Kuoga na mume au mke wako...

Kuoga na mume au mke wako...

Hivi kulitachi nywele bei gani jamani kuna kimada kinanichuna sana kila wiki nakipa 70,000/= kwa ajili ya kulitachi nywele mmmh huu usafi jamani kweli gharama.


ahahahhahaha, wacha nikuchekeleee kwanza..inaitwa ku-retouch sio litachi! by definition ni kule kuweka chemicals za kustraighten nywele yaani relaxers...nywele kila inapokua hiyo mpya lazima ifanyiwe retouch ndio ilingane na ya zamani.... sasa huyo kimada ni nyumba ndogo ama ni wa mtaani tu???? maana amepata kisima cha noti....nywele zetu hazifanyiwi retouch kila wiki.. anakula tu hela zako..labda anaamanisha treatment... sasa ila 70k kwa pesa ya kenya ni elfu karibu saba.... duh haiwezekani ama anakwenda saluni za mabwenyenye!!!


wewe n usiende kuanza vita huko.
 
hahahhahah wajinga ndio waliwaooooo fide kwa hizi salon za kibongo bongo hapa bado sijacome across na hiyo salon ya 70,000 ku-retaouch mhhhh labda mie naenda za uswaziii nichicheme mengi bureeeeeeeeeeee

We acha tu yaani gharama nyingine za wanawake ni too much ipo siku ataniambia anataka kulitachi huko kwa eva.
 
We acha tu yaani gharama nyingine za wanawake ni too much ipo siku ataniambia anataka kulitachi huko kwa eva.


hivi Fidel unapatikana mitaa ipi.... za kwangu zikipata retouch ya kila wiki itakuwa bomba sana.... yaani na ujanja wako wote huuu unakoniwa elfu 70 kila wiki......mmmmmmmmmmmmmmnh!
 
hivi Fidel unapatikana mitaa ipi.... za kwangu zikipata retouch ya kila wiki itakuwa bomba sana.... yaani na ujanja wako wote huuu unakoniwa elfu 70 kila wiki......mmmmmmmmmmmmmmnh!


Yaani nimechoka kumbe kulitachi buku jero alafu mm natoa 70000 kwa wiki inaniuma sana lazima nimpige kibuti.
 
Yaani nimechoka kumbe kulitachi buku jero alafu mm natoa 70000 kwa wiki inaniuma sana lazima nimpige kubuti.



ngoja kidogo kabla hujampiga buti... hebu nenda kamkalishe umuulize hivi honey hii retouch ya kila wiki kulikoni...sikiliza jibu lake ndio ufanye uamuzi...atakuwa mwenzio anazitumia kwa mahitaji mengine...ama wewe mgumu sana ikawa retouch ndio mwokozi wa jahazi tu!!!
 
.... sasa huyo kimada ni nyumba ndogo ama ni wa mtaani tu???? maana amepata kisima cha noti....nywele zetu hazifanyiwi retouch kila wiki.. anakula tu hela zako..labda anaamanisha treatment... sasa ila 70k kwa pesa ya kenya ni elfu karibu saba.... duh haiwezekani ama anakwenda saluni za mabwenyenye!!!

Si bora angekuwa mchumba yaani hapo ndo iwa najiexpress tu yaani ananikamua sana hizi ni gharama za nywele bado mambo mengine wanawake mna mambo sana. Ndo maana nitaendelea kusubili kuoa mpaka 2012.
 
ngoja kidogo kabla hujampiga buti... hebu nenda kamkalishe umuulize hivi honey hii retouch ya kila wiki kulikoni...sikiliza jibu lake ndio ufanye uamuzi...atakuwa mwenzio anazitumia kwa mahitaji mengine...ama wewe mgumu sana ikawa retouch ndio mwokozi wa jahazi tu!!!

Hallo Shishi huyu sister duu nampiga chini yaani ananipiga 10% mimi tatizo sijui ananiona buzi dah kama kuchunwa nachunwa jamani mmmh!
 
" commercial break" ;

....duuuuh, paka jimmy yaonekana umepigilia msumari pahala pake kabisa, mdahalo karibia ukugeukia ati unamwaga siri za mtungi...

Jamani eeeh, kuna ubaya gani paka jimmy kusema kimkeracho? siku zote hapa tunawasoma maudhi ya nyumba zenu, leo hii paka jimmy anasema kero zake mnamjia juu, kulikoni?

hata mimi nakareka na harufu ya hayo manywele ya maiti! siyapendi siyataki, yananiudhi... unakuta mtu kasuka mabutu chini, juu kasukia wigi, sijui weaving, taaaabu tupu... eti akilitia maji litaharibika, au ukizishika nywele zitajifunga... mbona "Flaviana" ni tu mrembo na kipara chake?!

...mdahalo na uendelee.... faida, raha na karaha za "Kuoga na mume au mke wako"
 
PakaJimmy
Hapa umekuwa too general, bora ungesema baadhi ya wanawake mkuu ikiwamo huyo wako. Pia mwanamke mrembo na anayejua mambo ya urembo, halali na vipodozi usoni/mwilini hata kama haogi usiku huo mana ni lazima aoshe uso vizuri kuondoka vipodozi.
Pia wanawake wengi kila wiki saluni na kuosha nywele ni kati ya shughuli za saluni..

@Chaku
Kuoga na mume/mke ina raha yake mana mnapiga stori,utani na kusuguana kwa mgongo wakati huo wa kuoga. binafsi siwezi kusema ni fasheni, ni mapenzi ya watu na wafanyavyo nyumbani mwao.



BelindaJ, umenena mkuu. Wazee tusipate shida ukisafiri mamsapu anakuagiza makeup removers, skin cleansers, toners, facials, rejuvinating creams like Loreal, etc ni pochi linakutoka la nguvu but for the beauty of your loved ones. Kitunze kidumu. Hata kama mwanamke umeoa toka kijijini, wewe jaribu kumtafuta mke wa rafiki yako wa mjini au ambaye anajua mavitus ya urembo halafu mkeo anapata fursa ya kubadilisha naye mawazo ili naye awe wa kileo.

Pili hakuna mtu mchafu duniani, kila mtu anarekebika. Hata kama mkeo haoshi nywele mwambie aende reputable saloons watampa ushauri wa kutunza nywele. Tatizo akileta list ya mahitaji mnakata yale ya kujipodoa mkisahau kuwa kama hamtawafanya sparkling basi mtatafuta wanaong'arishwa na wanaume wengine au wenye pochi zao ka kujiweka vizuri. Mwanzo wa mahusiano kuyumba.

Katika matumizi ya mwezi ya nyumbani weka na matumizi ya mama kwa mambo ya urembo, ambayo mtakuwa mmeshakubaliana kila mwanzo wa mwaka wenu wa fedha kuwa yanamtosha kwa mwezi kulingana na ukubwa wa keki yenu. Inapendeza pia ukimshusha mke saloon hata kama ana gari yake!!! Ndoa zinadumu na utafanya aniversary zote ili hali tu wote wawili mko hai. Badilika leo kwa manufaa ya ndoa au mahusiano uliyokuwa nayo, kuwa optimistic!!!!

Kama mke au yeyote wako wa karibu in many ways anaweza kujihudumia basi na afanye hivyo ila wewe pia unampa tafu konyesha pendo lako. Nakuambia hata kama wewe ni billionaire but rafiki akakupa hata 20 dollars, bado kama wewe ni mungwana uta-appreciate!!! Huo ndiyo ubinadamu.
 
Ni ubwege tu, ukiona hivyo ujue hamna plan ya maana ya kufanya au hamko bussy
 
[/I][/B][/COLOR]


BelindaJ, umenena mkuu. Wazee tusipate shida ukisafiri mamsapu anakuagiza makeup removers, skin cleansers, toners, facials, rejuvinating creams like Loreal, etc ni pochi linakutoka la nguvu but for the beauty of your loved ones. Kitunze kidumu. Hata kama mwanamke umeoa toka kijijini, wewe jaribu kumtafuta mke wa rafiki yako wa mjini au ambaye anajua mavitus ya urembo halafu mkeo anapata fursa ya kubadilisha naye mawazo ili naye awe wa kileo.

Pili hakuna mtu mchafu duniani, kila mtu anarekebika. Hata kama mkeo haoshi nywele mwambie aende reputable saloons watampa ushauri wa kutunza nywele. Tatizo akileta list ya mahitaji mnakata yale ya kujipodoa mkisahau kuwa kama hamtawafanya sparkling basi mtatafuta wanaong'arishwa na wanaume wengine au wenye pochi zao ka kujiweka vizuri. Mwanzo wa mahusiano kuyumba.

Katika matumizi ya mwezi ya nyumbani weka na matumizi ya mama kwa mambo ya urembo, ambayo mtakuwa mmeshakubaliana kila mwanzo wa mwaka wenu wa fedha kuwa yanamtosha kwa mwezi kulingana na ukubwa wa keki yenu. Inapendeza pia ukimshusha mke saloon hata kama ana gari yake!!! Ndoa zinadumu na utafanya aniversary zote ili hali tu wote wawili mko hai. Badilika leo kwa manufaa ya ndoa au mahusiano uliyokuwa nayo, kuwa optimistic!!!!

Kama mke au yeyote wako wa karibu in many ways anaweza kujihudumia basi na afanye hivyo ila wewe pia unampa tafu konyesha pendo lako. Nakuambia hata kama wewe ni billionaire but rafiki akakupa hata 20 dollars, bado kama wewe ni mungwana uta-appreciate!!! Huo ndiyo ubinadamu.


sasa watu si kama hawa jamani..... hivi PK yuko wapi...awaone wenzake wanoyajua ya Loreal and skin rejuvenation...duh!!!! hongera kaka...huyo memsap wako si atakuwa anang'aa kama kioo!!!
 
[/I][/B][/COLOR]


BelindaJ, umenena mkuu. Wazee tusipate shida ukisafiri mamsapu anakuagiza makeup removers, skin cleansers, toners, facials, rejuvinating creams like Loreal, etc ni pochi linakutoka la nguvu but for the beauty of your loved ones. Kitunze kidumu. Hata kama mwanamke umeoa toka kijijini, wewe jaribu kumtafuta mke wa rafiki yako wa mjini au ambaye anajua mavitus ya urembo halafu mkeo anapata fursa ya kubadilisha naye mawazo ili naye awe wa kileo.

Pili hakuna mtu mchafu duniani, kila mtu anarekebika. Hata kama mkeo haoshi nywele mwambie aende reputable saloons watampa ushauri wa kutunza nywele. Tatizo akileta list ya mahitaji mnakata yale ya kujipodoa mkisahau kuwa kama hamtawafanya sparkling basi mtatafuta wanaong'arishwa na wanaume wengine au wenye pochi zao ka kujiweka vizuri. Mwanzo wa mahusiano kuyumba.

Katika matumizi ya mwezi ya nyumbani weka na matumizi ya mama kwa mambo ya urembo, ambayo mtakuwa mmeshakubaliana kila mwanzo wa mwaka wenu wa fedha kuwa yanamtosha kwa mwezi kulingana na ukubwa wa keki yenu. Inapendeza pia ukimshusha mke saloon hata kama ana gari yake!!! Ndoa zinadumu na utafanya aniversary zote ili hali tu wote wawili mko hai. Badilika leo kwa manufaa ya ndoa au mahusiano uliyokuwa nayo, kuwa optimistic!!!!

Kama mke au yeyote wako wa karibu in many ways anaweza kujihudumia basi na afanye hivyo ila wewe pia unampa tafu konyesha pendo lako. Nakuambia hata kama wewe ni billionaire but rafiki akakupa hata 20 dollars, bado kama wewe ni mungwana uta-appreciate!!! Huo ndiyo ubinadamu.

Maane
Nimekukubali ndugu yangu.Unajua unachotakiwa kufanya ili kumsupport mwenzi wako ili umfurahie na wewe in the process unapanda chati vibaya sana.Kuna wenzio humu hawajui AA wala Bee kwenye haya maswala.Matokeo yake hawawezi hata kuwashauri wenzi wao kuhusu kujitunza, hawajui hata wanapodanganywa na kuchunwa ati ritach ( re-touch)shilingi 70,000/- kwa wiki!
Unastahili pongezi na uendelee na moyo huo huo.
 
Kuoga na mpnz wako raha bwana, hayo mengine ya uchafu mkuu inaonekana wako hapati matunzo mazuri napata waswas munalalaje kama nywele zinanuka!badilika mwanamme!
 
ngoja kidogo kabla hujampiga buti... hebu nenda kamkalishe umuulize hivi honey hii retouch ya kila wiki kulikoni...sikiliza jibu lake ndio ufanye uamuzi...atakuwa mwenzio anazitumia kwa mahitaji mengine...ama wewe mgumu sana ikawa retouch ndio mwokozi wa jahazi tu!!!
shost inawezekana fide mgumu kwenye kutoa hela anga zingine ila akiambiwa nywele anaona bora atoe asipate aibu akiwa ametoka na huyo mdada, ndo maana mwenzie anamkomeshea hukohuko kwenye 'kulitachi' t h e t h e kwi kwi kwi....... acha mkono wa birika babuuuuuuu
 
sasa watu si kama hawa jamani..... hivi PK yuko wapi...awaone wenzake wanoyajua ya Loreal and skin rejuvenation...duh!!!! hongera kaka...huyo memsap wako si atakuwa anang'aa kama kioo!!!

Hamna kitu hapo...
Ukute hawa watu wa hivyo ndo wagumu kinyama....anajua madawa tu(huenda anamiliki duka tu), lakini kununua mmhhh!
Halafu huyo COLOUR anaonekana mtu wa Bajeti sana, maana ...mambo ya financial year tena?...Ina maana hawezi kumstukiza mpenzi siku yoyote tu, kama akina Fidel180 wanavyohonga?
 
Je hao wasafi wanaruhusu nywele zao kugusa maji? kama siyo mtaogaje wawili?Hata hivyo kuoga wawili ni rahisi zaidi kwenye bafu la master beadroom lakini kwenye bafu la general foleni inazingua.
 
Back
Top Bottom