Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

Akikujibu nistue; nimechoshwa na story za yohana mjinga na Robinson cruso mvumbuzi wa nchi ya Australia
Kwa taatifa yako nadhani upo nyuma ya teknolojia. Alishajibiwa post za mwanzo kabisa na wadau.
Ukitumia link mnajiunga zaidi ya 300 kwa kundi moja. Uki add member kwa njia ya kawaida inagoma. Nina group jingine la wafugaji nilijiunga kupitia link tupo Zaidi ya 300 in one group. Mfyuuuu!!
 
Akikujibu nistue; nimechoshwa na story za yohana mjinga na Robinson cruso mvumbuzi wa nchi ya Australia
Kuna watu bado hawaijiwi na akili. Kampeni za mafanikio ziko vijijini, wao wanaleta kampeni JF yenye wanachama sawa na jimbo moja la uchaguzi.
 
Inasikitisha kuona wastaafu wakizungushwa na mafao yao. Jibu ni Tundu Lissu 2020.
Umewahi kumsikia akizungumzia sayansi, uchumi au elimu? Yeye anazungumzia risasi 33, haki za binadamu na sheria hii na ile. Hakuna kiongozi hapo!!
 
Kwa taatifa yako nadhani upo nyuma ya teknolojia. Alishajibiwa post za mwanzo kabisa na wadau.
Ukitumia link mnajiunga zaidi ya 300 kwa kundi moja. Uki add member kwa njia ya kawaida inagoma. Nina group jingine la wafugaji nilijiunga kupitia link tupo Zaidi ya 300 in one group. Mfyuuuu!!
Endeleeni kufuga
 
Kajisahau kudanganya vizuri kumbuka hapo kuna walioleft kwa kukosa tolerance [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mnadili na idadi tu, akili ndogo hizi. Kujoin wasap kwa link inabeba watu wengi sana. Upo nyuma shogaa angu, mfyuuuu!!
 
Umewahi kumsikia akizungumzia sayansi, uchumi au elimu? Yeye anazungumzia risasi 33, haki za binadamu na sheria hii na ile. Hakuna kiongozi hapo!!
Hata Mungu alimpa Musa amri kumi ili kuweka nidhamu na utii duniani na amri kumi zile ndiyo msingi wa sheria za leo.

Kungekuwa na Utawala wa katiba na sheria wastaafu wasingesumbuliwakupata mafao yao.
 
Shosti mwenye akili kubwa kampen unayopiga hapa ni kupoteza muda tu toa elimu vijijini mpate ushindi wa maana. October JF ikipigwa chini kwa dakika chache tu ushindi wa mitandaoni chaliii
Yaani mnadili na idadi tu, akili ndogo hizi. Kujoin wasap kwa link inabeba watu wengi sana. Upo nyuma shogaa angu, mfyuuuu!!
 
Shosti mwenye akili kubwa kampen unayopiga hapa ni kupoteza muda tu toa elimu vijijini mpate ushindi wa maana. October JF ikipigwa chini kwa dakika chache tu ushindi wa mitandaoni chaliii
Huko vijijini hali wanaiona wenyewe. Hata huyo mzee wangu aliyeparalaizi yupo kijijini na hajalipwa mafao yake sisi wanae ndo tunamtibu kwa kuhakikikisha anahudhuria clinic ya PB na Physiotherapy kila mwezi. Hayo mafao yake pengine yangetoa msaada wa matibabu makubwa na pengine hasingepata kabisa tatizo hilo.
 
Vijijini wanaisoma namba enzi na enzi na hawabadiliki mnadhan mabadiliko ni rahisi sana ngumu ndugu. Pole kwa mzee
Huko vijijini hali wanaiona wenyewe. Hata huyo mzee wangu aliyeparalaizi yupo kijijini na hajalipwa mafao yake sisi wanae ndo tunamtibu kwa kuhakikikisha anahudhuria clinic ya PB na Physiotherapy kila mwezi. Hayo mafao yake pengine yangetoa msaada wa matibabu makubwa na pengine hasingepata kabisa tatizo hilo.
 
Mbona waliyotumbuliwa wengi tu wamegombea udiwani na ubunge kupitia ccm?
Kuna waleeee...walisemekana wana vyeti feki..wengine kweli form4 hawakufanya vizuri ila wakafanya namna wakaenda vyuo wakafaulu na kuajiriwa wakiwa na utaalam waliosomea...wengine walikuwa wanakaribia kustaafu kabisa wakafukuzwa na bila hata senti kwa muda waliotumikia nchi....wakaambulia viharusi na magonjwa memgine....hao na familia zao wote wanasubiri tu kipenga wakamshangaze mtu...wakati wao wakifanyiwa hivyo bashite anaambiwa achape kazi...
 
Kuna watu bado hawaijiwi na akili. Kampeni za mafanikio ziko vijijini, wao wanaleta kampeni JF yenye wanachama sawa na jimbo moja la uchaguzi.
Hata mapokezi ya Lissu mlisema yanaratibiwa mtandaoni nyuma ya keyboard..mkasema hakuna atakayejitokeza uwanja wa ndege kumpokea...nadhani mliona hali ilivyokuwa..
 
Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.

Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.

Aisee watu ni waoga ati! Lile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.

Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.

1.Baba yangu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwa sasa.

2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria halafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.

3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.

Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Mpaka October 28 tutasikia ngonjera nyingi.
 
Nipo kwenye group la graduates mwaka fulani wa nyuma, ambao tulinufaika na Loan board kipindi cha Kikwete, na ajira ya Kwanza(first appointment) tukiwa na Kikwete. Tunakumbushana mengi tu hasa Neema za kipindi hicho cha nyuma.

Wadau wengi wa kundini walitia Nia kupitia chama tawala(sikuona chama pinzani aliyepost kundini ingawa walikuwepo, nawafahamu) picha za kijani zilijaa kwenye devices zetu, hadi watu wakafikia hatua kushauri tuwachangie fedha za kuchukulia fomu, ingawa hoja hiyo ilipotea hewani na wengine waliishia kuleft. Wakati huo watu wenye itikadi tofauti na chama cha kijani walionekana kuwa wachache sana.
Hivi sasa napata picha kuwa kumbe wale walioleft hawakuwa na 'Political tolerance' tuliobaki active kwenye agenda za kisiasa nadhani ni mimi na wenzangu Kama wanne hivi Kati ya wanagroup zaidi ya 300.

Aisee watu ni waoga ati! Lile group limebadili gia angani tangu kutangazwa kwa TL kuwa Mgombea Urais CHADEMA. Wanakijani wanahesabika Kama wakivyohesabika wa rangi nyingine hapo awali. Picha ya Tz yetu kwa sasa nimeipata kupitia grupu langu la wasap. Grupu lina wasomi na maafisa wengi tu walioendelea na masomo hadi PhD. Tulikuwa tunaogopana lakini tangu 3/8/2020 woga umeisha.

Utawala huu umeniadhibu mambo kadhaa makubwa ambayo sitokuja kusahau maishani. Nadhani tupo wengi nyuma ya haya na mengine.

1.Baba yangu kastaafu tangu October 2017, yapata miaka miwili na nusu hajapata mafao yake hadi leo. Amehangaika, akapatwa na stroke ingawa alikuwa na historia ya BP ila nadhani hili limechangia. Ameparalaizi kwa sasa.

2. Mimi na mdogo wangu tulipata ajira ya ualimu wa sekondari 2009 na 2011. Serikali ikatupeleka kufundisha shule za msingi mwaka 2018. Si vibaya kufundisha msingi lakini iliniuma kuona wenye degree tunapelekwa msingi na wenye diploma wanabaki secondary Schools. Bila kujali seniority kazini(umri kazini) yaani miaka yangu 9 kazini unanipeleka kwenye kazi ambayo sikuisomea na Wala kuifikiria halafu unamwacha dogo wa diploma mwenye miaka 5 kazini. No!! Huu siyo utumishi wa umma.

3. Uhakiki wa vyeti feki ulinifurahisha sana, niligundua walimu wengi wana vyeti zaidi ya kimoja, yaani waliunga unga elimu(wali resit) na wengine walisomea majina tofauti ili warudie darasa. Cha kushangaza hao hao waliachwa wafundishe sekondari sisi wenye division one(na umahiri katika masomo) tukapelekwa shule za msingi, kisa tunamchalenji hedimasta. Kuna shule ambazo wanafunzi waliandamana kupinga uhamisho onevu wa competent teachers mwaka 2018, waliopelekwa msingi.

Niliacha kazi ya serikali nikaenda private school na baadae kwenye biashara za mazao hadi leo hii. Naiona Tanzania yenye HAKI na Usawa mbeleni kama Uongozi utageuka upande wa pili, Binafsi natamani hivyo na dalili naoina.
Time will tell!!
Kumpigia kura mgombea wa CCM ni matumizi mabaya ya akili
 
Sio hao walimu tu mkuu, karibu kila kundi limepigwa na serikali hii! Ukiuliza watumishi ni habari mbaya tupu! Ukiuliza wakulima ni kilio tu! Ukienda kwa wafanya biashara ni balaa tupu! Ukienda kwa wanafunzi na wahitimu vijana wa vyuo vikuu wanaohangaikia ajira miaka nenda rudi, ni mateso tu! Na sasa hata kwa wazee wastafu ambao ndio wengi huichagua CCM bila hata kujaji chochote nao sasa ni shida tupu!....Hakuna namna ni kuing'oa tu CCM ndio solution!
 
Masuala ya
  1. COVID 19;
  2. Kodi Kwa vikoba;
  3. Viwango vya juu vya Bima ya afya;
  4. Vurugu kwenye sekta binafsi na NGOs;
  5. Sheria zinazokandamiza haki na Uhuru wa kujieleza;
  6. Wananchi kubambikizwa kesi za utakatishaji pesa; na
  7. Wastaafu na wakulima kutolipwa Kwa wakati au kutolipwa kabisa.
Hayo yote, pengine pamoja na mengineyo kadhaa ni popular policy areas kuwekwa kwenye ilani za vyama vya upinzani pamoja na kujua namna ya kuzi-articulate kwa wananchi.
Watapata ushindi wakiweza kusimamia Sera hizo.
COVID 19 ? siku zote najua Mnawia ndio zuzu lao humu kumbe ako na washirika wake.
 
Jazaneni upepoo... mkimaliza kakojoeni mlale. Kweli mtu na akili zake unakuja kutuambia eti group lako la WhatsApp linakupa taswira ya jinsi Tanzania nzima inavyomkubali Lissu? Hivi zinakutosha kweli?

Umeacha kazi ya Serikali umeenda kufanya biashara na mpaka leo unasurvive meaning mazingira ya biashara yaliyowekwa na Serikali ni mazuri inabidi ushukuru kwa hilo. Nilitegemea useme upo kijiweni huna kazi. Unalalamika umepata Div.1 halafu ukapelekwa kufundisha shule ya msingi, nani alikuambia watu failure ndo wanatakiwa kufundisha shule ya msingi? Yaani wewe ni bora ulivyoacha kufundisha, maana ungeharibu watoto wetu.
Mkuu jiongeze kidogo. Hata humu JF kuna mabadiliko makubwa sana. Nikupe mfano tu mdogo: Kuna watu waliovunjiwa nyumba zao jijin Dar na Serikali huku wakiwa na zuio la Mahakama. Serikali imeiweka Mahakama mfukoni na hadi hivi sasa watu wale hawajui hatma yao. Vp kwa ujio wa Mh TL si ukombozi kwao?? Mifano ni mingi.
 
Watu wengi sana wamedhulumiwa haki zao chini ya serikali ya Magufuli. Licha ya hao wastaafu kutolipwa mafao yao, kuna wananchi wengi ambao hawajalipwa haki zao baada ya kushinda kesi mahakamani dhidi ya vitendo vya dhuluma vya Halmashauri!! Mahakama hutoa hukumu kuwa wananchi walipwe fidia lakini halmashauri nyingi hazitekelezi amri za mahakama!! Dhuluma hizi zitamuweka pabaya Magu kwenye uchaguzi huu mkuu!!
Kila kiongozi ako na mazuri na mabaya yake nyie Chadomo mtakazana kutafuta mabaya yake ila wako ambao wataonesha mazuri yake.. usitoe conclusion base on negetivity kwa kuwa wewe unaona upande mmoja tu wa mabaya yake.
 
Back
Top Bottom