nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Toa jina la groupTupo wasap na telegram ambako hakuna limit ya idadi ya members.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa jina la groupTupo wasap na telegram ambako hakuna limit ya idadi ya members.
Uongo kawadanyanye watoto wakoInasikitisha kuona wastaafu wakizungushwa na mafao yao. Jibu ni Tundu Lissu 2020.
Ushahidi upo Mgombea TL ni mprnda haki na utawala bora. Manyanyaso haya hawezi kuyaepuka chini ya mtawala yeyote kutoka ccmLazia Sultani, pole kwa masahibu uliyoyataja na kuyahusisha na utawala wa sasa. Uamuzi wako kujiunga na upande mwingine wa siasa ni wa kila Mtanzania anayeamini, kama wewe, matatizo yao yatapata mwarobaini.
Ni vizuri kujiuliza huyo wagombea wa upande wa pili wana sifa hizo? Je, kuna ushahidi wowote kuwa wanao uwezo huo? Je, kama viongozi wana nini cha kukumbukwa?
Acha uongo hakuna mstaafu asiyelipwa mafao yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Tatizo lenu mnaleta uongo wa kitoto sana.Jana nilimtibu mama mmoja 62yrs,akaniambia mwili unamuuma sana anahisi in sababu ya kazi ngumu anayofanya ya kugonga kokoto. Baadae akaniambia yeye ni Mwalimu amestaafu 2018 lakini mpaka leo hajalipwa mafao yake.
Huyo Mother nimemkuta na BP 200/110 mmHg na RBG 15mmol/dl, halafu kachanganyikiwa na kufuatilia pesa yake ya kustaafu amesahau hata kufuatilia NHIF card ya mstaafu na pesa hana anvunja kokoto. Nimemuambia afuatilie hiyo card ya NHIF imesaidie kwenye matibabu.
Magufuli anatesa sana watu,hali ni mbaya sana.
Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school, na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.
Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.
Aisee watu ni waoga ati! Llile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.
Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.
1.Baba angu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwasasa.
2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria alafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.
3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha Sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.
Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school, na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Wewe mwongoNipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.
Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.
Aisee watu ni waoga ati! Llile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.
Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.
1.Baba angu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwasasa.
2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria alafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.
3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha Sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.
Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school, na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Hongereni kwa kuwa na group la WhatsApp lenye members zaidi ya 300Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.
Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.
Aisee watu ni waoga ati! Llile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.
Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.
1.Baba angu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwasasa.
2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria alafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.
3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha Sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.
Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school, na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Endelea kuota!Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school, na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!![emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1548][emoji1548]
Rai wapi hao unaowaongelea ? Lissu kamwe hatakuwa rais wa jmt hata kwa kafara za makaRaia wengi hawaikubali serikali hii, sema walinyimwa kuonyesha choice ya allegiences zao za kisiasa kutokana na upinzani kubanwa sana kufanya siasa.
Ujasiri wa Lissu unainspire watu wengi kuonyesha hisia zao halisi
Ukweli ni kuwa Magufuli hakubaliki sana, ila propaganda zimesukwa ionekane as if anakubalika mno
Haya na wewe tumekusia subiri October.Raia wengi hawaikubali serikali hii, sema walinyimwa kuonyesha choice ya allegiences zao za kisiasa kutokana na upinzani kubanwa sana kufanya siasa.
Ujasiri wa Lissu unainspire watu wengi kuonyesha hisia zao halisi
Ukweli ni kuwa Magufuli hakubaliki sana, ila propaganda zimesukwa ionekane as if anakubalika mno
Acha uongo hakuna mstaafu asiyelipwa mafao yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Tatizo lenu mnaleta uongo wa kitoto sana.
Sasa group la WhatsApp linaweza kukupa tathmini ya watanzania zaidi ya mil.50 juu ya nini wanachofikiria?We kwani Group la whatsap linaundwa na Mawe??
250
Hujaelewa pointi ya mleta mada. Ameonesha jinsi siasa zilibafilika ghafla baada ya ujio wa Lissu nothing elseSasa group la WhatsApp linaweza kukupa tathmini ya watanzania zaidi ya mil.50 juu ya nini wanachofikiria?
Watu Wana mateso sana, wamekata tamaa kabisa wanaona TL labda anaweza kuwa mbadala wa mateso yao.Jana nilimtibu mama mmoja 62yrs,akaniambia mwili unamuuma sana anahisi in sababu ya kazi ngumu anayofanya ya kugonga kokoto. Baadae akaniambia yeye ni Mwalimu amestaafu 2018 lakini mpaka leo hajalipwa mafao yake.
Huyo Mother nimemkuta na BP 200/110 mmHg na RBG 15mmol/dl, halafu kachanganyikiwa na kufuatilia pesa yake ya kustaafu amesahau hata kufuatilia NHIF card ya mstaafu na pesa hana anvunja kokoto. Nimemuambia afuatilie hiyo card ya NHIF imesaidie kwenye matibabu.
Magufuli anatesa sana watu,hali ni mbaya sana.
Ok
mbona sisi tunajiunga kwa link na tuko zaidi ya 300?