Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Ntakudisqualify ukipokea hilo bundle, me nilijua anakuletea labda " difender ", tupunguze ukali wa jua tehBando sina, hebu tuma haraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakudisqualify ukipokea hilo bundle, me nilijua anakuletea labda " difender ", tupunguze ukali wa jua tehBando sina, hebu tuma haraka.
Amejikuna mkono unapofika, difenda rondo ndio anaweza akiacha ule ubahiri wake.Ntakudisqualify ukipokea hilo bundle, me nilijua anakuletea labda " difender ", tupunguze ukali wa jua teh
Hahaha wee tukomae tu huku huku, kwa RRONDO akituonea huruma sana ni mihogo pilipili bila hata maji ya kandoro, itukabe na kutuwasha tukome uroho akhuuuAmejikuna mkono unapofika, difenda rondo ndio anaweza akiacha ule ubahiri wake.
Story of my lifeWenye vichwa vyao wanapendeza sana ni style nzuri I wish,tatizo kichwa ka ngumi wacha niwaachie wenyewe
Kumbe mi ni mtu mzuri,nasifia tu.We lazima usifie aisee!
Wenye vichwa vyao wanapendeza sana ni style nzuri I wish,tatizo kichwa ka ngumi wacha niwaachie wenyewe
Si umepunguziwa gharama! Lazima usifie.Kumbe mi ni mtu mzuri,nasifia tu.
Khaa.....!!Joto nduguzanguni jotoo
Khee.....!!Khaa.....!!
Khaa.....!!
Sasa kama umenichunia mi nifanyeje? Nimejipendekeza mpaka nimechoka.We mzee mbona adimu hivyo?
Nawe umenyoa kipara??Khee.....!!
Mjuu wako hataki ninyoe[emoji17]Nawe umenyoa kipara??
Kama vipi namiliki mkasi mantashau...
Babu ntakunyoa mwenyewe. Sitaki uniaibishe ukweni.Mjuu wako hataki ninyoe[emoji17]
Ha haaa sasa babu wataka niachwe weweBabu ntakunyoa mwenyewe. Sitaki uniaibishe ukweni.
Usijali, utarudi kwangu.Ha haaa sasa babu wataka niachwe wewe
Hebu shindwa na unyong'onyeeUsijali, utarudi kwangu.