Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Pikipiki mpya miezi 16,pikipiki used miezi 10 hadi 11Lakini muda wa mkataba siku hizi sio miezi 12 tena , ni miezi 14 kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pikipiki mpya miezi 16,pikipiki used miezi 10 hadi 11Lakini muda wa mkataba siku hizi sio miezi 12 tena , ni miezi 14 kwa sasa.
Sina nguvu ya kuargue. Inflation inaathiri biashara zote sio pikipiki tu. Na sio kuwa no inflation, kuwa kila mwaka inapanda kiasi icho, hii nchi kwa mda Inflation haija varry kiivyo kuleta shida kwenye biashara ingekuwa hivyo wawekezaji wengi wangekupunguaUkikadiria inflation ya mwaka jana ilikuwa 3% ambayo siiamini kabisa naona wameishusha makusudi, hapo kama ni mwaka jana hiyo 10M imepungua laki tatu.
Baki yake ukiongeza hiyo laki nane uliyoambulia kiuhalisia ulitoka na 10,500,000 bila kuingiza gharama nyingine sijui kusafiri, kufungua akaunti na makato.
Heee! Asante kwa kunisanuaYaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?
Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.
Fikiria mara tatu.
BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪
Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Asante kwa masahihisho ndugu yangu, ni kweli kabisa ila kabla pikipiki kufika milioni mbili na laki nane ilikua ni miezi 14Pikipiki mpya miezi 16,pikipiki used miezi 10 hadi 11
Hi biashara haiko kama ulivyooandika hapaYaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?
Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.
Fikiria mara tatu.
BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪
Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Sasa mkuu nani ana-argue tena, au umejibu bila kusomaSina nguvu ya kuargue. Inflation inaathiri biashara zote sio pikipiki tu. Na sio kuwa no inflation, kuwa kila mwaka inapanda kiasi icho, hii nchi kwa mda Inflation haija varry kiivyo kuleta shida kwenye biashara ingekuwa hivyo wawekezaji wengi wangekupungua
Kwa mfano wako, wawekezaji wangelaga hasara in millions
Pikipiki kwa siku 485 ×10000 = 4,850,000/-
Kama umenunua 3,000,000
Faida 1,850,000
Toa operation cost kama zinakihusu let say 300,000/-, bado una 1,550,000/-
🗑 🚮 🗑 🚮 arguments...sina nguvu ya hiziSasa mkuu nani ana-argue tena, au umejibu bila kusoma
Hamna aliye-argue nawewe chamdeko unayependa kujiliza na kujipa umuhimu humu. Tafuta wanaokushobokea kajilize kwao uko🗑 🚮 🗑 🚮 arguments...sina nguvu ya hizi
HahaHamna aliye-argue nawewe chamdeko unayependa kujiliza na kujipa umuhimu humu. Tafuta wanaokushobokea kajilize kwao uko
Mkuu mi sijawahi fanya biashara ya bodaboda. Ila kwenye kichwa umesema ya kuwa mkataba ukiisha dereva anabaki na bodaboda, je hili lina ukweli wowote?Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?
Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.
Fikiria mara tatu.
BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪
Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Lipo hivyo halina ubishi, ndio lengo kubwa la mkataba.Mkuu mi sijawahi fanya biashara ya bodaboda. Ila kwenye kichwa umesema ya kuwa mkataba ukiisha dereva anabaki na bodaboda, je hili lina ukweli wowote?
Duh sikulijua hili mkuu.Lipo hivyo halina ubishi, ndio lengo kubwa la mkataba.
Business Idea za Wabongo hizo,Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?
Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.
Fikiria mara tatu.
BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪
Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Business Idea za Watanzania, napo myu na yeye anaona anafanya biasharaLakini muda wa mkataba siku hizi sio miezi 12 tena , ni miezi 14 kwa sasa
Hii Fomula wanaipenda sana Wanawake. Ile kukusanya 10k kila siku wanaona raha huku wamefuga makucha na Lisimu la Itel kubwaaaa!!!Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Tena anajidai sana na ofsini unamkuta Mwanaume anajidai ana Boda zake Mbili😅Business Idea za Watanzania, napo myu na yeye anaona anafanya biashara