ππππππkaoa chizi na anajisifia
uzuri ni kwamba anajua kuongea na kama yeye aliweza kumtongoza akampata bas hata wengine watampata tu
Yaani mtu hazijatimia si utakuta kawapika watoto hebu tuwe serious kidogo. Kwani hakuna standard seven ambao wapo timamuMkuu mtoa mada, nimeaoma comments nyingi naona wengi wanakuponda. Mkuu umeula narudia umeula. Huyo mwanamke kama zimepungua utatumia za kwako na ndio utakua kichwa cha familia haswa. Umetisha mkuu kuwakwepa hawa chikorobo wa kisasa. Wanaokuponda wanaukuonea wivu tu na wengine kutamani wengefanya maamuzi kama yako ila walishajikaanga, kila siku nyuzi JF
Watu wengi mnaoa kwa sababu za kipuuzi ndio maana nyuzi nyingi za kipuuzi kuhusu ndoa zimejaa humu ndani, watu kama nyinyi ndio mwisho wa siku mnakuja kuishia kuwapa vichwa watu wa Kataa NdoaNimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
MzeeWanaume wengi wasiojiamini wanaogopa wanawake wasomi kwasababu wanaogopa kudhihirisha ujinga wao! Unakuta mwanaume anashinda bar, anacheza kamali kama mjinga, hafanyi mambo ya msingi hana cha kuchangia kwenye taifa, akioa msomi hatokubali kupelekeshwa na zombi ndani. Lazima patetereke. Oeni hao mazombi wenzenu ila nna swali moja, utaongozana nae katika shughuli za kijamii??! Utaenda nae kwa marafiki zako? Utataka wajue ndo mkeo? Una uhakika hutachepuka au ndo mnataka wa design hiyo ili hata ukilala nje ukirudi asema tawile baba. Shenzi
Hizi zama hatuziwezi sisi...Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
makofiNimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Hakikisha unamfungulia duka ndani, unamuwekea soko lake, fundi wake wa kumshonea nguo ili asikutane na walimwengu. Chazaid pia hakikisha umepiga ukuta home kwako.Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Ukiona mwanamke anatumia jf, muoe ni wife material huyo.Subiri mashoga zake wamfundishe kupiga vizinga na kutumia smartphone ( JF) ndio utajua hujui.
BTW,Kila la heri zako mkuu
Huyo anahongwa vitenge na magauni tu anaachia papaNimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Mkuu;Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Huyo ndio mke, achana na hawa wajuaji.Nimevuta kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Huyo chakula cha bodaboda na wauza mitumba ya kutembeza waleππ usisahau wauza magenge na vijana wa mtaani. Wanamanua hadi mashimo ya nneAfadhali wewe.
Wake zao ambao ni wafanyakazi tunawamanua kinoma