CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?
Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.
Fikiria mara tatu.
BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪
Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu,
Bora anayenunua hizi za 2.4M.
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?
Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.
Fikiria mara tatu.
BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪
Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu,
Bora anayenunua hizi za 2.4M.