Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,203
- 1,422
Uende 'heaven' kufuatia uzinzi? 'Hell' ndipo panapokuhusu.Kabisa yule demu alitaka kunipeleka heaven
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uende 'heaven' kufuatia uzinzi? 'Hell' ndipo panapokuhusu.Kabisa yule demu alitaka kunipeleka heaven
Milio ilikuwa gereshaMkuu demu alikuwa anakiuno kilaini nilipiga hadi nikalala nachapa hadi mtoto anasononeka kilingala nikalala hadi asubuhi kumbe usiku alifanya uhuni kaniibia simu,laptop na faranga,pete zangu za silva zote zikaenda
arrêté le sexe ?arrêter le sexe...
KumbeUende 'heaven' kufuatia uzinzi? 'Hell' ndipo panapokuhusu.
😂😂😂😂🙊Wadada bhana[emoji1787][emoji1787] mnafikiri kwa mwanaume kamili kutulia na mwanamke mmoja ni rahisi eeeee.[emoji848][emoji848][emoji848]
Ni ngumu sana😂😂😂😂🙊
😂😂😂sawasawaNi ngumu sana
Ndo maana kila mmoja na radha yake🤣😂😂😂sawasawa
Wanaume tunapenda vitu vingi kwa mwanamke , naweza kukupendea nywele ww kwa mwingne nikapenda matege, kwa mwingne , macho ya kengeza ,kwa mwingne ngozi nyororo kwa mwingne mwanya , yani nimvurugano tu ,tofauti na apo , tunavunga tu.😂😂😂😂🙊
😳😂😂😂🙊Wanaume tunapenda vitu vingi kwa mwanamke , naweza kukupendea nywele ww kwa mwingne nikapenda matege, kwa mwingne , macho ya kengeza ,kwa mwingne ngozi nyororo kwa mwingne mwanya , yani nimvurugano tu ,tofauti na apo , tunavunga tu.
Halafu pia asosogeze kitanda mlangani ili mwanamke asiufungue😂Wenzako huwa tunaficha pesa nakila kitu cha thamani, pia hakikisha wakati unafunga mlango funguo asione unapo iweka. Tumia hii njia kamwe hutoibiwa
"Soki azali elongo na mike ,amimonaka MWASI KITOKO mwasi ya malonga" hahaAloo mademu wa congo DRC wanajua kukatikia bwana ila ni wachawi balaa hivi unapajua Kasumbalesa ?
Wewe mwezi wa kwanza mwaka huu nilipita hapo ila yaliyonikuta sisahau hadi naingia kaburini. Nilikutana na demu mzuri Mwasi kitoko kama malaika kumbe ni mchawi na tapeli.
Baada ya maelewano ya kumla tunda kimasihara nikachukua geto nikamlipa pesa tukalala fresh nikala tunda ila naamka asubuhi nakuta madola yangu kwenye pochi hayapo, nililia kama mtoto baada ya kwenda kumtafuta nilimpata lakini alinikataa na alipiga kelele kuwa namuibia mimi ni mwizi. Bahati nzuri nilikimbilia kwenye nyumba ya mama mmoja hivi ndo nilipona la sivyo ningefia Kasumbalesa
Baadae polisi walikuja na kunibeba ila nilikuja kutolewa baada ya bosi zangu kusikia nipo polisi. Ilikuwa mwaka 2023 hiyo Bolingo esalaka pasi.
Jamaa alidhani ndio anamkuna [emoji23][emoji23][emoji23]Milio ilikuwa geresha
Mkuu kisa chako kinafanana na changu pale dodoma yule dada kiukweli namshukuru hadi leo na mbaya zaidi pesa haikuwa yakwanguUmenikumbusha mbali mkuu, Kuna manzi nilomchukua one night(hatukuelewana Bei). Nilikuwa na pesa ya watu 25M kwenye begi.
Kumbe usiku nilivyolala alinikagua akaziona zile pesa Ila hakutoa hata mia. Asubuhi nikampa 50k akasema nimuongeze hela nikaanza kulialia njaa kwamba Sina kitu.
Akacheka Sana akaniambia "mkiibiwa mnaanza kulialia, kwenye begi umejaza mihela na usiku umelala Kama umekufa nimekagua mpaka na nguo nimetoa zote nje then nikarudishia. Ningeamua kuondoka si ningeenda kufungua hata biashara huko mbele kwa mbele".
Asee nilitoa jasho Kama nusu ndoo nadhani, ilibidi nimpe 300k Kama zawadi nje ya ile 50k.
Daah ni hatari sana boss. Huyu wa kwangu baada pale tulikuwa washkaji Sana akafungua biashara ya kuuza chips nikambust kimbinu nilivyohama ule mkoa tukapoteana asee.Mkuu kisa chako kinafanana na changu pale dodoma yule dada kiukweli namshukuru hadi leo na mbaya zaidi pesa haikuwa yakwangu
👍👍👍Ndo madhara ya kutohudhuria vikao vya wanaume, malaya hulali nae mpaka asubuhi unamgonga unamlipa anasepa au kama umemfata kwa danguro unaenda na chenji kamili na hubebi chochote cha thamani maana umala na wizi ni mapacha. Tunza afya yako na kibunda chako
Tusiukaribie halafu ubaki mpweke kwa kuutenga?Uasheati na uzinzi ni uchafu. Msiukaribie.
Duuh watu mnavisa ila 25m ya watu parefu mno aseeUmenikumbusha mbali mkuu, Kuna manzi nilomchukua one night(hatukuelewana Bei). Nilikuwa na pesa ya watu 25M kwenye begi.
Kumbe usiku nilivyolala alinikagua akaziona zile pesa Ila hakutoa hata mia. Asubuhi nikampa 50k akasema nimuongeze hela nikaanza kulialia njaa kwamba Sina kitu.
Akacheka Sana akaniambia "mkiibiwa mnaanza kulialia, kwenye begi umejaza mihela na usiku umelala Kama umekufa nimekagua mpaka na nguo nimetoa zote nje then nikarudishia. Ningeamua kuondoka si ningeenda kufungua hata biashara huko mbele kwa mbele".
Asee nilitoa jasho Kama nusu ndoo nadhani, ilibidi nimpe 300k Kama zawadi nje ya ile 50k.