Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hata asipopata uamuzi wa kuoa au kutooa ni wake mwenyewe.
Swali linalotaka jibu sahihi.
Kama Mwanaume anapata kila anachotakiwa kukipata kwenye ndoa kwa njia mbadala, kuna haja ya Kuoa?
Sex atapata nje
Mtoto atamzalisha mtu
Kufua kuna Laundry
Out kuna Hunters
Kula hotelini,
Uzuri hapati stress
Pia soma: Kwani lazima kuoana?