Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Hhhhhh team kataa ndoaKukakaa bila kuoa kabisa ,kutakupa afya bora zaidi ya akili kuliko kuoa.
Mimi nina familia na sijaoaHhhhhh team kataa ndoa
Mwisho wa siku binadamu atahitaji familia hauwezi ukaishi single miaka yote
Hapo napinga mh . Unakuwa na mtu hata kumtambulisha unaona shida watu si watasema ni mama yako au shangazi yako , kama ni mwanamke watasema Baba yako au mjomba 😆Dada kaolewe na mtu unayempenda. Umri ni namba tu ila upendo ni kila kitu.
Nakubaliana na wewe ni tabia ya mtu tu ndo iwe kigezo 👍Afya ya akili haitegemei umri inategemea malezi na tabia ya mtu.
Ila ni vema kuoa uliyemzidi umri angalau 5-10 yrs
Kwahiyo umetengeneza single Maza kwenye jamiiMimi nina familia na sijaoa
Iv picha za viumbe wa hivi huwa mnazipatia wap😁
Kivipi mkuu🤭Hakuna nzuri hapo
Mwanamke ni kiumbe wa aina yake sana hasa anapokuwa mke.
Demu wa Songea huyo...Wangoni sura hazijifichi
Single mother ni yule alieachiwa majuku mu ya kulea peke yake bila usaidizi wa mzazi wa kiume, kwa tafsiri hiyo sijawahi zalisha single mazaKwahiyo umetengeneza single Maza kwenye jamii
Hakika💯Kukakaa bila kuoa kabisa ,kutakupa afya bora zaidi ya akili kuliko kuoa.