Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Maji ya ukoko wa ugali.
Ukishajiandaa unataka kutoka jisugue na kipande cha limao kwapani acha yale maji maji yakauke usijifute vaa nguo yako saaaafi kabisa siku nzima utakuwa fresh...
Uwe unajisugulia baking soda unaichanganya na maji kidogo...
 
Maji ya ukoko wa ugali.
Ukishajiandaa unataka kutoka jisugue na kipande cha limao kwapani acha yale maji maji yakauke usijifute vaa nguo yako saaaafi kabisa siku nzima utakuwa fresh...
Uwe unajisugulia baking soda unaichanganya na maji kidogo...
Dr Majasho
 
Naomba msaada wana jf

Nimekuwa nikitumia deodorant kupaka kwapani na nisipopaka kuna kajasho flani kanatoa harufu hii imekuwa too much inanilazimu kupaka deodorant kila siku, naomba msaada wa aina ya dawa ya kumaliza kabisa tatizo hili ili nisiwe napaka deodorant.
Ni kawaida ukishazoea kutumia deodorant
 
Kwanini unatoka harufu ya kwapani? punguza kuwa na stress au mshituko, kama unajisikia kuumwa nenda hospt ukatibiwe, Harufu mwilini ni moja ya mawasiliano kwa wanadamu au wanyama kupitia pua, Kila harufu ya kwapa ina maana yake, je harufu yako inaashiria nini
 
Maji ya ukoko wa ugali.
Ukishajiandaa unataka kutoka jisugue na kipande cha limao kwapani acha yale maji maji yakauke usijifute vaa nguo yako saaaafi kabisa siku nzima utakuwa fresh...
Uwe unajisugulia baking soda unaichanganya na maji kidogo...
Hii kujisugua ni kwa muda gani au miaka yote ndo itakuwa hivyo tu
 
Back
Top Bottom