekee screenshot ya grp analozungumziaMmefanyaje hadi kundi likawa na memba zaidi ya 300?
Hili nalo neno, na yule anayesema yuko kwenye magrupu ya watu zaidi ya 300Tunaomba atuwekee screenshot ya grp analozungumzia
Raia wengi hawaikubali serikali hii, sema walinyimwa kuonyesha choice ya allegiences zao za kisiasa kutokana na upinzani kubanwa sana kufanya siasa.
Ujasiri wa Lissu unainspire watu wengi kuonyesha hisia zao halisi
Ukweli ni kuwa Magufuli hakubaliki sana, ila propaganda zimesukwa ionekane as if anakubalika mno
hiyo ngumuWeka link mkuu..
Para ya mwisho inajielezaNiliacha kazi ya serikali nikaenda private school, na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili
Wewe ndo hujaelewa. Amefanya referrence ya group lake kwa Tanzania nzima.Hujaelewa pointi ya mleta mada. Ameonesha jinsi siasa zilibafilika ghafla baada ya ujio wa Lissu nothing else
Very sad, yani huyu jamaa na serikali yake anakula pesa za wastaafu halafu kila kukicha anagawa hizo pesa zao barabarani kama karanga, hii ni laana anayoitafuta.Jana nilimtibu mama mmoja 62yrs,akaniambia mwili unamuuma sana anahisi in sababu ya kazi ngumu anayofanya ya kugonga kokoto. Baadae akaniambia yeye ni Mwalimu amestaafu 2018 lakini mpaka leo hajalipwa mafao yake.
Huyo Mother nimemkuta na BP 200/110 mmHg na RBG 15mmol/dl, halafu kachanganyikiwa na kufuatilia pesa yake ya kustaafu amesahau hata kufuatilia NHIF card ya mstaafu na pesa hana anvunja kokoto. Nimemuambia afuatilie hiyo card ya NHIF imesaidie kwenye matibabu.
Magufuli anatesa sana watu,hali ni mbaya sana.
Unasema kwa hisia au uhalisia? Una ushahidi kuwa Lissu ndivyo alivyo?Ushahidi upo Mgombea TL ni mprnda haki na utawala bora. Manyanyaso haya hawezi kuyaepuka chini ya mtawala yeyote kutoka ccm
Kwenye magrup huko wapo hivyo hivyo. Tena pengine kuna watu humu wapo kwenye group ninalolizungumzia. Namna ya uandishi wao na hoja zao, ni zile zile.Naona wengi kwenye huu uzi badala ya kujadili content za mleta mada, wanaishia kujadili idadi ya members wa group la whatsap, haya ndio mawazo halisi ya mtz wa leo.
Subiri siku ya kura ndio utaelewa, hata Kwa Lowassa 2015 mlikuwa mnamshagilia hivi mwisho wa siku mkaanza mara ccm imeiba kura, chadema iko mjini ambako watu wengi hawapigi kura, tena mwaka huu ndio amna mwamko kabisa maana hata kujiandikisha watu walikuwa kama wanabemberezwa. Kama alishindwa Lowassa kungoa ccm ambaye aliondoka na Wenyeviti na wa fanya biashara akina Lostam, Manji, bado Lowassa alisanda eti ameibiwa kura wakati hakufikisha hata wabunge 100 sijui hata kama angeshinda serikali angeliundaje. Sasa subiri kichapo atatacho kipata Lissu atasahau maisha yake yoteRaia wengi hawaikubali serikali hii, sema walinyimwa kuonyesha choice ya allegiences zao za kisiasa kutokana na upinzani kubanwa sana kufanya siasa.
Ujasiri wa Lissu unainspire watu wengi kuonyesha hisia zao halisi
Ukweli ni kuwa Magufuli hakubaliki sana, ila propaganda zimesukwa ionekane as if anakubalika mno
Inasikitisha kuona wastaafu wakizungushwa na mafao yao. Jibu ni Tundu Lissu 2020.
Kuwa na huruma japo kidogo, mifuko ya hifadhi haina fedha, kinachosemwa ni kweli kwa asilimia mia.Acha uongo hakuna mstaafu asiyelipwa mafao yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Tatizo lenu mnaleta uongo wa kitoto sana.
Na huwa wanazungushwaaa, baada ya mwaka wanaambia wakabebe mimba nyingine wayalipea kwa wakati.Hujakutana na wanawake wanaodai mafao ya uzazi...
Hakyanani. Magu!!?
Mpendwa hujasoma hata title ya uzi?
Achana na mimi kwani umelazimishwa kusoma nilichoandika? Nilikuwa na maana yangu kuuliza hilo swali na comments zilizofuatia nilikuwa najibu kulingana na nilivyoqutiwaMbona unakomalia vitu vidogo vidogo. Hayaa amedanganya umefrai?? Punguza ujuaji.
Jadili mada mezani.