Daz911
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 742
- 1,238
Tunakula hadi mifupa🤣Ni sahihi.
Ila wenyewe wanakwambia; kama we humtaki tuachie sisi, sijui nini nini nini sisi ndo mafisi 😂 nilisikia tu kwenye wimbo 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakula hadi mifupa🤣Ni sahihi.
Ila wenyewe wanakwambia; kama we humtaki tuachie sisi, sijui nini nini nini sisi ndo mafisi 😂 nilisikia tu kwenye wimbo 🤣
Got you man, muhimu umakini [emoji106]Bro ukiwa unajihami sana ndo maumivu huwa makubwa.Kikubwa mpende tu ila kwenye akili weka lolote linaweza kutokea kwahiyo ukishaandaa akili yako kwa lolote haina tatizo mbona.
Ukijaribu kutumia akili. Utaogopa kumuoa maskini.
Ndoa ni muunganiko wa familia.
Ndoa humuoi mtu mmoja bali ni familia nzima yake wanakuwa ndugu zako.
Maskini wengi ni wavivu na wana amini sana ushirikina na miujiza.. hatari sana kuwa na ndugu wenye tabia hizi.
Pia watoto utakaowazaa watakuwa na wajomba, mama wadogo na wakubwa maskini pia.
Sizani kama ni sahihi kuwatafutia watoto wako ndugu wapya maskini
U-pisi kali ni wa kitambo kidogo tu!! na baada ya hapo maisha inabidi yaendelee!! Kwenye kuoa inabidi kuangalia mbele sana!Anayetakiwa kuwa tajiri wa mali ni mwanaume, mwanamke akishakuwa pisi kali huo ni utajiri tosha.
ndo maana ukikutana na binti wa kizungu utasikia, namhitaji mwanaume mwenye kazi nzuri, mwenye nyumba na anampenda mama'ake.Wakuu hii ishu ya kumuowa mwanamke masikini asiekuwa na kila kitu mnaichukuliaje, kuna wanaume wengine kama mimi kigezo cha sura na tako wala sikipi uzito.
Mimi ni mpambanaji na kiuchumi walau niko vizuri inakuwaje nioe mwanamke masikini? yaani siku anakuja kwangu anakuja na kabegi kake ka nguo tu.
Hayo ya baadaye ni ajali na inaeleweka na inavumilika. Lakini siyo kubeba mzigo from day 1, kaaaa!!!Uchumi ndio umetufikisha hapa… watu tunaonana mizigo….
Ukweli ni kwamba japokua Una hela sasa hivi mtoa mada ulikulia tabu au ushawahi ku struggle na pesa ujanani, kuna kipindi ulikua uncertain na uchumi wako, that’s why Unaona uwe na uhusiano na mwanamke anaye offer security, pole sana insecurities zako zitakuletea mahusiano yasio na furaha au utabaki mwenyewe baada ya mahusiano kuvunjika, leo Unaoa mwanamke ana kazi/biashara nzuri akifukuzwa kazini, biashara ikifa ndoa inakufa!!! Ni chaguo lako lakini
Sasa nani abebe huo mzigo wa chawote!! Kila mtu atajua paja la mkeo likoje!!Unakutana na toto la namna hii, hana kazi; utakuwa na ujasiri wa kumkataa..
View attachment 2707569
Unakunywa soda gani?Hii ni kwa wale tuliotokea familia za kawaida na tuna wanaume middle class tu sio matajiri.....
Aisee mwanamke mwenye watoto unawezaje kuenjoy maisha ya ndoa huku ukijua mumeo asipokuwepo huwezi fikia hata 50% ya maisha anayohudumia?
Pesa yangu iombwe isiombwe ila for as long as najua nna kipato changu binafsi ambacho kinaweza sitiri familia kichwa wa nyumba akipata changamoto (not necessarily death) basi hata majukumu ya kifamilia yanakua smooth.
Ewe mwanaume ambae ndo kwanza unatafuta maisha, ukiwa na mwanamke ambae chumvi mpaka akusubiri, kikoba mpaka abane hela ya matumizi utachelewa sana.
Maisha ya sasa hivi, baba pambania mambo makubwa makubwa kama ujenzi, family investments, bima za afya....
Mambo madogo madogo mama amalize kama unaona a too well off woman will hurt your ego.
Unajua chakula unachokula kwenye sahani ya udongo ni tofauti na chakula utakachokilia kwenye sahani ya plastikiSasa nani abebe huo mzigo wa chawote!! Kila mtu atajua paja la mkeo likoje!!
Ukwel mchunguMwanamke atakuheshimu tu na kuwa na nidham kwako na jamaa Yako iwapo tu utamzidi kipato.
KILA siku mnalaumu feminist. Ni serial killers au?Mkuu hapo umeongea point sana. Shida Christian inapotoshwa Sana na wamagharibi Feminists Sana..!
Mungu gani yupo horniness ya hot blooded malesInaruhusu wanawake wanaingia nusu uchi kanisani halafu wanawambia Mungu haangalii mavazi
sijakuelewa !Mungu gani yupo horniness ya hot blooded males