Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Nimekuwa najiuliza hivi pombe pamoja na kukatazwa na imani tofauti tofauti, Madaktari kuwazuia baadhi ya wagonjwa, na watu wengi kupewa ushauri waache pombe.
Lakini cha ajabu pombe inazidi kunyweka sana sana, pita mabarabarani utakuta bar zimeongozana na zimejaa watu mno wakinywa!, Kuna pombe za kila aina kuanzia za kizungu, za kichina, za kiarabu, za kiafrika( kama vile Denge, Chimpumu, Ngedule, Choya, Gongo n.k) n.k..
Hivi kweli jamani watu woote hawa wanao kunywa hizi pombe wanatumia kitu kisicho na faida???? Noo... naamini huenda zikawepo...
Faida ya pombe ninini?
Lakini cha ajabu pombe inazidi kunyweka sana sana, pita mabarabarani utakuta bar zimeongozana na zimejaa watu mno wakinywa!, Kuna pombe za kila aina kuanzia za kizungu, za kichina, za kiarabu, za kiafrika( kama vile Denge, Chimpumu, Ngedule, Choya, Gongo n.k) n.k..
Hivi kweli jamani watu woote hawa wanao kunywa hizi pombe wanatumia kitu kisicho na faida???? Noo... naamini huenda zikawepo...
Faida ya pombe ninini?