usipende kulelewa ndugu pambana, fanya kazi.....ila usisahau kuwa kinachokufurahisha wewe mwingine kinaweza kikamliza....muombe MUNGU yasikukute
Nani kakwambia kwamba ukiwa n mwanamke alekuzd umri ni unalelewa n unakuwa hufanyi kaz? Wacha fikra potofu, kam hvyo ndivyo akili yako inavokutuma bs pole sana mukuu....
Nna shaka n upeo wako wa kufikiri ktk swala kam ili n hatimae unapelekea upotoshaji usokuwa n tija! Kwa mara nyngine nakupa pole sana.... Kam ww huwez kuwa ktk hali kam hii mukuu its betta you stay quite away 4rm this instead of kuropoka mukuu...
Bnafs (30) naish n mwanamke mwenye miaka 42 kwa sasa n soon tunapata mtoto wa pili, ana kibarua chake the same to me.... Wote tunapambana kusaka mkate tho changamoto ktk maisha kiujumla zpo ila ni za kawaida munoo mukuu!
In brief, naenjoy sana n uyu mwanamke coz sote tu wawazi kwa kila m1, uhuru upo, ni kiongoz mzur kwangu nae pia angali akiniheshimu ktk yote.... Amenifanya niitwe baba, n mengine mengi tu mazur mukuu tho mabaya yapo pia n ni kwa wote... bt ni mistakes za kawaida ambazo kibinaadam zpo, n hakuna mkamilif dunian....
So, Yaan naendana nae munooo!
Thus please, usipotoshee umma kwa izo kauli zako, chunga sana mukuu.... Kam ww yalikushinda its betta you stay quite out of this, n kam hutojali ukahitaji waweza jifunza kwa walofanikiwa,
pole kwa mara ya 3 [emoji4]
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app