Kungekuwa na sheria ya "kila mwanamke aolewe na mwanaume aliyemkata utepe"

Kungekuwa na sheria ya "kila mwanamke aolewe na mwanaume aliyemkata utepe"

Wamuyaya

Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
73
Reaction score
72
Wapendwa naleta uzi huu mbele yenu kwa sababu mimi ni miongoni mwa wanaume wachache kama siyo wengi, waliyowahi kupata fursa ya kukata utepe!

Binafsi nimewahi pata bahati ya kukata utepe/kubikiri wasichana 7 mwaishani mwangu. Kwa sasa nikiwa na umri wa 40+ nilishastaafu kufanya hayo mambo na nikaamua kumrudia Mola.

Kuna swali huwa najiuliza...Hivi kila mwanamke angeolewa na mwanaume aliyemtoa BIKRA yake, ingekiwaje? Ina mama mimi ningekuwa na wake 7!?

Je unafikiri kungekuwa na sheria ya aina hii "kila mwanamke aolewe na mwanaume aliyemkata utepe", Vitendo vya zinaa kabla ya kuoa/kuolewa vingepungua? Bila shaka jibu ni YES, kwani hata mimi nisingeweza kuwapitia hao 7, maana sheria ingenibana.

Nawatakia siku njema

KUMBUKA: KUFANYA TENDO LA NDOA KABLA YA KUOA/KUOLEWA NI DHAMBI!
 
Inategemea na bikra yenyewe maana unamtoa bikra ya mbele halafu wenzako wanamtoa bikra ya nyuma
emoji41.png
 
Kuna watu wangeolewa na matango na ndizi, ukiachilia ambao wangeolewa na ndugu zao wa damu.

Kwa wanaume kuna baadhi wangevuvuka hata idadi elekezi ya dini ya kiislam, wangekuwa mithili ya King Mswati.
 
Hii nchi ngumu sana, isingewezekana..unawajua wabongo wewe sheria zipo na wanazivunja
 
Yan Mkuu wew umefaidi mbususu kabla ya ndoa but sasa hvi unatuambia kuwa ni dhambi,ngoja nasisi tufaidi kmaskhara then dhambi baadaye.
 
Kuna wanaume wangeoa wanawake zaidi ya 10..huku wengine wangeambulia patupu.
 
Inategemea na bikra yenyewe maana unamtoa bikra ya mbele halafu wenzako wanamtoa bikra ya nyuma
emoji41.png
Ya nyuma hata mnyama asiyekuwa na utashi hafanyi. Ukiona binadamu amefikia hatua ya kufanya hivyo, ujue dishi limeyumba!
Hapa tuongelee binadamu wenye akili timamu
 
Yan Mkuu wew umefaidi mbususu kabla ya ndoa but sasa hvi unatuambia kuwa ni dhambi,ngoja nasisi tufaidi kmaskhara then dhambi baadaye.
Nimeshakuwa mtu mwema mkuu. We hupendi kuwa mtu mwema?
 
Kuna watu wangeolewa na matango na ndizi, ukiachilia ambao wangeolewa na ndugu zao wa damu.

Kwa wanaume kuna baadhi wangevuvuka hata idadi elekezi ya dini ya kiislam, wangekuwa mithili ya King Mswati.
Aisee!
 
Wapendwa naleta uzi huu mbele yenu kwa sababu mimi ni miongoni mwa wanaume wachache kama siyo wengi, waliyowahi kupata fursa ya kukata utepe!

Binafsi nimewahi pata bahati ya kukata utepe/kubikiri wasichana 7 mwaishani mwangu. Kwa sasa nikiwa na umri wa 40+ nilishastaafu kufanya hayo mambo na nikaamua kumrudia Mola.

Kuna swali huwa najiuliza...Hivi kila mwanamke angeolewa na mwanaume aliyemtoa BIKRA yake, ingekiwaje? Ina mama mimi ningekuwa na wake 7!?

Je unafikiri kungekuwa na sheria ya aina hii "kila mwanamke aolewe na mwanaume aliyemkata utepe", Vitendo vya zinaa kabla ya kuoa/kuolewa vingepungua? Bila shaka jibu ni YES, kwani hata mimi nisingeweza kuwapitia hao 7, maana sheria ingenibana.

Nawatakia siku njema

KUMBUKA: KUFANYA TENDO LA NDOA KABLA YA KUOA/KUOLEWA NI DHAMBI!
Kuna wadada wengi warembo/celebrities wangeolewa na wanaume wa ajabu sana!!
 
Wapendwa naleta uzi huu mbele yenu kwa sababu mimi ni miongoni mwa wanaume wachache kama siyo wengi, waliyowahi kupata fursa ya kukata utepe!

Binafsi nimewahi pata bahati ya kukata utepe/kubikiri wasichana 7 mwaishani mwangu. Kwa sasa nikiwa na umri wa 40+ nilishastaafu kufanya hayo mambo na nikaamua kumrudia Mola.

Kuna swali huwa najiuliza...Hivi kila mwanamke angeolewa na mwanaume aliyemtoa BIKRA yake, ingekiwaje? Ina mama mimi ningekuwa na wake 7!?

Je unafikiri kungekuwa na sheria ya aina hii "kila mwanamke aolewe na mwanaume aliyemkata utepe", Vitendo vya zinaa kabla ya kuoa/kuolewa vingepungua? Bila shaka jibu ni YES, kwani hata mimi nisingeweza kuwapitia hao 7, maana sheria ingenibana.

Nawatakia siku njema

KUMBUKA: KUFANYA TENDO LA NDOA KABLA YA KUOA/KUOLEWA NI DHAMBI!
 
Siku hizi wewe ukikata utepe mbele wenzio wanakata wa nyuma
 
Back
Top Bottom