Kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi ni nzuri kwa afya ya akili

Kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi ni nzuri kwa afya ya akili

Vija** akisimama kwenye kazi kazi, hahahaa unatoka hapo hujiwezi wallah na mi mwili huu hauwezi himili ndo maana nawakubali waze* ila ndo hivyo teina
🤣🤣🤣🤣 haya ni matatizo ya akili
 
Kwa mtoto wa kiume usijeoa mwanamke ambaye mnalingana sababu hapo ndani hakutakuwa na kusikilizana na mbaya zaidi atakudharau maana hatakupa heshima yako kama mume kiongozi.

Upande mwingine usijekubali kuanza ndoa na mwanamke aliyekuzidi umri hii ni hatari bora hata yule mnafanana umri. Mwanamke akiwa mkubwa kwako then unarisk kutokuwa na maamuzi kabisa sababu huyo ni dada yako, mama yako, shangazi yako, na atakuchukulia ni bwana mdogo so hata ufanyaje yeye kwake wewe utakuwa ni mtoto mdogo tu. Kuna muda atakusikiliza kufurahisha tu ila most of the time atakupuuza, wanawake na dharau ni maji na samaki.

Mwanamke mzuri ni yuke ambaye umemzidi kuanzia miaka 3 hadi 10 usizidi hapo. Huyu ni rahisi kumuongoza na kumpa mchoro wa maisha na hata kama ujui ile yeye kukuaminia itakupa nguvu ya kumuongoza.
 
Dada kaolewe na mtu unayempenda. Umri ni namba tu ila upendo ni kila kitu.
Upendo una nafasi yake ila unakuwa na nguvu pale mkiwa na utulivu mambo yamekaa fresh ila mambo yakiwa kombo hakuna kitu mtafanya.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Nahitaji maoni ya wadau

Je, kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi hapo ni nzuri na salama kwa afya ya akili kwa mwanaume

Na kwa wadada kuolewa na mtu mzima Sana , au mnayelingana umri , kuolewa na Ben 10 ipi mnaona sio pasua kichwa


Hivi una akili kuongelea mambo ya afya ya akili mitandaoni!
 
Back
Top Bottom