Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Unamawazo ya kitoto sana. WEWE ni bikra au umeshatolewa maungo youte?


Mwanaume hajawahi kuwa bikra na hatawahi kuwa na sifa hiyo.
Endelea kujifariji hapo na mawazo yako ya kiutu uzima.

Kama umeoa amabye si bikra ndugu yangu pole sana. Lazma awe anagawa tuu. Hiyo ndio kanuni.
 
Mxiuuu hayo n mawazo yako wengine zilitoka bila kutarajia

Sent using Jamii Forums mobile app


Pole sana,
Kama haikutolewa na mtu zaidi ya mume wako basi hii post haikuhusu. lakini kama ni tofauti na hivyo, nampa pole shemeji kwa kubeba kitu cha mtumba ambacho moja ya sifa yake ni cheap.
 
Mkuu umetisha sana.
Hii yote inaonyesha ulegevu wa sisi wanaume nenda huko uhindini, na uarabuni ukajionee bikra za kumwaga.
Hii inaashiria msimamo wa wanaume dhidi ya wanawake katika jamii hizi.

Hawa wakwetu tunawaendekeza tuu.
Nikweli kuendekeza na ulegevu wetu sisi wanaume na Ujinga wetu wenyewe

Haiingii akilin, leo unamla dem x , kesho Y ..ilihal unajua hutowaoa,,.wanaenda kua wake wasokua nabikra kwa Mwenzako.

Hii kitu inakuja kukulipa naww...demu anayeliwa namchizi ..kesho ndo atakua mkeo.

Lkn pia,, wanawake wakileo kazi yao nikutoa miili kama sehem ya kishika uchumba wakizan hiyo ndo assuarance ya ndoa.

Lkn kubwaaaaaa nikwamba Watu wakiambiwa ukweli wananuna !!

Basi tuendelee kupeana Raha tu[emoji23]
 


Shida watu hawapendi ukweli.

Haijalishi wewe ni kiongozi wa dini, nchi au unapesa kiasi gani. Huwezi kuwa upo vizuri kiakili, kiroho, kimwili na kihisia ukashinda kuelewa thamani ya mwanamke bikra katika uaminifu wa ndoa
 
Mwanaume hajawahi kuwa bikra na hatawahi kuwa na sifa hiyo.
Endelea kujifariji hapo na mawazo yako ya kiutu uzima.

Kama umeoa amabye si bikra ndugu yangu pole sana. Lazma awe anagawa tuu. Hiyo ndio kanuni.

Unamaanisha nini unaposema bikra?
 


Nakuambiaje, kama wanaume wakisema hatuoi mwanamke asiye na bikra amini usiamini hakuna mwanamke mrahisi kuachia kipochi manyoya chake. Wanawake wanapenda ndoa. Shida ni kuwa wanaume tumekubali kutumia vitu vya mitumba. Binafsi hilo halitatokea katika ndoa yangu. Nimelisimamia na sasa nimefanikiwa 90%
 
Mkuu umetisha sana.
Hii yote inaonyesha ulegevu wa sisi wanaume nenda huko uhindini, na uarabuni ukajionee bikra za kumwaga.
Hii inaashiria msimamo wa wanaume dhidi ya wanawake katika jamii hizi.

Hawa wakwetu tunawaendekeza tuu.
Inasemekana hao huwa wanatumia mlango wa uani ili kulinda lango kuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naunga mkono hoja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…