Kuoa mwanamke anayekuzid umri ni raha sana

Kuoa mwanamke anayekuzid umri ni raha sana

Nani kakwambia kwamba ukiwa n mwanamke alekuzd umri ni unalelewa n unakuwa hufanyi kaz? Wacha fikra potofu, kam hvyo ndivyo akili yako inavokutuma bs pole sana mukuu....

Nna shaka n upeo wako wa kufikiri ktk swala kam ili n hatimae unapelekea upotoshaji usokuwa n tija! Kwa mara nyngine nakupa pole sana.... Kam ww huwez kuwa ktk hali kam hii mukuu its betta you stay quite away 4rm this instead of kuropoka mukuu...

Bnafs (30) naish n mwanamke mwenye miaka 42 kwa sasa n soon tunapata mtoto wa pili, ana kibarua chake the same to me.... Wote tunapambana kusaka mkate tho changamoto ktk maisha kiujumla zpo ila ni za kawaida munoo mukuu!

In brief, naenjoy sana n uyu mwanamke coz sote tu wawazi kwa kila m1, uhuru upo, ni kiongoz mzur kwangu nae pia angali akiniheshimu ktk yote.... Amenifanya niitwe baba, n mengine mengi tu mazur mukuu tho mabaya yapo pia n ni kwa wote... bt ni mistakes za kawaida ambazo kibinaadam zpo, n hakuna mkamilif dunian....
So, Yaan naendana nae munooo!

Thus please, usipotoshee umma kwa izo kauli zako, chunga sana mukuu.... Kam ww yalikushinda its betta you stay quite out of this, n kam hutojali ukahitaji waweza jifunza kwa walofanikiwa,

pole kwa mara ya 3 [emoji4]

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Mkuu kuna watu sijui hawajielewi wao wanadhan kuwa na mwanamke mwenye umri mkubwa ndo kulelewa hawajui hata wachangie kitu gan zaid ya kashifa
 
Haya maisha mukuu ckuiz no complications at al.... We just use to hit str8 on the main key point.... and that is "maridhiano" baina ya pande zte, ivo tu bs....

Ila sasa watu n kauli zao, kichefu chefu samtymz! Coz ni kukatishana tamaa pacpo n mcng wwte, cjui hawapend kuona wenzao wanafanikiwa au vp....
Midomo yetu hii waqt mwngne.... dohhh

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
hahaha
ukiwa una waangalia walimwengu, mkubwa hauta fika, ukiona huyo sista kakukubali mwenyewe nyie endeleni na maisha
anasemwa Raia, sembuse siye watu tuu!
we endelea tuu
 
huyu kwa kazi anayofanya na akili yake ilivyo demu mwenye akili timamu asingemkubali...., acha achukuliwe yeye tu....
Mkuu mbona unakisoe adabu kaz yangu kaz ip na akili zangu ni akili gan hebu nambie au unanitafutia ban
 
Unapenda kulelewa siyo?
Ungekuwa ulishajizalia watoto idadi uitakayo, halafu uangukie penzi la jimama nisingekulaumu.
Pia kibaiolojia inaeleza kabisa kwamba mwanamke kwenye masuala ya uzazi ni nini hutokea kwenye mfumo wake wa uzazi akiishafikisha umri wa miaka 47-57. Kwa mwanaume mwenye malengo ya uzazi na kujenga familia yenye malengo, ni ujuha kuoa mwanamke aliyekuzidi umri hata wa mwaka m1.
Chukulia wewe 24, af'yeye 34, tofauti 10.
Atakapofikisha miaka 47 ya "ukomo" wa mambo ya kinamama, wewe utakuwa na 34 kijana mbichi.
Akiishafikia "ukomo" atakataa na kuyachukia "mambo" yako yote, wakati wewe bado "kinda" na bado "unadai"
Utakubaliana "kupadrishwa" ama "utatoka"?
Sasa adha yote ya nini wakati uwezo wa chaguo sahihi unao? Ama unaongelea hawara yako?
Halafu ulianzaje kumtongoza mama yako mdogo, au uliunganishiwa?
Maana lazima uanze na shikamoo, halafu sijui ninashida mama!
Akikuuliza shida gani, hapo unajitoa ufahamu unajibu.nna....higk..higk...nnaku....kupenda.
Anakuuliza, hivi we mtoto usiye adabu umethubutuje kuntamkia maneno hayo wakati unaelewa kabisa nina watoto zangu size yako wanaokufaa kuoa, umewaza nini lkn?
Unamjibu nini.
Ebw eeh nisikukandamize sana, saazingine kinamama wa kileo ndiyo zao kutafuta watoto wadogo kwa ajili ya kuwalea. Uamzi ni wako, maisha ni yako pia.
Umetisha kula [emoji109] .

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
usipende kulelewa ndugu pambana, fanya kazi.....ila usisahau kuwa kinachokufurahisha wewe mwingine kinaweza kikamliza....muombe MUNGU yasikukute
Sidhan kama jamaa amemention KITONGA hebu rudia kusoma,yeye ametoa sifa za wanawake waliomzidi umri na moja wapo kasema wanauwezo wa kulala na njaa.
But hajasema wanalea kifedha,HEBU SOMA TENA [emoji118][emoji117][emoji115]
 
Mpende tu wala sio jimama mambo haya yalianza enzi hizo mapenzi sio umri mtume na bi Hadija

sent from vote for Magufuli 2020
Balikiwa sana kumbe had mtume wa mwenyez mungu naye alifanya kama mimi sasa mbona hawa wanadamu wananisimanga sana utazan nimevunja sheria za nchi
 
Unapenda kulelewa siyo?
Ungekuwa ulishajizalia watoto idadi uitakayo, halafu uangukie penzi la jimama nisingekulaumu.
Pia kibaiolojia inaeleza kabisa kwamba mwanamke kwenye masuala ya uzazi ni nini hutokea kwenye mfumo wake wa uzazi akiishafikisha umri wa miaka 47-57. Kwa mwanaume mwenye malengo ya uzazi na kujenga familia yenye malengo, ni ujuha kuoa mwanamke aliyekuzidi umri hata wa mwaka m1.
Chukulia wewe 24, af'yeye 34, tofauti 10.
Atakapofikisha miaka 47 ya "ukomo" wa mambo ya kinamama, wewe utakuwa na 34 kijana mbichi.
Akiishafikia "ukomo" atakataa na kuyachukia "mambo" yako yote, wakati wewe bado "kinda" na bado "unadai"
Utakubaliana "kupadrishwa" ama "utatoka"?
Sasa adha yote ya nini wakati uwezo wa chaguo sahihi unao? Ama unaongelea hawara yako?
Halafu ulianzaje kumtongoza mama yako mdogo, au uliunganishiwa?
Maana lazima uanze na shikamoo, halafu sijui ninashida mama!
Akikuuliza shida gani, hapo unajitoa ufahamu unajibu.nna....higk..higk...nnaku....kupenda.
Anakuuliza, hivi we mtoto usiye adabu umethubutuje kuntamkia maneno hayo wakati unaelewa kabisa nina watoto zangu size yako wanaokufaa kuoa, umewaza nini lkn?
Unamjibu nini.
Ebw eeh nisikukandamize sana, saazingine kinamama wa kileo ndiyo zao kutafuta watoto wadogo kwa ajili ya kuwalea. Uamzi ni wako, maisha ni yako pia.
Mkuu umeandika vitu vingi na vizur sana pia unaonesha woga flan wa kuanza kutongoza wadada wakubwa labda tu nikwambie mapenz ni upepo na hisia kwahiyo nami huyo ndo upepo ulivuma kuelekea kwake na hisia zikawa juu yake

Kuhusu swala la watoto mimi nina mtoto mmoja wa nje naye pia ana mtoto mmoja wa nje ana kama miaka 6 hiv lakin saiv pia ana mimba yangu mwez wa kumi na mbili atajifungua

Kwahiyo usiogope pia mimi sijaolewa mimi ndo nimemuoa
 
Mkuu umeandika vitu vingi na vizur sana pia unaonesha woga flan wa kuanza kutongoza wadada wakubwa labda tu nikwambie mapenz ni upepo na hisia kwahiyo nami huyo ndo upepo ulivuma kuelekea kwake na hisia zikawa juu yake

Kuhusu swala la watoto mimi nina mtoto mmoja wa nje naye pia ana mtoto mmoja wa nje ana kama miaka 6 hiv lakin saiv pia ana mimba yangu mwez wa kumi na mbili atajifungua

Kwahiyo usiogope pia mimi sijaolewa mimi ndo nimemuoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee naona counter attack
IMG_20170709_211146.jpg


May Allah bless Me and You
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habali hapo juu

Katika raha kubwa ambazo shawahi kukutana nazo ni pamoja na hii ya kuoa mwana mke anayenizid miaka yaan ni raha sana masela wangu

Kwanza anajiendesha mwenyewe pasipo shulut
Anajua unataka nini kwq wakati gan
Pia anajua huu mda ni wa nini
Pia wanajua kutuliza ile mbaaya
Pia wanajua kupenda ile mbaya
Pia wanaridhika hata njaa wanalaa
Pia hawana tamaa kabisa hata kidogo
Mda wa kupeana mautamu utapenda mwenyewe yaan ni furaha iliyozid utamu

Mimi saiv sitaki dogo dogo wenzangu nakomaa na jimaa langu ingawa na miaka 24 na lenyewe liko kwenye 30 na zaid huko

Wadogo wanasumbua sana kwaherin nishawapa mkono wa kher

LONDON BABY
Ila usioe aliyemzidi mzazi wako umri! Yani mama mzazi ndio anampa shikamoo mkamwana loh[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Ladies gets old faster than men....
So expect to marry another woman soon...
Nature of human being.. Even when u refer from holy words old men marry young women.
Uwezi kupingana na nature mkuu
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habali hapo juu

Katika raha kubwa ambazo shawahi kukutana nazo ni pamoja na hii ya kuoa mwana mke anayenizid miaka yaan ni raha sana masela wangu

Kwanza anajiendesha mwenyewe pasipo shulut
Anajua unataka nini kwq wakati gan
Pia anajua huu mda ni wa nini
Pia wanajua kutuliza ile mbaaya
Pia wanajua kupenda ile mbaya
Pia wanaridhika hata njaa wanalaa
Pia hawana tamaa kabisa hata kidogo
Mda wa kupeana mautamu utapenda mwenyewe yaan ni furaha iliyozid utamu

Mimi saiv sitaki dogo dogo wenzangu nakomaa na jimaa langu ingawa na miaka 24 na lenyewe liko kwenye 30 na zaid huko

Wadogo wanasumbua sana kwaherin nishawapa mkono wa kher

LONDON BABY

Ukija kupata kubwa jinga pia Usisahau kuleta mrejesho kwa wana bodi
 
Back
Top Bottom