Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
usipokunywa utachanganyikiwa mapema....zinaburudisha mwili na kuleta furaha moyoni,,,tamu sana
Hivi kumbe si kweli?jipe moyo kwa kujidanganya
sema faida zake wewe hapORaha ya Pombe muulize Chrispin atakwambia.
Jaribu uone utaona faida yake.
and thats my honest big Pako!!!Hivi kumbe si kweli?
Mi nikinywa pombe huwa nakuwa tajiri kwa muda. Nasahau kama kuna kufa, watu wote nawaona maskini isipokuwa mimi. Matatizo yote huisha. Sijawahi kuona hasara ya pombe kwa kweli. Mpaka sasa sijaona.
Faida za pombe
1-Kuahirisha matatizo
2-Ngono zembe
3.............
Afya jingi (mashavu hiha).
Nna bro wangu anakata ulabu kwa kwenda mbele. Jamaa ngano imemfanya kapasuka mwili kinoma....
Nimekuwa najiuliza hivi pombe pamoja na kukatazwa na imani tofauti tofauti, Madaktari kuwazuia baadhi ya wagonjwa, na watu wengi kupewa ushauri waache pombe.
Lakini cha ajabu pombe inazidi kunyweka sana sana, pita mabarabarani utakuta bar zimeongozana na zimejaa watu mno wakinywa!, Kuna pombe za kila aina kuanzia za kizungu, za kichina, za kiarabu, za kiafrika( kama vile Denge, Chimpumu, Ngedule, Choya, Gongo n.k) n.k..
Hivi kweli jamani watu woote hawa wanao kunywa hizi pombe wanatumia kitu kisicho na faida???? Noo... naamini huenda zikawepo...
Faida ya pombe ninini?
Kunywa pombe si tatizo hata kidogo, ni faida kama utakunywa ya kutosha na kwa wakati muafaka... tatizo liko kwenye ulevi hapo sasa ndio kuna matatizo mengi mengi na ya ajabu. lkn kunywa pombe kiasi inasaidia kuburudisha mwili, inasaidia kupata mda wa kujumuika pamoja kwa ndugu na jamaa, inasaidia kukata mzizi wa fitina kwa wale waliokuwa wamekosana kule kijijini mtu akikosea anapewa faini ya kununua debe la pombe na watakunywa wazee pamoja na mkosaji na mwisho wa siku jamaa anakuwa kasemehewa.... so tupige vita ulevi na si pombe kama ambavyo pia inatakiwa tupige vita ulafi mbona ulafi watu hamsemi wakati nayo ni dhambi na ina madhara kama kuwa na kitambi na kushindwa kumtimizia haja mama nyumbani,
Nimekuwa najiuliza hivi pombe pamoja na kukatazwa na imani tofauti tofauti, Madaktari kuwazuia baadhi ya wagonjwa, na watu wengi kupewa ushauri waache pombe.
Lakini cha ajabu pombe inazidi kunyweka sana sana, pita mabarabarani utakuta bar zimeongozana na zimejaa watu mno wakinywa!, Kuna pombe za kila aina kuanzia za kizungu, za kichina, za kiarabu, za kiafrika( kama vile Denge, Chimpumu, Ngedule, Choya, Gongo n.k) n.k..
Hivi kweli jamani watu woote hawa wanao kunywa hizi pombe wanatumia kitu kisicho na faida???? Noo... naamini huenda zikawepo...
Faida ya pombe ninini?
Hahaaaaaa,kupasuka mwili kinoma na kuwa na shavu hiha ni afya!!!!!!...haya bana,we jifariji tu
Kwangu mimi Pombe haina faida(kwa mtu) bana,ina hasara(inakuletea umasikini,ngono zembe,ujasiri wa kijinga unaoweza pelekea upigane/upigwe au kufanya uhalifu wowote ule,magonjwa kama kisukari na matatizo ya ini(gongo)
Sanasana pombe ina faida kwa serikali tu maana inapata kodi nyingi kutoka makampuni yanayotengeneza vilevi...Ni mtizamo tu