Kosa la yanga ni kuleta utoto wa NBC kwenye mechi nene za CAFCL,
mfuatiliaji mzuri wa mpira anakumbuka namna ambavyo wanafainali wa CAFCL msimu uliopita walivyoingia robo fainali, Hii ndio huwa strategy yao,
Mara nyingi al ahly na wydad kwenye makundi wananzaga hivi na mara nyingine humaliza wa pili lakini hao hao ndio wamecheza fainali nyingi
Huku ukileta tamaa ya kufunguka eti ushinde popote yatakutana manene, angali inaowaita wakubwa wote hakuna aliyeshinda wala kufosi kushinda ugenini bali wana relax na kujilinda,
Gamondi anaamini katika kujilinda kwa kumiliki mpira, mbinu ambayo ni rahisi sana kufungika ukikutana na timu inayocheza technically
Nashauri Gamondi abadilishe mfumo wa uchezaji kwenye hizo games, otherwise atawala chenga kisha afungwe yeye