Kuna huyu dada anuka miguu akivua viatu kuingia ndani hakukaliki kwa harufu kama panya ameoza. Na mtu kama unanuka mwenyewe hujisikii au kusudi kuwapa watu karaha na ugonjwa wa mafua.
Na nini yasababisha kunuka miguu? Kuna siku nilimwambia ndugu wanuka miguu akanambia hata sinuki labda kuna kitu kimeoza hali ya kuwa harufu yatokea viatuni mwake.
Nini sababisha miguu kunuka?
Na nini yasababisha kunuka miguu? Kuna siku nilimwambia ndugu wanuka miguu akanambia hata sinuki labda kuna kitu kimeoza hali ya kuwa harufu yatokea viatuni mwake.
Nini sababisha miguu kunuka?