Kuna hyu dada msomali anuka miguu akivua viatu kuingia ndani hakukaliki kwa harufu kama panya ameoza.
ndo zasababisha kunuka miguu?Labda ana ugonjwa miguuni fangasi
yeah ila wengine usafi tu hamnando zasababisha kunuka miguu?
Hivi jamani nini yasababisha mtu kunuka miguu? Kuna hyu dada msomali anuka miguu akivua viatu kuingia ndani hakukaliki kwa harufu kama panya ameoza. Na mtu kama unanuka mwenyewe hujisikii au kusudi kuwapa watu karaha na ugonjwa wa mafuua. Na nini yasababisha kunuka miguu? Kuna siku nilimwambia ndugu wanuka miguu akanambia hata sinuki labda kuna kitu kimeozaa hali ya kuwa harufu yatokea viatuni mwake. Nini yasababisha miguu kunuka?