Umeacha usukumani, unyamwezini, uhayani, ukuriani, ukihani, ufipani, umasaini, uarushani, utaturuni, ugogoni ambako vijana wanaoa wakiwa wadogo na bado wapo nyumbani.
By the way ndoa za mapema hudumu kwa kuwa mnazoana katika changamoto za maisha. Familia nyingi za kitanzania walizaliwa wengi.
Hawa modern people ndio wanaona ndoa za mapema ni tatizo, na ndio maana ndoa zao hazidumu kwa sababu wanaoana wakiwa wakubwa kila mwanandoa ni mjuaji na ana kila nyenzo za kumtishia mwenzake ikiwemo ajira, fedha na mali ambazo wanaoana tayari wana hivyo vitu. Waislam wanadumisha mila za dini yao na maadili ya familia