Kuoa mwanamke masikini

Kuoa mwanamke masikini

Ukijaribu kutumia akili. Utaogopa kumuoa maskini.

Ndoa ni muunganiko wa familia.

Ndoa humuoi mtu mmoja bali ni familia nzima yake wanakuwa ndugu zako.

Maskini wengi ni wavivu na wana amini sana ushirikina na miujiza.. hatari sana kuwa na ndugu wenye tabia hizi.

Pia watoto utakaowazaa watakuwa na wajomba, mama wadogo na wakubwa maskini pia.

Sizani kama ni sahihi kuwatafutia watoto wako ndugu wapya maskini

Mnabaki wote kwenye familia hamna mwenye connection, hamna mwenye hela, hamna staa, yaani ni shida kwa kwenda mbele, Me naona suluhisho sio kulikimbia changamoto, ni namna gani tutakabiliana nalo. Japo hakuna kazi ngumu kama kumuuelimisha maskini maana ushamkolea, ule ugonjwa ni mbaya sana wakuu. Namna sahihi zaidi ni kuwaelimisha watoto, huko kwa ndugu, na jamaa tuwape uelewa watoto.
 
Anayetakiwa kuwa tajiri wa mali ni mwanaume, mwanamke akishakuwa pisi kali huo ni utajiri tosha.
U-pisi kali ni wa kitambo kidogo tu!! na baada ya hapo maisha inabidi yaendelee!! Kwenye kuoa inabidi kuangalia mbele sana!
 
Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.

Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
ndo maana ukikutana na binti wa kizungu utasikia, namhitaji mwanaume mwenye kazi nzuri, mwenye nyumba na anampenda mama'ake.
In Tanzania we become unaeducated after eduction.
Hoja yangu. Kwenye suala la umaskini me naona kama uhusika wa wanawake ni kwa kiasi kidogo sana, sisi ndo tunawahitaji watupe maburudani, na watuzalie watoto, ni kweli tunawahitaji mama bora na ambaye ana akili timamu, Wao wakijiheshimu wanaweza wakawa walimu bora wa vizazi vya koo zetu sisi wanaume.Wanaume wote tungefanya kazi bidii, umasikini ungetoweka duniani.Women are always there just like flowers.
 
Uchumi ndio umetufikisha hapa… watu tunaonana mizigo….

Ukweli ni kwamba japokua Una hela sasa hivi mtoa mada ulikulia tabu au ushawahi ku struggle na pesa ujanani, kuna kipindi ulikua uncertain na uchumi wako, that’s why Unaona uwe na uhusiano na mwanamke anaye offer security, pole sana insecurities zako zitakuletea mahusiano yasio na furaha au utabaki mwenyewe baada ya mahusiano kuvunjika, leo Unaoa mwanamke ana kazi/biashara nzuri akifukuzwa kazini, biashara ikifa ndoa inakufa!!! Ni chaguo lako lakini
Hayo ya baadaye ni ajali na inaeleweka na inavumilika. Lakini siyo kubeba mzigo from day 1, kaaaa!!!
 
Hii ni kwa wale tuliotokea familia za kawaida na tuna wanaume middle class tu sio matajiri.....
Aisee mwanamke mwenye watoto unawezaje kuenjoy maisha ya ndoa huku ukijua mumeo asipokuwepo huwezi fikia hata 50% ya maisha anayohudumia?
Pesa yangu iombwe isiombwe ila for as long as najua nna kipato changu binafsi ambacho kinaweza sitiri familia kichwa wa nyumba akipata changamoto (not necessarily death) basi hata majukumu ya kifamilia yanakua smooth.

Ewe mwanaume ambae ndo kwanza unatafuta maisha, ukiwa na mwanamke ambae chumvi mpaka akusubiri, kikoba mpaka abane hela ya matumizi utachelewa sana.

Maisha ya sasa hivi, baba pambania mambo makubwa makubwa kama ujenzi, family investments, bima za afya....
Mambo madogo madogo mama amalize kama unaona a too well off woman will hurt your ego.
Unakunywa soda gani?
 
Back
Top Bottom