Oa kijana hovyo sio vitu vya kujivunia.Mimi nina familia na sijaoa
Mke huwa haijalishi umemzidi au amekuzudi akiamua kukuvuruga mpaka ukatamani kuhama huu ulimwengu huwa hajiulizi.Kivipi mkuuπ€
Sijasema sitaki wanawake ,bali nimesema sitaki kuoa/ ndoa.Oa kijana hovyo sio vitu vya kujivunia.
Mwanaume ulokamilika unakosaje mwenza
Kwahiyo unatakaje mzeeSijasema sitaki wanawake ,bali nimesema sitaki kuoa/ ndoa.
Naamini labda umri wako mdogo.Sijasema sitaki wanawake ,bali nimesema sitaki kuoa/ ndoa.
Tuishinao kwa akiliHakuna nzuri hapo
Mwanamke ni kiumbe wa aina yake sana hasa anapokuwa mke.
Unaweza ukawa na afya nzuri ya akili halafu mtu mwengine akaivurugaAngalia kwanza afya Yako ya akili kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Hawa wote wanaume ama? Maana huyu hana ndevu ni rangi haieleweki!
HhhhhhTafuta lishangazi ulipelekee moto hakuna kuoa
Ufafanuzi mzuri sanaMwanamke anakua haraka ukioa uliemzidi mwaka mmoja, miwili au mnalingana umri akifika miaka 30 tu anaanza kuonekana mkubwa kushinda wewe, pia mwanamke anawahi kufika menopause kwaiyo ili mzeeke na muingine menopause katika uwiano sawa ni vyema ukaoa mke uliemzidi miaka 5-10 hivi.
Nina watoto wawili mkuu .Naamini labda umri wako mdogo.
Mwanaume kamili inatakiwa uwe na familia, watu wanaokutazama, wanakutegemea,
Sasa wewe una miaka 40 unaishi geto, huna mke, huna address, huna heshima
Kuwa na watoto hakukufanyi uwe na familia.Nina watoto wawili mkuu .
ππ uzuri mmoja sio jambo la lazima ni mapendekezo ya mtu binafsi.Kuwa na watoto hakukufanyi uwe na familia.
Oa tu kijana, ndoa ni raha tu usiogope
Ulazima upo ukifika wakati utauonaππ uzuri mmoja sio jambo la lazima ni mapendekezo ya mtu binafsi.
Nipe ulazima wa kuishi kinyumba kama mke na mmeUlazima upo ukifika wakati utauona