Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsantee!! Nakupenda pia.Coca mie nakupenda babygirl
Age goo yako wapi wewe tunalingana tu..Shindwaaaa sijakata tamaa kama wewe pamoja na age goo yangu, najua unachowinda kwa hao vibabu manka.
Hellow Calculator
Unalingana na yupi 😖😖 Jishike vizuri, unogopa kudungwa?🤭Age goo yako wapi wewe tunalingana tu..
vijana 🤭 siwindi mafao , staki tu kudungwa sana na , sihimili mikikimikiki ya vjan* 😖
Vija** akisimama kwenye kazi kazi, hahahaa unatoka hapo hujiwezi wallah na mi mwili huu hauwezi himili ndo maana nawakubali waze* ila ndo hivyo teinaUnalingana na yupi 😖😖 Jishike vizuri, unogopa kudungwa?🤭
Mimi nina familia na sijaoa
🤣🤣🤣🤣 haya ni matatizo ya akiliVija** akisimama kwenye kazi kazi, hahahaa unatoka hapo hujiwezi wallah na mi mwili huu hauwezi himili ndo maana nawakubali waze* ila ndo hivyo teina
Upendo una nafasi yake ila unakuwa na nguvu pale mkiwa na utulivu mambo yamekaa fresh ila mambo yakiwa kombo hakuna kitu mtafanya.Dada kaolewe na mtu unayempenda. Umri ni namba tu ila upendo ni kila kitu.
Kumbe unanidanganya una familia tayariMimi nina familia na sijaoa
Nina watoto sasa hiyo si ndio familia yangu😁😁😁Kumbe unanidanganya una familia tayari
Makaburi ya mama zao yapo wapi?Nina watoto sasa hiyo si ndio familia yangu😁😁😁
Rejea kichwa cha habari hapo juu
Nahitaji maoni ya wadau
Je, kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi hapo ni nzuri na salama kwa afya ya akili kwa mwanaume
Na kwa wadada kuolewa na mtu mzima Sana , au mnayelingana umri , kuolewa na Ben 10 ipi mnaona sio pasua kichwa
WameolewaMakaburi ya mama zao yapo wapi?
Haupashi viporo?Wameolewa
Huwa sina hiyo tabia ya kurudi nyuma.Haupashi viporo!
Hapo sawa🤸Huwa sina hiyo tabia ya kurudi nyuma.