rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Sasa kama umenichunia mi nifanyeje? Nimejipendekeza mpaka nimechoka.
Njoo nikunyoe.
Za chini.
Mmmmh....za chini nasokota dread
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama umenichunia mi nifanyeje? Nimejipendekeza mpaka nimechoka.
Njoo nikunyoe.
Za chini.
Ewaaa.... afu hakuna kuziosha mpaka zibadili rangi ziwe za brown...Mmmmh....za chini nasokota dread
Ewaaa.... afu hakuna kuziosha mpaka zibadili rangi ziwe za brown...
LoooNi kweli mkuu, jana tu nimekutana na mdada kanyoa nikamuuliza mbona umenyoa na ulikua na nywele ndefu nzuri? akajibu nataka ziote upya, ila ukweli kupendeza kuliko alivyokuwa anafuga nywele mpaka nafikiria kumchukulia hatua
View attachment 322710View attachment 322711View attachment 322712View attachment 322713hakika wanawake hivi huwa wanatia wazimu mie..!
Weeee nina kichwa kizuri balaaaa had namsifu Mungu kwa uumbaji.asante Mungu wanguusije ukawa kama kibuyu!
Bajeti nzuri sana hiyo haina mawazo, #whatwouldmajaliwado#Haha bestie weaving nimeacha siku hizi ni nywele zangu tu siongezi kitu,per week 5000 tu kuosha,kwahio ni 20000 kwa mwezi,240,000 kwa mwaka teh #whatwouldmagufulido#
All the best on your wedding day love....I think ni Fashion na uamuzi wa mtu.. Wengine huenda muda hammna au hautoshi (like me ) . Binafsi I do have sensitive skin so Relaxer not my choice anymore ingawaje nilishawahi kuitumia tangu nizaliwe but sikuipenda because haipatani na skin yangu. So now I just prefer natural and I love my natural hair .. Na ningependa on my Wedding day just to go natural . Thanks..
Teh, haina mawazo kabisa#2016resolutions#Bajeti nzuri sana hiyo haina mawazo, #whatwouldmajaliwado#
Ila baadhi ya wanaume/wakaka hawajui ata wanachotaka. "Utasikia wadada wa siku hiz bhana fake fake....nywele kucha en everythng....sasa wakinyoa wawe natural kuachana na miwig n weaving zinazowakera na kunuka sometime mnahoji tena.. Khaaaa. Menishindaa
All the best on your wedding day love....
Big up my dear, it's good to appear natural sometime.Teh, haina mawazo kabisa#2016resolutions#