ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Watu wengi hudha kuwa kuoga ni takwa la kiafya kumbe sio kweli kuoga kuna madhara mengi kuliko kutokuoga
Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya kwasababu huondoa kinga muhimu kwenye ngozi na kusababisha maradhi katika mwili
Kama hakuna ulazima wa kuoga usijilazimishe kuoga, japo mtu oga walau mara 1 kwa siku ila utashangaa mtu anaoga zaidi ya mara 4 ili iweje?
Utashangaa mtu yupo sehemu za baridi kali kama Lushoto, Moshi, Makete au Njombe ati nae anaoga mara kadhaa kwa siku na anaona ufahali
Tujiepushe kuoga ovyo ili tulinde afya ya ngozi na mwili kwa ujumla
Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya kwasababu huondoa kinga muhimu kwenye ngozi na kusababisha maradhi katika mwili
Kama hakuna ulazima wa kuoga usijilazimishe kuoga, japo mtu oga walau mara 1 kwa siku ila utashangaa mtu anaoga zaidi ya mara 4 ili iweje?
Utashangaa mtu yupo sehemu za baridi kali kama Lushoto, Moshi, Makete au Njombe ati nae anaoga mara kadhaa kwa siku na anaona ufahali
Tujiepushe kuoga ovyo ili tulinde afya ya ngozi na mwili kwa ujumla