Kuoga hakuna faida yoyote kiafya

Kuoga hakuna faida yoyote kiafya

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watu wengi hudha kuwa kuoga ni takwa la kiafya kumbe sio kweli kuoga kuna madhara mengi kuliko kutokuoga

Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya kwasababu huondoa kinga muhimu kwenye ngozi na kusababisha maradhi katika mwili

Kama hakuna ulazima wa kuoga usijilazimishe kuoga, japo mtu oga walau mara 1 kwa siku ila utashangaa mtu anaoga zaidi ya mara 4 ili iweje?

Utashangaa mtu yupo sehemu za baridi kali kama Lushoto, Moshi, Makete au Njombe ati nae anaoga mara kadhaa kwa siku na anaona ufahali

Tujiepushe kuoga ovyo ili tulinde afya ya ngozi na mwili kwa ujumla
 
Watu wengi hudha kuwa kuoga ni takwa la kiafya kumbe sio kweli kuoga kuna madhara mengi kuliko kutokuoga

Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya kwasababu huondoa kinga muhimu kwenye ngozi na kusababisha maradhi katika mwili

Kama hakuna ulazima wa kuoga usijilazimishe kuoga, japo mtu oga walau mara 1 kwa siku ila utashangaa mtu anaoga zaidi ya mara 4 ili iweje?

Utashangaa mtu yupo sehemu za baridi kali kama Lushoto, Moshi, Makete au Njombe ati nae anaoga mara kadhaa kwa siku na anaona ufahali

Tujiepushe kuoga ovyo ili tulinde afya ya ngozi na mwili kwa ujumla
Naunga mkonyo hoja
 
Watu wengi hudha kuwa kuoga ni takwa la kiafya kumbe sio kweli kuoga kuna madhara mengi kuliko kutokuoga

Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya kwasababu huondoa kinga muhimu kwenye ngozi na kusababisha maradhi katika mwili

Kama hakuna ulazima wa kuoga usijilazimishe kuoga, japo mtu oga walau mara 1 kwa siku ila utashangaa mtu anaoga zaidi ya mara 4 ili iweje?

Utashangaa mtu yupo sehemu za baridi kali kama Lushoto, Moshi, Makete au Njombe ati nae anaoga mara kadhaa kwa siku na anaona ufahali

Tujiepushe kuoga ovyo ili tulinde afya ya ngozi na mwili kwa ujumla
kutokuoga ni kero kwa wengine, harufu kali na nzito ni hatari kwa afya za wanaooga. ni vizuri asie oga akakaa porini au kuishi kipekeyake kuliko kutangamana na wanaooga kuepusha usumbufu na uchafu wenye madhara kwa wengine 🐒
 
kutokuoga ni kero kwa wengine, harufu kali na nzito ni hatari kwa afya za wanaooga. ni vizuri asie oga akakaa porini au kuishi kipekeyake kuliko kutangamana na wanaooga kuepusha usumbufu na uchafu wenye madhara kwa wengine 🐒
Ukishindwa sana oga mara moja kwa siku sio uoge zaidi ya mara moja
 
Back
Top Bottom