Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
hatari sanaUnaweza kuoa ukiwa mzima huna disabillity ukapata na watoto. Ulemavu ukija mke na watoto woooote wakakukimbia kwa sababu ya ulemavu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari sanaUnaweza kuoa ukiwa mzima huna disabillity ukapata na watoto. Ulemavu ukija mke na watoto woooote wakakukimbia kwa sababu ya ulemavu wako
Fanya chaguo sahihi kwa kumshilikisha Mungu na utakuwa na ndoa yenye furaha na amani ya moyo.
Bila ndoa unakuwa mpweke aisee kuna raha sana unapokuwa na mtu ambae si ndugu anayekujali kwa mapenzi yake tu kwako ambae anapata waswas ukiumwa au ukiwa ktk hatari.
Mnaendekeza sana ngonokama ukizidiwa kwa nyege tu anakubania unafikiri ukizidiwa kwa ugonjwa atajari?
Ugua ukichaa au kuwa mlemavu ndo utagundua huna ndugu. Wanafika mahali wana choka. Mkeo kama alikupenda hakuchoki hata ujinyee kitandani.Shida gani mfano ambayo unaweza kuipata ndugu wa damu wakakukimbia lakini mke akawa na wewe?
Mkuu wenzako wanawapigania kwa uvumba watoto wewe unasema hutaki watoto.Mim kuoa napenda,ila sipend kuwa na watoto.
Nikpata mwanamke mwenye wazo kama langu,mzuri,naoa
Acha kuendekeza negative thoughts, utajipa pressure bila sababu.Uko sahihi na sikulaumu kama bado umdogo. Je kama hao ndugu zako pia nao wanaumwa itakuaje?
Ni ngumu watoto kukukimbia au mke kukutelekeza mbona mengi alivokuwa anaumwa na kulazwa South Africa mke wa ujanani ndo alimumuuguzaUnaweza kuoa ukiwa mzima huna disabillity ukapata na watoto. Ulemavu ukija mke na watoto woooote wakakukimbia kwa sababu ya ulemavu wako
Umeamua kusema kinyume etiiiii.Ni ngumu watoto kukukimbia au mke kukutelekeza mbona mengi alivokuwa anaumwa na kulazwa South Africa mke wa ujanani ndo alimumuuguza
Huyo kylin alikuwa changu tu, hapa tunasemea mke wa ujana wako, wengi huwauguza waume zao na sio slay queen,kwanza klini baada ya kudaganywa na fake will akaota mapembeUmeamua kusema kinyume etiiiii.
Teh teh teh teh.
Jackline hakuwepo hospital inasemekana lakini alikuwa anajipondea raha na njemba la kidubai hukooo
Sitak majukumu ya kulea na kusomeshaMkuu wenzako wanawapigania kwa uvumba watoto wewe unasema hutaki watoto.
Ungeishia tu hapa mkuu.Waliopo nje wanatamani kuingia ndani...na waliopo ndani wanatamani kutoka.
Dahh 😂😂😂😂😂Si lazima ni mbwembwe tu!