Kununua Pikipiki 3M, kumpa Boda kwa mkataba, Baada ya Mwaka inakua yake, wewe umeingiza lak 6, ni Wehu.

Kununua Pikipiki 3M, kumpa Boda kwa mkataba, Baada ya Mwaka inakua yake, wewe umeingiza lak 6, ni Wehu.

Boda boda sio usafiri wa umma, ni shida tu ndio zimetufikisha hapa Waafrika.
 
Ukikadiria inflation ya mwaka jana ilikuwa 3% ambayo siiamini kabisa naona wameishusha makusudi, hapo kama ni mwaka jana hiyo 10M imepungua laki tatu.

Baki yake ukiongeza hiyo laki nane uliyoambulia kiuhalisia ulitoka na 10,500,000 bila kuingiza gharama nyingine sijui kusafiri, kufungua akaunti na makato.
Sina nguvu ya kuargue. Inflation inaathiri biashara zote sio pikipiki tu. Na sio kuwa no inflation, kuwa kila mwaka inapanda kiasi icho, hii nchi kwa mda Inflation haija varry kiivyo kuleta shida kwenye biashara ingekuwa hivyo wawekezaji wengi wangekupungua

Kwa mfano wako, wawekezaji wangelaga hasara in millions

Pikipiki kwa siku 485 ×10000 = 4,850,000/-
Kama umenunua 3,000,000
Faida 1,850,000
Toa operation cost kama zinakihusu let say 300,000/-, bado una 1,550,000/-
 
Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..

Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?

Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.

Fikiria mara tatu.

BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪

Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Heee! Asante kwa kunisanua
 
Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..

Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?

Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.

Fikiria mara tatu.

BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪

Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Hi biashara haiko kama ulivyooandika hapa
Mkataba ni miezi 13 hadi 16 kulingana na aina ya pikipiki
pikipiki hata ikipotea bado muhusika atailipa
Matengenezo ni juu ya dereva na kila kitu ni juu yake
Boss yeye anapokea hesabu tu
 
Sina nguvu ya kuargue. Inflation inaathiri biashara zote sio pikipiki tu. Na sio kuwa no inflation, kuwa kila mwaka inapanda kiasi icho, hii nchi kwa mda Inflation haija varry kiivyo kuleta shida kwenye biashara ingekuwa hivyo wawekezaji wengi wangekupungua

Kwa mfano wako, wawekezaji wangelaga hasara in millions

Pikipiki kwa siku 485 ×10000 = 4,850,000/-
Kama umenunua 3,000,000
Faida 1,850,000
Toa operation cost kama zinakihusu let say 300,000/-, bado una 1,550,000/-
Sasa mkuu nani ana-argue tena, au umejibu bila kusoma
 
Hamna aliye-argue nawewe chamdeko unayependa kujiliza na kujipa umuhimu humu. Tafuta wanaokushobokea kajilize kwao uko
Haha
Sawa mama mdogo.
Ukipata mada nyingine nitag tubishane kwa hoja
 
Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..

Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?

Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.

Fikiria mara tatu.

BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪

Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Mkuu mi sijawahi fanya biashara ya bodaboda. Ila kwenye kichwa umesema ya kuwa mkataba ukiisha dereva anabaki na bodaboda, je hili lina ukweli wowote?
 
Mkuu mi sijawahi fanya biashara ya bodaboda. Ila kwenye kichwa umesema ya kuwa mkataba ukiisha dereva anabaki na bodaboda, je hili lina ukweli wowote?
Lipo hivyo halina ubishi, ndio lengo kubwa la mkataba.
 
Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..

Issue sio aina ya biashara tuu, japo bado ni ya kufikiria mara mbili, Maana inamaanisha Piga Ua, faida ya Mmiliki wa boda boda(1,800) haiwezi endesha familia kwa siku, sasa jiulize wamama wangapi wauza matunda, mboga mboga, vitumbua wenye mtaji chini ya 500k wanalisha familia siku nzima?

Kuna issue nyingine kama
Marejesho ya Siku &
Muda wa mkataba.

Fikiria mara tatu.

BIG UP kwa Wanangu Boda boda mnaoshikilia kwenye Mkataba.💪💪

Simaanishi, Boda kupata 10k kwa siku ni simple sana, namaanisha muunganiko wa hivyo vitu vitatu hapo juu.
Business Idea za Wabongo hizo,
 
Yaaani Unatoa 3M,
Unaletewa 10k × 365 = 3,650,000
Faida kwa mwaka = 650,000
Faida kwa mwezi = 54,000.
Faida kwa siku = 1,800, 😂😂😂
Wagonjwa wa akili ni wengi..
Hii Fomula wanaipenda sana Wanawake. Ile kukusanya 10k kila siku wanaona raha huku wamefuga makucha na Lisimu la Itel kubwaaaa!!!

Kwa kuwa mtaji hawajatafuta wao.
 
Back
Top Bottom