Kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi ni nzuri kwa afya ya akili

Kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi ni nzuri kwa afya ya akili

Unapata heshima, unaaminika na jamii,
Sasa nani amuamini msela tu.
Unakuwa na mtu yupo Kwa ajili yako hata ukichelewa utakuta amenuna ataku monitor kiasi Fulani,
Zaidi sana uhakika wa k
😁😁😁😁 mbona vyote hivyo navipata mkuu?
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Nahitaji maoni ya wadau

Je kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi hapo ni nzuri na salama kwa afya ya akili kwa mwanaume


Na kwa wadada kuolewa na mtu mzima Sana , au mnayelingana umri , kuolewa na Ben 10 ipi mnaona sio pasua kichwa
Kuwa mkubwa kwenye mahusiano ni kulea na kuwa mdogo kwenye mahusiano ni kulelewa.
Sasa inategemea na hisia zako zimejiprogram namna gani.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Nahitaji maoni ya wadau

Je, kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi hapo ni nzuri na salama kwa afya ya akili kwa mwanaume

Na kwa wadada kuolewa na mtu mzima Sana , au mnayelingana umri , kuolewa na Ben 10 ipi mnaona sio pasua
Rejea kichwa cha habari hapo juu

Nahitaji maoni ya wadau

Je, kuoa uliyemzidi umri au kuoa aliyekuzidi umri au mnayelingana ipi hapo ni nzuri na salama kwa afya ya akili kwa mwanaume

Na kwa wadada kuolewa na mtu mzima Sana , au mnayelingana umri , kuolewa na Ben 10 ipi mnaona sio pasua kichwa
Mwanamke anayekuzidi umri nisumu ya nyokatena cobra maana yeye tayari akiini mwake atakuwa akijua kabisa kwamba anaishi na huyu mwanaume na siyo halali yake hivyo ataishi kwa malengo ya juu balaa atakuvuna ili hata mambo yanahalibika kashachuma vya kutosha.Hivyo wanawake wazee waende kwa wazee wenzao.
 
Back
Top Bottom