Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
How??Nijuavyo baadhi ya sabuni especially hizi medicated soap
Ndy zinapunguza kinga ya mwili wako
Ova
Ongeza nyama kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How??Nijuavyo baadhi ya sabuni especially hizi medicated soap
Ndy zinapunguza kinga ya mwili wako
Ova
Hivi unajuwa mwili una bacteria ambao ni salama?How??
Ongeza nyama kidogo
Joto la kwenye frame za undergroundAisee we jamaa mtu wa ajabu pilikapilika za kariakoo ukae wiki ukweli watu watakukimbia
Halafu umuweke doggie st.joto la Dar mtu azunguke wee alafu jioni asioge alale kwa muda wa siku tatu atakua na hali gani,alafu ukute mtu ni mnene?
Muangalie sana huko mnakokwenda kutafuta utajiri!Watu wengi hudha kuwa kuoga ni takwa la kiafya kumbe sio kweli kuoga kuna madhara mengi kuliko kutokuoga
Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya kwasababu huondoa kinga muhimu kwenye ngozi na kusababisha maradhi katika mwili
Kama hakuna ulazima wa kuoga usijilazimishe kuoga, japo mtu oga walau mara 1 kwa siku ila utashangaa mtu anaoga zaidi ya mara 4 ili iweje?
Utashangaa mtu yupo sehemu za baridi kali kama Lushoto, Moshi, Makete au Njombe ati nae anaoga mara kadhaa kwa siku na anaona ufahali
Tujiepushe kuoga ovyo ili tulinde afya ya ngozi na mwili kwa ujumla