Kundi tunalolitaka Simba

Kundi tunalolitaka Simba

Baada ya simba mnyama mkali kufuzu hatua ya makundi jana kwa ushindi mwembamba tulioupata wa jumla ya magoli 4 - 1 mimi kama kiongozi wa simba naomba radhi kwa ushindi huo kiduchu ndio maana tukajadiliana tupate proper striker january ili tuwe tunafunga vya kutosha

Kwanza kwa inavyoonekana sisi kama mnyama mkali tutakuwa pot ya 3
hivyo pot ya kwanza tunamtaka WAC hawa ni mabingwa watetezi sie kama wanyamwezi tupeni mzigo mgumu
japo pot hiyo al ahly yupo ila hana utamu kwetu kashakuwa pombe ya ngomani mpaka kagere alikuwa anajipigia tu

Pot ya 2 tuwekewe Mamelody Sundown hawa wanasikiaga tu kwa mkapa hatokagi mtu hawa wanahitaji pumzi ya moto haswa

pot ya 3 mnyama mkali tishio anayekula nyama nje ndani

pot ya 4 tupeni vipers tuwafundishe watu jinsi ya kuwafunga hawa Vipers.

Najua as vita wapo hapo ila hawana mnato tena hawa tunajipigiaga tu nje ndani kama mademu wa ubanda

Kwa hiyo kundi litakuwa
Wydad Casablanca
Mamelody Sundowns
SIMBA
Vipers

ila msimamo sijui nani ataongoza ila simba tutakuwa na point 10 tutapita tu

Barbara hakikisha kundi liwe hivi tunahitaji uto wawapokee kila mgeni atakayekuja na wamuelekeze mlango wa kupita
Muda wa kupiga domo na kuimba taarab ndiyo unaelekea ukingoni. Ni suala tu la muda vilio na kelele za kuwakataa wachezaji, viongozi na benchi la ufundi kuanza kutawala tena.
 
Hilo kundi mzee wangu hutoboi mkipangiwa hivyo.....Mimi sio Yanga wala simba mimi ni mwana Azam fc....huwezi kufika 16 bora kama itakuwa hivyo.
hawezi fika 16 bora kwani sasahivi yupo wapi?
 
Hata Kama Simba atapigwa nje ndani ila Kuna rah yake ya kucheza caf championship bhna hi michezo isikie tu

Ndio hvyo Tena ngoja tuende shirikisho tukawaoneshe adabu wapuuz wote
 
Dada ako kila mimba ikifika miezi 6 inatoka .. ila anasema ni mafanikio je mtoto atakuja lini...
Hizo ni habari zenu akina mama mkae muhesabu siku zenu kwa pamoja
 
Hilo kundi mzee wangu hutoboi mkipangiwa hivyo.....Mimi sio Yanga wala simba mimi ni mwana Azam fc....huwezi kufika 16 bora kama itakuwa hivyo.

Unaongea kama humjui mnyama akiwa lupaso huwa anakuaje????hilo kundi mnyama anapita tena kwa point 10+
 
Mpira wa africa hii hakuna timu itatamani kukutana na simba..NARUDIA HAKUNA!! Wanajua kinachotokaega kwa mkapa
 
Back
Top Bottom