Kuoa mke aliesoma chuo huku akiendelea kuomba ajira ni mtihani, umejipangaje siku akipata ajira nje ya mkoa??

Kuoa mke aliesoma chuo huku akiendelea kuomba ajira ni mtihani, umejipangaje siku akipata ajira nje ya mkoa??

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kuwaoa hawa wanawake waliomaliza vyuo katika taaluma mbali mbali kunaweza kuleta mabadiliko ndani ya ndoa mda wowote ikija tokea wameomba kazi hasa hizi za serikalini na wakaitwa rasmi waanze kazi, na kiukweli hawa wahitimu wa vyuo huwa wana mzuka sana na hizi ajira lazima ataenda tu kuripoti kazini, hawezi chezea hio nafasi.

Ikija kutokea hivi umejiandaaje ?

Kwa waislam najua unaweza ongeza mke ila huku kwengine sasa changamoto zinazidi.
 
Kuna mabinti kibao wanamaliza degree, diploma mpaka masters wapo mtaani huku wakiendelea kuomba ajira maana vigezo wanavyo.

Kuwaoa hawa wanawake kunaweza kuleta mabadiliko ndani ya ndoa mda wowote ikija tokea wame apoly kazi hasa hizi za serikalini na wakaitwa rasmi waanze kazi, na kiukweli hawa wahitimu wa vyuo huwa wana hamu sana na hizi ajira ni kazi sana uhakika ni kwamba ataenda tu hasa kwa akili za wahitimu wengi huona ajira ni bora kuzidi hata mtaji mkubwa.

Ikija kutokea hivi umejiandaaje ?

Kwa waislam najua anaweza ongeza mke ila huku kwengine sasa changamoto zinazidi.
Fimbo ya mbali haiuagi nyoka kamwe.

Jiandae vizuri kiakili kuchapiwa wakati huo anayemkula Shemeji yetu atakuwa akimpiga makofi kwenye mat@*o yake akimwambia "litukane Jamaa lililokuleta huku uliwe na wajanja kama mimi kuwa ni Bwege" [emoji847]
 
Kuwaoa hawa wanawake waliomaliza vyuo katika taaluma mbali mbali kunaweza kuleta mabadiliko ndani ya ndoa mda wowote ikija tokea wameomba kazi hasa hizi za serikalini na wakaitwa rasmi waanze kazi, na kiukweli hawa wahitimu wa vyuo huwa wana mzuka sana na hizi ajira lazima ataenda tu kuripoti kazini, hawezi chezea hio nafasi.

Ikija kutokea hivi umejiandaaje ?

Kwa waislam najua unaweza ongeza mke ila huku kwengine sasa changamoto zinazidi.
Usioe kazi ndugu, oa Mke Mwema ambaye ni Mcha Mungu, sababu atakuwa na muda wa kulea Watoto ktk njia sahihi kimaadili na pia atakuwa anaupiga mwingi ktk ushauri na uhasibu juu ya maisha yako ya sasa na baadaye kimaendeleo.
 
Fimbo ya mbali haiuagi nyoka kamwe.

Jiandae vizuri kiakili kuchapiwa wakati huo anayemkula Shemeji yetu atakuwa akimpiga makofi kwenye mat@*o yake akimwambia "litukane Jamaa lililokuleta huku uliwe na wajanja kama mimi kuwa ni Bwege" [emoji847]
kiufupi mahusiano yana mitihani mizito sana
 
Hivi kabla hujaoa ulikuwa unatomba nani acha ujinga eti ni mtihani kadanganye nasarry vile vitoto vidogo acha kutuzingua inamaana yeye ndio wakwanza na wamwisho.
 
Akipata ajira au akienda mkoani,
Wengi watahofia suala la kuchapiwa,
Ila nikuhakikishie mtoa mada, uko kazini
Mkeo Anaweza hata asigongwe akijitunza,

Ila jiandae sana kisaikolilojia ndoa kutetereka sana kama sio kuvunjika kabisa kwa ishu tofauti kabisa na kuchepuka

Vitu Kama heshima,mamlaka na utii juu yako vitahamia kwa boss wake/kazi yake.

Hapa ndo utaanza kuona kiburi,jeuri,dharau mambo Kama hayo.

Usipokubaliana nayo,
Mtaanza mivutano ya kila Mara,
Mkeo ataomba talaka Maana uwezo wa kuishi bila wewe anao kwasababu ana kipato.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mwanamke ni rahisi kuhama mnaweza kuvumilia kwa miaka 2 au 3 akiwa mbali then mnafanya utaratibu wa uhamisho
 
Kuna jamaaa Ana wake 2.
Mke mkubwa ni mwalimu mkuu, kabla ya kumuoa huyu mke wa pili binti alikuwa ndo tumemaliza tu chuo, (Hana ajira).
Mungu si athumani mke wa pili nae baada ya miezi 8 ya kumaliza chuo kaajiriwa Tena kapelekwa mkoa tofauti na mumewe.
Sasa hivi jamaa wake zake wote hakai nao kila mmoja yupo mbali.
Namhurumia sana yule kaka.
 
Kuna Dada namfaham kabeba mimba ya jamaa mwengine, bidada yupo mkoan kikaz takliban mwaka sasa na mumewe hajui Kama mke wake u tayali mjamzito DAAH

Alooh wanaume wenzangu usikubal mkeo akafanye Kaz mbal na wewe.
 
Kuna jamaaa Ana wake 2.
Mke mkubwa ni mwalimu mkuu, kabla ya kumuoa huyu mke wa pili binti alikuwa ndo tumemaliza tu chuo, (Hana ajira).
Mungu si athumani mke wa pili nae baada ya miezi 8 ya kumaliza chuo kaajiriwa Tena kapelekwa mkoa tofauti na mumewe.
Sasa hivi jamaa wake zake wote hakai nao kila mmoja yupo mbali.
Namhurumia sana yule kaka.
Kama ni wa Singinda na mk wake aliajiriwa mkoa wa Kagera basi huyo mke wake kuna mfanyakazi mwenzake nampelekea moto kama mke wake

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom