Barakaeli174
Senior Member
- Aug 2, 2015
- 171
- 142
Kwa muda ganiunaweza nawia maji ya ukoko wa ugali au maji ya limao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa muda ganiunaweza nawia maji ya ukoko wa ugali au maji ya limao
Du watu nadawa zao bhana[emoji12]unaweza nawia maji ya ukoko wa ugali au maji ya limao
Yani hio ndio kiboko sasaDu watu nadawa zao bhana[emoji12]
Dr MajashoMaji ya ukoko wa ugali.
Ukishajiandaa unataka kutoka jisugue na kipande cha limao kwapani acha yale maji maji yakauke usijifute vaa nguo yako saaaafi kabisa siku nzima utakuwa fresh...
Uwe unajisugulia baking soda unaichanganya na maji kidogo...
Njoo nikutibu na kijasho chako hikoDr Majasho
Ni kawaida ukishazoea kutumia deodorantNaomba msaada wana jf
Nimekuwa nikitumia deodorant kupaka kwapani na nisipopaka kuna kajasho flani kanatoa harufu hii imekuwa too much inanilazimu kupaka deodorant kila siku, naomba msaada wa aina ya dawa ya kumaliza kabisa tatizo hili ili nisiwe napaka deodorant.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] madaktari wakujitegemeaDu watu nadawa zao bhana[emoji12]
mpaka utakapoona tatizo limeisha unaachaKwa muda gani
Maji ya ukoko wa ugali wa mahindi au muhogounaweza nawia maji ya ukoko wa ugali au maji ya limao
Hii kujisugua ni kwa muda gani au miaka yote ndo itakuwa hivyo tuMaji ya ukoko wa ugali.
Ukishajiandaa unataka kutoka jisugue na kipande cha limao kwapani acha yale maji maji yakauke usijifute vaa nguo yako saaaafi kabisa siku nzima utakuwa fresh...
Uwe unajisugulia baking soda unaichanganya na maji kidogo...
Sio miaka yote ukifululiza week utaanza kuona mabadilikoHii kujisugua ni kwa muda gani au miaka yote ndo itakuwa hivyo tu
Mm jasho linatoka kwny goroli zanguNjoo nikutibu na kijasho chako hiko
Sugua tu hakuna namna na uache kuvaa nguo za kubanaMm jasho linatoka kwny goroli zangu
Njoo unitibuSugua tu hakuna namna na uache kuvaa nguo za kubana
Sema unapatikana wapi nikujie na.tiba mubasharaNjoo unitibu
Nipo hapa nyumbani kwanguSema unapatikana wapi nikujie na.tiba mubashara