Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda wa kupiga domo na kuimba taarab ndiyo unaelekea ukingoni. Ni suala tu la muda vilio na kelele za kuwakataa wachezaji, viongozi na benchi la ufundi kuanza kutawala tena.Baada ya simba mnyama mkali kufuzu hatua ya makundi jana kwa ushindi mwembamba tulioupata wa jumla ya magoli 4 - 1 mimi kama kiongozi wa simba naomba radhi kwa ushindi huo kiduchu ndio maana tukajadiliana tupate proper striker january ili tuwe tunafunga vya kutosha
Kwanza kwa inavyoonekana sisi kama mnyama mkali tutakuwa pot ya 3
hivyo pot ya kwanza tunamtaka WAC hawa ni mabingwa watetezi sie kama wanyamwezi tupeni mzigo mgumu
japo pot hiyo al ahly yupo ila hana utamu kwetu kashakuwa pombe ya ngomani mpaka kagere alikuwa anajipigia tu
Pot ya 2 tuwekewe Mamelody Sundown hawa wanasikiaga tu kwa mkapa hatokagi mtu hawa wanahitaji pumzi ya moto haswa
pot ya 3 mnyama mkali tishio anayekula nyama nje ndani
pot ya 4 tupeni vipers tuwafundishe watu jinsi ya kuwafunga hawa Vipers.
Najua as vita wapo hapo ila hawana mnato tena hawa tunajipigiaga tu nje ndani kama mademu wa ubanda
Kwa hiyo kundi litakuwa
Wydad Casablanca
Mamelody Sundowns
SIMBA
Vipers
ila msimamo sijui nani ataongoza ila simba tutakuwa na point 10 tutapita tu
Barbara hakikisha kundi liwe hivi tunahitaji uto wawapokee kila mgeni atakayekuja na wamuelekeze mlango wa kupita
Vijana wa sasa hivi hamna adabu yani unamtafutia dada yako mume....Mi natamani Uto wapangiwe De Agosto kwenye mtoano shirikisho
Ndio watajua kama hawajui
Dada ako kila mimba ikifika miezi 6 inatoka .. ila anasema ni mafanikio je mtoto atakuja lini...Lucy eymel kashawaita mbwa na anawadai hela
mbwa nyinyi
hawezi fika 16 bora kwani sasahivi yupo wapi?Hilo kundi mzee wangu hutoboi mkipangiwa hivyo.....Mimi sio Yanga wala simba mimi ni mwana Azam fc....huwezi kufika 16 bora kama itakuwa hivyo.
Hilo kundi mzee wangu hutoboi mkipangiwa hivyo.....Mimi sio Yanga wala simba mimi ni mwana Azam fc....huwezi kufika 16 bora kama itakuwa hivyo.