Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Hongereni sana Bavicha naona ajira imepatikana na mumeanza tena ngonjera za kwenye mitandao ya kijamii kujiaminisha kuwa eti mnakubarika wakati. Hizo keyboard mlizozikusanya Chumba kimoja mnajijibu wenyewe siasa hizo ziliisha pitwa na wakati.

Ukitaka kuwavuta Wapiga kura waeleze ukiwa kiongozi wa Chadema Jimbo flani au nafasi flani ndani ya Chadema umesaidia vipi kuhakiisha Changamoto ya ajira kwa Wanachadema imeondolewa kwa kutumia vyanzo vya ndani vya Chadema, Umeshiriki vipi kuishauri Serikali kama Mbunge ukiwa Bungeni na wapi ulifanikiwa au eleza kwanini ulikuwa unachukua Posho na unakimbia Bungeni.

Waeleze Wananchi Mwenyekiti wa Chadema kwanini alibadilisha Katiba ya Chadema ili awe Mwenyekiti wa kudumu , na kwanini anajiamini peke yake na kwanini hawaamini Wenzake na Mara nyingi wanaogusa kiti wanaishia kutandikwa Risasi Mfano Waliompiga shaba Mgombea Kikosi maalum cha Mwenyekiti, kuwaita Wasaliti wengine na kuwafukuza uanachama Mfano Zitt Kabwe n.k.

Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kwamba Ruzuku ya Chadema imekinufaisha vipi Chadema.
Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa Mbowe Makato aliyokuwa anawakata Wabunge fedha zilikuwa zinaenda wapi.

Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa utaratibu wa kuwapata Wabunge viti Maalum Mlikuwa mnatumia utaratibu gani na mbona mapka saizi haupo wazi na Wengi wao walikuwa ni babies kutoka hukooooo kwao.

Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa kwanini Chadema hakina Ofisi, na Ofisi ya Chadema ni Mifuko ya Watu. Mnatakiwa kuwaeleza Wananchi kuwa Bilion 900 za Whitehair zilienda wapi na zimefanya nini yakowemo Magari. Hayo ni baadhi ya kuwaeleza Wananchi.

Sidhani kama mnauwezo wa kuwafumbisha Macho Wananchi wasioone Flyover, Viwanja vya NDEGE, Kufufuliwa kwa shirika la Ndege ATC, na Miradi mingi mikubwamikubwa sidhani kama eti Chadema hapo ambapo na nyie mnapaona mtakuwa na hoja labda za kuburudisha na kupumbaza Watu.

NB: Eti issue ya Lissu kutandikwa Risasi Mbw ni mwagizaji 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Mkuu Lazia, kwanza nimeguswa sana na maswahibu uliyppitia, pole sana kwa mapito hayo, pili ni kweli tunakwenda kupata Tanzania njema na yenye haki na usawa mbeleni, ila ni kwa upande ule ule na sio upande wa pili, kwasababu kwa mfumo, hakuna uwezekano wa upande pili kutoboa!, ila kitu kizuri ni upande uliopo unabadilika, mabadiliko chanya kwenye utoaji haki yameisha anza, hivyo awamu ya pili ni neema tupu!.

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!

Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe

Kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa Rais Magufuli!. Je, kuna uhusiano kati ya kabila la mtu, na uchapakazi wake?. Je, 2020 kuna haja ya...

P
 
Acha uongo hakuna mstaafu asiyelipwa mafao yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Tatizo lenu mnaleta uongo wa kitoto sana.
Wewe kama bibi na babu yako wamelipwa haina tafsiri kwamba "wote" wamelipwa, hii habari ya watu kitokulipwa mafao yao ni dhahiri kabisa, nina mzee wangu alistaafu tangu August,2018 mpaka leo bado hajapewa haki yake!

Ukweli ni kwamba mzee Magu ana roho ya kikatili, achilia mbali wazee hao (ambao hawajalipwa), najaribu kumtazama namna anavyodhulumu haki za watumishi wa umma kwa sasa!

Kwa miaka 5 ameikanyaga sheria ya utumishi wa umma, kwani kutowaongezea basic salary maana yake hakuna nyongeza yoyote kwenye mchango wa mfuko wa hifadhi ya jamii (kwa miaka yote ya uongozi wake)

Wakati huo huo Kuna sheria ipo "pending" ya kulazimisha wastaafu kuchukua 25% ya mafao yao kwa kisingizio cha "kuwatunzia" wastaafu pesa zao wakati wao (viongozi Magu akiwemo) kwa miaka yote wamekuwa wakijikwapkulia pesa zao zote kila baada ya miaka mitano utadhani wao hawazeeki (high level of selfishness)

Huyu mzee ni katili mnoooooo!
 
Magufuli kaungaanisha mifuko yaa jamii ili achote vizuri michango ya wanachama, mifuko inabaaki mitupu mpaka wastaaafu wanakosa pesa za malipo yao
 
Natamani siku chadema ichukue nchi ili tuone maajabu watakayo fanya. Tatizo hii ni ndoto
 
Acha uongo hakuna mstaafu asiyelipwa mafao yake zaidi ya miezi sita baada ya kustaafu. Tatizo lenu mnaleta uongo wa kitoto sana.
Usiwasemee watu. Kaka yangu alistaafu tangu August 2016 bahati mbaya akafariki February 2017. Tulifuatilia mafao for 3 years yamelipwa June 2020. Usitutie hasira watu tulioathirika na hii system
 
daaaaaah
Wadau katika silidi nzima wamegungua whatsap kua na member 300.
 
mnanifurahisha mnavyojipea moyo, sio mbaya kuota lkn
 
C
CCM .OYEEEE
CCM.JUUU
KIDUM CHAMA CHA MAPINDUZI
CCM2025
AMKATWENDE
 
NIMEMWELEWA MZEE BASHIRU SASA
CCM SIO CHAMA CHA MITANDAONI
ATUCHAGUI RAISI WA MITANDAON TUNACHAGUA RAISI WA WATANZANIA

AISEE .,NAHIKI KITUKO SASA NAMWELEWA
TENA
GRADUATES LOH
 
Nimeshakufahamu umemaliza 2010 ud pole sana magufuli for life
 
NIMEMWELEWA MZEE BASHIRU SASA
CCM SIO CHAMA CHA MITANDAONI
ATUCHAGUI RAISI WA MITANDAON TUNACHAGUA RAISI WA WATANZANIA

AISEE .,NAHIKI KITUKO SASA NAMWELEWA
TENA
GRADUATES LOH
Graduates hawana ajira,hali ngumu,democracy,human rights,watumishi wa umma hakuna nyongeza kwa miaka mitano,uhuru wa mahakama,
Niendelee ?
 
Sipati picha kampeni mwaka huu zitakuwaje maana huyu Magu ametenda jinai kibao sana.Kama kutakuwepo na free and fair election lolote laweza kutokea mwaka huu.CCM kila kukicha naona wana loose ground kwa kasi sana ! Mungu tenda miujiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…